Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 23,010
- 32,902
🤝🤝Nina mwezi mmoja Sasa toka nitoke home na kuhamia kwangu,
Huu uzi ulinihamasisha sana
🤝🤝Nina mwezi mmoja Sasa toka nitoke home na kuhamia kwangu,
Huu uzi ulinihamasisha sana
👍Aise nakumbuka mwaka 2009 ,...nilivuoanza kukaa gheto kwangu nikiwa na miaka 21 tu ...nikiwa na kitanda cha 3 kwa 6 na sufuria 3 ...hapo nikiwa nimepanga
Mshua hakufaruhia kabisa uondokaji wangu , alizani nitafeli maisha ...haikuwah kutokea ...mpk leo
pamoja na kastool ka plastic ...mdogo mdogo na jiko la mafuta maisha yaakaanza kusonga na nilikuwa ugenini
Nilikuwa na kishughuli kilikiwa kinaniingizia sh 150,000 kwa mwezi ...
mpk leo namiliki mjengo wangu mkubwa kabisa vyumba 5 master bed room 2 .....yaaani nipo full
Maisha bwana sio mpk kuwa na hela nyingi ni kuamua tu...kwa mlio mwanza karibuni vijana mje mjifunze kwangu
Tafuta marafiki waliofanikiwa acha kukaa na marafiki walioshindwa hawawezi kukupa kabisa future
Miaka yako tafadhali.Dah wazee mimi nimepata mchongo mkoa ambapo wazazi wapo kipato kipo fresh tu ila kuhama home ndio inakua kipengele mno.
hapo mwanawane usihame wewe tulia nyumbani bwana ya nini ukateseke kwenye miji ya watu wakati kwa dingi fulll rahaDah wazee mimi nimepata mchongo mkoa ambapo wazazi wapo kipato kipo fresh tu ila kuhama home ndio inakua kipengele mno.
26Miaka yako tafadhali.
Fanya maamuzi magumu
Mzee Rufiji komaa MkuuAisee ni upweke balaa kukaa peke yako.
ukiingia ndani tu kuongea ndio mpaka kesho
Acha tu ni huzuni kwa kweliMzee Rufiji komaa Mkuu
Hiyo amani ulionayo wa sasa kuna siku utaikumbuka na sisemi kuishi mwenyewe ni vizuri ila mwanaume akiwa mwenyewe anakuwa bora zaidiAcha tu ni huzuni kwa kweli
Kidogo unanipa matumainiHiyo amani ulionayo wa sasa kuna siku utaikumbuka na sisemi kuishi mwenyewe ni vizuri ila mwanaume akiwa mwenyewe anakuwa bora zaidi