Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,141
- 188,555
1MWakuu kima Cha chini naweza anza life la geto ni kiasi gani kwa wazoefu wa mambo, kwa geto standard chumb safi chenye umeme
Sent using Jamii Forums mobile app
1MWakuu kima Cha chini naweza anza life la geto ni kiasi gani kwa wazoefu wa mambo, kwa geto standard chumb safi chenye umeme
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee ndugu yangu kwel una hasiraWakuu kama nilivoaidi sitwaangusha, ndani ya mwezi mmoja geto ndo lilivyo sasa hiviView attachment 1241489View attachment 1241491View attachment 1241492View attachment 1241493
Haha afu kuna kina sie hapa ambao tunajua kabisa halafu inaandikwa vipi lakini tuko addicted na kuandika 'afu'Vizuri! Umeshajirekebisha kwenye yale ma "X X X X" yako... bado una tatizo la "H" "I" na "A".
Unasoma shule gani?
😂😂😂😂😂😂Nimesoma comment zote kumbe wanaume wengi jf wapo getho lakini kwenye nyuzi zingine mnasemaga mnaishi kwenye majumba mna magar na mmeoa aisee hebu jaman punguzen hamjui mnavyotupa stress kuwa mmetoboa maishaa hatariii mtupe mbinu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mimi kwenda kukaa gheto haki nilifosi,yaani wazazi walikua wabishi kukubali woiii ikabidi niingie gharama ya kutafuta chuo niongezee elimu,nikaondoka home kwa kigezo cha kwenda kujisomea nikaenda kupanga ilala mchikichin karibu na kiwanda cha bia lol.Aisee kile kiwanda cha bia kilinifanya niwe nalewa kila mara maana ule upepo wa pombe ukivuma nahisi mawenge.Tokea hapo ndo ukawa mwanzo wa kujitegemea.
😂😂😂 ni addiction fulani hivi hata me nimejikuta ninayo thoe sio mchaga ila naishia Arusha.Kwa hiyo "woiii" naunga mkono hoja
hujaona lote, ni kubwa alafu self na maji ndani, umeme wa kwako mwenyewe, sema no tiles,
mi Niko mbioni...kukaaa ghetooo kikubwa uzimaWakuu mambo vipi,,Leo naomba tufanye kushare kila mtu jinsi alivyo chomoka Nyumbani kwao..Hii itatoa hamasa kwa wale waliokua nyumbani na kuogopa kuhama na kuanza kujitegemea.
Janga hili linawakumba wana vyuo wengi,unakuta mtu anamalza chuo akiwa labda ana 25 then anarud nyumbani ,mbaya zaid anasubir kazi..alaf kazi zenyew haijulkani utapata lini.
Hii inapelekea wana wengi kua na fear ya kuchomoka home...Kiukwel hali ya kukaa hom inakata sana..Mzee unakuta anachomoka anakuachia mikazi flani hivi howcome.
Ukija upande wa MMU ndio mambo yanakua sio mambo...mtoto anataka aje kukusalmia unaona soo kwasababu upo nyumbani..inakata sana hii
Tukija kwenye maisha ya kujituma tu..sometime unakosa hamasa ya kupambana kwasababu ugali wa bure,unalala bure,kila kitu bure..hii inakua ngumu kuwaza kwa mapana ili kuanza kukamilisha dream zako..
Pia inakata sana..pale wanao unakuta wapo na mageto yao..lakin wewe kwako ni tofauti.
Sasa naomba kila mmoja aseme alichomokaje home na kuanza kukomaa na maisha..Achilia changamoto zake kikubwa hapa ni kusepa kwa maza..
##Mimi binafsi geto nilianza kukaa soon nilivyoingia chuo,,,nakumbuka nilipata room ya elf 50 nikaanza nayo kibish,nikanunua bed ya 150, 5 kwa 6,nikatafuta feni tu ya elf 35..si unajua joto la dar..nikaingia k.koo nikavuta subwoofer ya elf 75 tu...geto bila mziki sio geto ni choo,kujichek mfukoni boom likawa lishakata...basi nikaendelea kuishi geto hadi namalza chuo geto likawa limesheheni tu...
sasa baada ya kumalza chuo. Ndio nikarudi hom..ujinga niliofanya ni kurud hom na baadhi ya vitu niliviuza...Kasheshe ndio ipo saiz..wakuu hom akili inalala,,vibe yote hakuna ,hapa ndio najichanga nichomoke tena nirud geto nianze kupambana..hop ndan ya huu mwaka nitakua nishasepa hom kwa mara nyingine.
Sasa share kitu basi nawewe..
#Nini lilikusukuma usepe home?
#Kitu gani kilikupa mzuka wa kuanza kukaa geto?
#Vipi ulianza kukaa geto ukiwa na kazi au kibishi tu?
#Maisha yalkuaje since day one?
