Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Hiki ni kisa changu. Nitaongea ukweli daima uongo kwangu mwiko

Mwaka mmoja baada ya kuhitimu masomo yangu ya chuo kikuu maarufu hapa bongo land nilikuwa nafukuzia fursa kadhaa mjini, wakati huo Bi mkubwa nimemkabidhi copy za vyeti vyangu na CV ili avipeleke kwenye maombi kwa nabii mmoja maarufu kutoka mji mmoja wa kanda ya nyanda za juu kusini wenye makanisa mengi kama Naijeria.

Fast forward. Siku hiyo baada ya kutoka kijiweni kucheza drafti nikapita kwenye kiosk kimoja hapo Mwaisa nikapiga viroba vinne vya ZED kisha nikaambaa mdogo mdogo mpaka kihome boy muda wa saa nane usiku, kufika home nikakuta taa zimezimwa na mlango umefungwa. Nikagonga kama mara nne kimya. Nikagonga tena na tena nikaona hakuna anayejibu.

Nikaanza kupayuka... "Ina maana mna dharau au hamnisikii, oyaa fungueni mlango bhana" . Hakuna aliyeitikia. Nikaona isiwe tabu, nikatoa msuba wangu wa bhange nikapuliza kama pafu nne kisha nikaazimia kuwa sitarudi tena maskani maana wamejikausha wote.

Nikaanza safari mdogo mdogo kwenda kwenye moja ya mabanda ya TV maarufu pale kitaa, hiyo sehemu ilisifika kwa watu kuangusha pale kwa kulipia pesa sawa na nauli ya kucheki muvi, yaani kwa jero tu unaangusha mpaka monii ila shuka utajua wewe na kitanda ni benchi au kiroba.

Pale nilikutana na wananzengo wana ndoto kubwa sana za kwenda mambele, wengine wanamafaili ya kufuatilia mirathi ya wazee wao, wengine mateja tu wanahesabu maokoto yao ya siku zile mia mbili mia mbili kisha wanaziuza kwa wauza chenchi. Tulipiga mastori mpaka saa 10 hivi ndio usingizi ukanichukua. Kushtuka saa 12 jamaa wameweka kanda ya X, nouma sana yaani madume tupu pale kila mtu mkono upo kwa mfuko macho kodo. Nikaona hiyo jau na mimi ni msomi nisiye na kitengo siwezi kujichoresha, nikaenda mitaa fulani maarufu kupiga supu ya kitimoto, enzi hizo ni mia tano kwa buku. Baada ya akili kukaa sawa sawa nikaona nikarudi nyumbani mdogo mdogo hiyo ni kama saa 2 asubuhi.

Mdogo mdogo njiani huku napiga mruzi, Kufika home nikakuta tranka langu la form six limewekwa nje, kuchungulia ndani kuna vyeti vyangu vyote vya elimu, vyeti vya ubatizo na nguo zangu. Dah! nilidata kucheki pembeni Bi mkubwa anapiga mswaki hata hana habari na mimi. Kumsalimia akaongea maneno ambayo nayakumbuka mpaka leo " Mzee wako amesema akirudi asikukute, kwa kukusaidia chukua lile godoro lako na sufuria mbili na ndoo ukaanze maisha yako".

Dah, hata kuoga sikukumbuka, sikuamini wanaona kijana wao wa miaka 25 nimekuwa na sina mchango wowote kwenye mjengo, nikachukua godoro huku nikimwangalia Bi mkubwa kwa macho ya huruma ili labda aseme jambo la huruma ila hakuongea chochote. Nikajua akufukuzae hana huruma na hacheki na nyani, nikasepa na tranka mkononi na gorodo kichwani. Hapo nilikuwa na akiba ya kama shilingi elfu 60 kwenye kibubu ndio mazima kwenda kupanga gheto la giza kwa miezi mitatu kwa Tsh. 45k.

Nilirudi nyumbani baada ya miezi tisa nikiwa nimekonda sana kwa kuchapwa na maisha ila nashukuru walinipokea na kunipa usia wa kuishi vizuri na walimwengu na kamwe nisiibe wala kutamani cha mtu. The rest is history.

Sio poa. Nimepitia mengi sana, nikipata nafasi nitatiririka. Trust the process.
Duh story ndefu balaaaaaaa
 
Hiki ni kisa changu. Nitaongea ukweli daima uongo kwangu mwiko

Mwaka mmoja baada ya kuhitimu masomo yangu ya chuo kikuu maarufu hapa bongo land nilikuwa nafukuzia fursa kadhaa mjini, wakati huo Bi mkubwa nimemkabidhi copy za vyeti vyangu na CV ili avipeleke kwenye maombi kwa nabii mmoja maarufu kutoka mji mmoja wa kanda ya nyanda za juu kusini wenye makanisa mengi kama Naijeria.

