Kwa mchongo wa pesa kwa kusaidiananawasiliana na ex kwa lengo lipi??
Dooh hapana kwangu.Kwa mchongo wa pesa kwa kusaidiana
We unasema tu; kuna kipindi unakua majalala kweli moja haikai mbili haikai afu Ex ndo last alternative.dooh hapana kwangu
Wewe ni mwanaume halisi, huna SIO KILA VITA NI YA KUPIGANWA! Japo sijapenda suluhisho la kuchukua Barmaids..... Next time usifanye uliyoyafanya.Alikuhoji nani ? NikajikutA nimepoa taratibu nikanunua barmed zangu wawili nikakodi room mbili basi nikawa na wala kizam kupoteza hisia fulani hivi asubuhi nikamtumia zile text wife
Unanisemea kama nani?? Si lazima sote tufanane hata upuuuzi sometimes tunatofautiana, wewe kama hua ukikwama unamtafta ex wako bas jua nipo ambayale napambana na shida zanguWe unasema tu; kuna kipindi unakua majalala kweli moja haikai mbili haikai afu Ex ndo last alternative.
Kulogwa tenaUsharogwa tayari ufurukuti huna ubavu wa kumfukuza wala kumnasa vibao
Sawa mkuu before nimejilekebishaWewe ni mwanaume halisi, huna SIO KILA VITA NI YA KUPIGANWA! Japo sijapenda suluhisho la kuchukua Barmaids..... Next time usifanye uliyoyafanya.
Life is too short kujiletea unnecessary stress. Niko Mwenge Dance Club njoo tugonge mbili tatu
Chai bora kilele cha ubora
Kwa nini mliachana? Haiingii akilini kama watu watakuwa wanajiendekeza kiasi hiki.Kusaidiana ina weza kuwa kamzidi kiuchumi ulie nae kwa sasa kwaiyo ukiwa na shida ana saidia, kingine ina wezekana ulimpenda sana na bado Una mpenda.
Kuna namna nyingi za mahusiano kuvunjika,mfano kuishi mbali na mpenzi wako mfano Dar na Kigoma, labda wazaz kumkataa mwenza wako, kupata mtoto mkiwa Imani tofaut mwisho iman ika watenganisha lakin bado mkawa mna pendana, au Mmoja wapo kwenda nje ya nchi kikazi kwaiyo siku akija mkionana lazima mtaludiana kiwiz wizi, tena ukute ulienae kwa wakati uo maelewano siyo mazur.Kwa nini mliachana? Haiingii akilini kama watu watakuwa wanajiendekeza kiasi hiki.
Naona unifumbua masikio Mkuu hebu ongeza nyama nyama kidogo nikuelewe kiundani zaidiSasa huhisi kama ana kuchukulia poa tu yani hakuna mapenzi hapo, kwako amejihifadhi tu ila mapenzi yapo kwa ex ?? ..
Asante naomba nije pmPole sana
Wanawake watu wa ajabu sana, inawezekana kwako kajihifadhi tu huyo ..Naona unifumbua masikio Mkuu hebu ongeza nyama nyama kidogo nikuelewe kiundani zaidi