Amigoh
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 2,029
- 2,926
Sure ndo maana Mungu amewafanya wamekuwa wengi kuliko sisi.. Kuna mmoja anafanyiwa engagement this week lakini kaniambia mpenzi wake anamapungufu kibaoAcha tu hawa viumbe lazima uwe nao wa akiba moja hata akizingua you dont care
Nikawa najiuliza kwanini amemkubalia yani sielewi hawa viumbe ni hatari yani hata siku moja usimpe mwanamke moyo 100% hiyo 40% inawatosha sana 60% iliyobaki waigizie tu.