Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Aise nakumbuka mwaka 2009 ,...nilivuoanza kukaa gheto kwangu nikiwa na miaka 21 tu ...nikiwa na kitanda cha 3 kwa 6 na sufuria 3 ...hapo nikiwa nimepanga

Mshua hakufaruhia kabisa uondokaji wangu , alizani nitafeli maisha ...haikuwah kutokea ...mpk leo

pamoja na kastool ka plastic ...mdogo mdogo na jiko la mafuta maisha yaakaanza kusonga na nilikuwa ugenini

Nilikuwa na kishughuli kilikiwa kinaniingizia sh 150,000 kwa mwezi ...

mpk leo namiliki mjengo wangu mkubwa kabisa vyumba 5 master bed room 2 .....yaaani nipo full

Maisha bwana sio mpk kuwa na hela nyingi ni kuamua tu...kwa mlio mwanza karibuni vijana mje mjifunze kwangu

Tafuta marafiki waliofanikiwa acha kukaa na marafiki walioshindwa hawawezi kukupa kabisa future
👍
 
Dah wazee mimi nimepata mchongo mkoa ambapo wazazi wapo kipato kipo fresh tu ila kuhama home ndio inakua kipengele mno.
 
Dah wazee mimi nimepata mchongo mkoa ambapo wazazi wapo kipato kipo fresh tu ila kuhama home ndio inakua kipengele mno.
hapo mwanawane usihame wewe tulia nyumbani bwana ya nini ukateseke kwenye miji ya watu wakati kwa dingi fulll raha
 
HAPPY SUNDAY VIJANA WENZANGU KATIKA JAMIIFORUMS.......!!!!!!

FB_IMG_1769611510442.jpg
 
Aisee ni upweke balaa kukaa peke yako.
ukiingia ndani tu kuongea ndio mpaka kesho
 
Back
Top Bottom