#Je ulienjoy uamuzi wako wa kusepa home?
#ulianza kununa vitu gani vya msingi na kuanza kuishi geto
#Una lipi la kuwaambia wana walioko home hadi leo wakiogopa kukaa geto kisa hawana ajira bado?
Karibuni wakuu..
View attachment 878774
Hahah dah hawa viumbe hawataki Shida..pole sana mkuu na hongera sana kwa struggle..kutoka hom inatakiwa uwe mbish kwel ,ila ndio njia ya kujitegemeaAisee hatari,soon baada ya kumaliza chuo way back 2014 nikarudi home nikajaribu mishe za maskani ikawa chenga na maneno mengi ya maudhi,nikauza pc nikazama Dar kuna mwana akanipokea ,baada ya mwezi wa kutafuta ramani mshikaji kaniunganisha kazi alipokuwa anafanyia salary 270,000 per month nikapiga kaz by septemba 2015 kibarua kikaota nyasi kampuni ilifilisika mfukoni nina 1,200,000 jamaa akasema saiz kila mtu aangalie namna ya kujisaidia
Nikapiga akili mambo magumu had pesa ikakata hiyo ni may mwaka uliofuata,nikarudisha mpira kwa kipa tena kwa nauli ya kusaidiwa na mdau tuliyefahamiana tuu.Maskani michosho mingi kuna siku nikagoma kufanya ishu fulani fulani wakanitimua nikapanda gari hadi swax,alikuwepo mwana fulani home nilitoka na 60,000 baada ya kulipa nauli nikabakiwa na 40,000 hapo hakuna anayejua nikikokwenda.
Nikamkuta mwana akanipokea nikamwambia nimekuja kusaka life kazi yoyote ntafanya.jamaa akasema utakula ila pia kulala tafuta geto,ndo ikawa mara ya kwanza nimeanza kupanga hiyo ni june 2016 hapo godoro ni mabox mimi na ndoo moja tu ndo kiti hicho.Asubuhi nawahi kwenda kwenye vibarua jioni nakula kwa mshikaji nachagua nikipata.Baridi yote iliniishia maana nilikuwa na shuka tu na sakafu ya baridi,mwezi wa kumi baada ya kudunduliza nikanunua godoro na vyombo vichache vya kuanzia maisha.Ilifika kipindi hali ikawa ngumu sana sometime hakuna kazi unashindia miwa na bumunda tuu huku unawaza kodi na bili za maji na umeme,kodi ilikuwa 12,000 umeme 1000 na maji 2000 jumla 15,000 lakini inasumbua.Piga sana kazi za zege na saidia fundi kutwa 5000 ila ndo hivyo lazima maisha yaende
By Novemba 2016 Mungu saidia kuna mwana akanifanyia connection ya kazi za ukandarasi ambazo ndio fani yangu from there hadi leo hii ndio nilipata nafuu ya maisha japo ni kazi za muda zinaishia zinakuja tena so wanaofanya kazi kwa wakandarasi wanaelewa.Pamoja na kwamba sijatoboa niko kwenye nafuu maana nina familia na nina boma siku yoyote ntahamia kwangu
Ila kitu sitosahau nilipata tabu sana na ishu iliyonisikitisha nilipata demu nikamketa geto baada ya kuona jinsi lilivyochoka hakutaka kukaa na kuanzia hapo akaniblock.Wakati fulani pia nikiwa kwenye ukidampa kuna demu alinielewa but wenzie walimponda eti ntampa pesa gani wakati nashindia ukidampa nae akasepa nikaacha kabisa kutokea mademu,,
Unfortunately walisahau kwamba siku huwa zinatofautiana jana sio leo,hadi leo hii kwa upande wao mambo sio mazuri na wameshazalishwa ndo wamechoka hadi hurumaHahah dah hawa viumbe hawataki Shida..pole sana mkuu na hongera sana kwa struggle..kutoka hom inatakiwa uwe mbish kwel ,ila ndio njia ya kujitegemea
Ndio dawa yao..mim manz akinikimbia kisa hela,ndio nazidi kupata mzuka wa kuzchanga zaidi..kesho naringa mimi sasaUnfortunately walisahau kwamba siku huwa zinatofautiana jana sio leo,hadi leo hii kwa upande wao mambo sio mazuri na wameshazalishwa ndo wamechoka hadi huruma
Ipo page za mwanzoniSijaona experience yako PO
Haina maelezo ya kuridhisha. Nayafata maelezo wasap 😂😂Ipo page za mwanzoni
Wewe jamaa kwenye uzi huu ni mtu tofauti na zile nyuzi nyingine.Unfortunately walisahau kwamba siku huwa zinatofautiana jana sio leo,hadi leo hii kwa upande wao mambo sio mazuri na wameshazalishwa ndo wamechoka hadi huruma