Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,083
- Thread starter
- #41
Ila Mkuu ni mke kabisa nina mtoto naeWanawake watu wa ajabu sana, inawezekana kwako kajihifadhi tu huyo ..
Ila Mkuu ni mke kabisa nina mtoto naeWanawake watu wa ajabu sana, inawezekana kwako kajihifadhi tu huyo ..
GooooodddddNyie ndio mnao waentertain ma ex wenu na kuhatarisha mahusiano yenu mapya
Kwanza kila mtu yuko na misimamo yake hatuwez kufanana
Pili, kwa maneno yako binafsi siwez hitaji msaada kwa ex hata siku moja, haijalishi tuliachana kwa style gan nzuri au mbaya
Kuhusu kumpenda hivi unaingia kwenye mahusiano na mtu si mnakua mnapendana na mpaka mnafikia kuachana it means mmeshindwa kufikia makubaliano yenu na unaona kabisa hapa hakuna future sasa niendeleee kushikilia nizidi kujiumiza?? tunaachana tu haijalishi nilikupenda kiasi gan na kikubwa ni kukubali kua sina namna zaidi ya hio na maisha lazima yasonge
Mimi tukimalizana na ukurasa wako umefungwa, yan sitataka kujua chochote kuhusu wewe, sutakua stalker et nianze kukuchungulia jinsi maisha yako yanaendelea bila mimi kwa kweli hapana hua naishi kama vile sjjakutana na wewe na sikujui wala hujawahi kutokea kwenye maisha yangu na najivunia hili kwa kweli
Sijawah kumuomba ex msaada wowote ule na sio kwamba et na mwenzangu hatukwami kwa kweli hakuna maisha ambayo yapo na ups tu kuna downs kama zote lakini hua ni mwenye kustahmili sababu najua lazima hiki kipindi kipite ni subra tu na hua hivyo na hivi ndivo nilivyo.
Sijui ukurasa wa huyo ulie nae sasa ukiisha niombe nafasiNyie ndio mnao waentertain ma ex wenu na kuhatarisha mahusiano yenu mapya
Kwanza kila mtu yuko na misimamo yake hatuwez kufanana
Pili, kwa maneno yako binafsi siwez hitaji msaada kwa ex hata siku moja, haijalishi tuliachana kwa style gan nzuri au mbaya
Kuhusu kumpenda hivi unaingia kwenye mahusiano na mtu si mnakua mnapendana na mpaka mnafikia kuachana it means mmeshindwa kufikia makubaliano yenu na unaona kabisa hapa hakuna future sasa niendeleee kushikilia nizidi kujiumiza?? tunaachana tu haijalishi nilikupenda kiasi gan na kikubwa ni kukubali kua sina namna zaidi ya hio na maisha lazima yasonge
Mimi tukimalizana na ukurasa wako umefungwa, yan sitataka kujua chochote kuhusu wewe, sutakua stalker et nianze kukuchungulia jinsi maisha yako yanaendelea bila mimi kwa kweli hapana hua naishi kama vile sjjakutana na wewe na sikujui wala hujawahi kutokea kwenye maisha yangu na najivunia hili kwa kweli
Sijawah kumuomba ex msaada wowote ule na sio kwamba et na mwenzangu hatukwami kwa kweli hakuna maisha ambayo yapo na ups tu kuna downs kama zote lakini hua ni mwenye kustahmili sababu najua lazima hiki kipindi kipite ni subra tu na hua hivyo na hivi ndivo nilivyo.
until death do us apartSijui ukurasa wa huyo ulie nae sasa ukiisha niombe nafasi
Mawasiliano hupelekea kunyanduanaSasa kuwasiliana ni shida au shida ni kugegedwa nae
Mkuu, ulifanyaje hio kitu nipite humo?Mimi nilifanya call na sms tapping maumivu yake hadi Leo sijawahi pona, Manz hadi anasafiri ananizuga anaenda semina kumbe anaenda kugegedwa na najua kabisa maana texts na maongezi yao ninayo....akarudi akaendelea kuliwa siku nilimuita nikamwambia najua kila kitu alivyo wa ajabu yule shetani akanihamishia lawama mm eti mm ndo sababu kiukweli nilimuacha alilia sana hadi Leo ananiombaga radhi.....ila sijawahi pona yale maumivu
Pole mkuu! Alikua mke au demu tu?Mimi nilifanya call na sms tapping maumivu yake hadi Leo sijawahi pona, Manz hadi anasafiri ananizuga anaenda semina kumbe anaenda kugegedwa na najua kabisa maana texts na maongezi yao ninayo....akarudi akaendelea kuliwa siku nilimuita nikamwambia najua kila kitu alivyo wa ajabu yule shetani akanihamishia lawama mm eti mm ndo sababu kiukweli nilimuacha alilia sana hadi Leo ananiombaga radhi.....ila sijawahi pona yale maumivu😭😭😭😭
Huyo nazan demPole mkuu! Alikua mke au demu tu?
Mawasiliano hupelekea kunyanduana
R.I. pMkuu, ulifanyaje hio kitu nipite humo?