Mnajuwa Nature is the RIGHT answear! siku zote ukiona sehemu kuna milima basi ujuwe kuna sehemu nyingine kuna mabonde, ukiona mtu ana faraja basi elewa kuna mwingine anayo huzuni, ukiona leo umepata wa kukupoza moyo fahamu kuna mtu ameumizwa kwa raha kama hiyo unayoipata kwa wakati huo upande wake. Nature huwa ina balance all of these things.Ukiumizwa jipe muda kwani ujuwe kuna mtu bora anajiandaa kuja kwako ila wewe unamchelesha kwa kung'ang'ania mtuuu ambaye tayari hayuko kichani kwako. VUMILIA ILI UPATE MEMA.