Fast forward. Siku hiyo baada ya kutoka kijiweni kucheza drafti nikapita kwenye kiosk kimoja hapo Mwaisa nikapiga viroba vinne vya ZED kisha nikaambaa mdogo mdogo mpaka kihome boy muda wa saa nane usiku, kufika home nikakuta taa zimezimwa na mlango umefungwa. Nikagonga kama mara nne kimya. Nikagonga tena na tena nikaona hakuna anayejibu.

Nikaanza kupayuka... "Ina maana mna dharau au hamnisikii, oyaa fungueni mlango bhana" . Hakuna aliyeitikia. Nikaona isiwe tabu, nikatoa msuba wangu wa bhange nikapuliza kama pafu nne kisha nikaazimia kuwa sitarudi tena maskani maana wamejikausha wote.

Nikaanza safari mdogo mdogo kwenda kwenye moja ya mabanda ya TV maarufu pale kitaa, hiyo sehemu ilisifika kwa watu kuangusha pale kwa kulipia pesa sawa na nauli ya kucheki muvi, yaani kwa jero tu unaangusha mpaka monii ila shuka utajua wewe na kitanda ni benchi au kiroba.

Pale nilikutana na wananzengo wana ndoto kubwa sana za kwenda mambele, wengine wanamafaili ya kufuatilia mirathi ya wazee wao, wengine mateja tu wanahesabu maokoto yao ya siku zile mia mbili mia mbili kisha wanaziuza kwa wauza chenchi. Tulipiga mastori mpaka saa 10 hivi ndio usingizi ukanichukua. Kushtuka saa 12 jamaa wameweka kanda ya X, nouma sana yaani madume tupu pale kila mtu mkono upo kwa mfuko macho kodo. Nikaona hiyo jau na mimi ni msomi nisiye na kitengo siwezi kujichoresha, nikaenda mitaa fulani maarufu kupiga supu ya kitimoto, enzi hizo ni mia tano kwa buku. Baada ya akili kukaa sawa sawa nikaona nikarudi nyumbani mdogo mdogo hiyo ni kama saa 2 asubuhi.

Mdogo mdogo njiani huku napiga mruzi, Kufika home nikakuta tranka langu la form six limewekwa nje, kuchungulia ndani kuna vyeti vyangu vyote vya elimu, vyeti vya ubatizo na nguo zangu. Dah! nilidata kucheki pembeni Bi mkubwa anapiga mswaki hata hana habari na mimi. Kumsalimia akaongea maneno ambayo nayakumbuka mpaka leo " Mzee wako amesema akirudi asikukute, kwa kukusaidia chukua lile godoro lako na sufuria mbili na ndoo ukaanze maisha yako".

Dah, hata kuoga sikukumbuka, sikuamini wanaona kijana wao wa miaka 25 nimekuwa na sina mchango wowote kwenye mjengo, nikachukua godoro huku nikimwangalia Bi mkubwa kwa macho ya huruma ili labda aseme jambo la huruma ila hakuongea chochote. Nikajua akufukuzae hana huruma na hacheki na nyani, nikasepa na tranka mkononi na gorodo kichwani. Hapo nilikuwa na akiba ya kama shilingi elfu 60 kwenye kibubu ndio mazima kwenda kupanga gheto la giza kwa miezi mitatu kwa Tsh. 45k.

Nilirudi nyumbani baada ya miezi tisa nikiwa nimekonda sana kwa kuchapwa na maisha ila nashukuru walinipokea na kunipa usia wa kuishi vizuri na walimwengu na kamwe nisiibe wala kutamani cha mtu. The rest is history.

Sio poa. Nimepitia mengi sana, nikipata nafasi nitatiririka. Trust the process.
Interesting,ukipata nafasi lete muendelezo mkuu
 
Tupieni mageto yenu😍
1000023099.jpg

Nimetoa mtandaoni
 
Hiki ni kisa changu. Nitaongea ukweli daima uongo kwangu mwiko

Mwaka mmoja baada ya kuhitimu masomo yangu ya chuo kikuu maarufu hapa bongo land nilikuwa nafukuzia fursa kadhaa mjini, wakati huo Bi mkubwa nimemkabidhi copy za vyeti vyangu na CV ili avipeleke kwenye maombi kwa nabii mmoja maarufu kutoka mji mmoja wa kanda ya nyanda za juu kusini wenye makanisa mengi kama Naijeria.

Fast forward. Siku hiyo baada ya kutoka kijiweni kucheza drafti nikapita kwenye kiosk kimoja hapo Mwaisa nikapiga viroba vinne vya ZED kisha nikaambaa mdogo mdogo mpaka kihome boy muda wa saa nane usiku, kufika home nikakuta taa zimezimwa na mlango umefungwa. Nikagonga kama mara nne kimya. Nikagonga tena na tena nikaona hakuna anayejibu.

Nikaanza kupayuka... "Ina maana mna dharau au hamnisikii, oyaa fungueni mlango bhana" . Hakuna aliyeitikia. Nikaona isiwe tabu, nikatoa msuba wangu wa bhange nikapuliza kama pafu nne kisha nikaazimia kuwa sitarudi tena maskani maana wamejikausha wote.

Nikaanza safari mdogo mdogo kwenda kwenye moja ya mabanda ya TV maarufu pale kitaa, hiyo sehemu ilisifika kwa watu kuangusha pale kwa kulipia pesa sawa na nauli ya kucheki muvi, yaani kwa jero tu unaangusha mpaka monii ila shuka utajua wewe na kitanda ni benchi au kiroba.

Pale nilikutana na wananzengo wana ndoto kubwa sana za kwenda mambele, wengine wanamafaili ya kufuatilia mirathi ya wazee wao, wengine mateja tu wanahesabu maokoto yao ya siku zile mia mbili mia mbili kisha wanaziuza kwa wauza chenchi. Tulipiga mastori mpaka saa 10 hivi ndio usingizi ukanichukua. Kushtuka saa 12 jamaa wameweka kanda ya X, nouma sana yaani madume tupu pale kila mtu mkono upo kwa mfuko macho kodo. Nikaona hiyo jau na mimi ni msomi nisiye na kitengo siwezi kujichoresha, nikaenda mitaa fulani maarufu kupiga supu ya kitimoto, enzi hizo ni mia tano kwa buku. Baada ya akili kukaa sawa sawa nikaona nikarudi nyumbani mdogo mdogo hiyo ni kama saa 2 asubuhi.

Mdogo mdogo njiani huku napiga mruzi, Kufika home nikakuta tranka langu la form six limewekwa nje, kuchungulia ndani kuna vyeti vyangu vyote vya elimu, vyeti vya ubatizo na nguo zangu. Dah! nilidata kucheki pembeni Bi mkubwa anapiga mswaki hata hana habari na mimi. Kumsalimia akaongea maneno ambayo nayakumbuka mpaka leo " Mzee wako amesema akirudi asikukute, kwa kukusaidia chukua lile godoro lako na sufuria mbili na ndoo ukaanze maisha yako".

Dah, hata kuoga sikukumbuka, sikuamini wanaona kijana wao wa miaka 25 nimekuwa na sina mchango wowote kwenye mjengo, nikachukua godoro huku nikimwangalia Bi mkubwa kwa macho ya huruma ili labda aseme jambo la huruma ila hakuongea chochote. Nikajua akufukuzae hana huruma na hacheki na nyani, nikasepa na tranka mkononi na gorodo kichwani. Hapo nilikuwa na akiba ya kama shilingi elfu 60 kwenye kibubu ndio mazima kwenda kupanga gheto la giza kwa miezi mitatu kwa Tsh. 45k.

Nilirudi nyumbani baada ya miezi tisa nikiwa nimekonda sana kwa kuchapwa na maisha ila nashukuru walinipokea na kunipa usia wa kuishi vizuri na walimwengu na kamwe nisiibe wala kutamani cha mtu. The rest is history.

Sio poa. Nimepitia mengi sana, nikipata nafasi nitatiririka. Trust the process.
In Mafian cartel l saying "interesting" leta kisa icho Ndege Tai leta story na wewe mzee wa jicho la mbali
 
Wakuu mambo vipi, leo naomba tufanye kushare kila mtu jinsi alivyochomoka Nyumbani kwao.. Hii itatoa hamasa kwa wale waliokua nyumbani na kuogopa kuhama na kuanza kujitegemea.

Janga hili linawakumba wana vyuo wengi,unakuta mtu anamalza chuo akiwa labda ana 25 then anarud nyumbani, mbaya zaidi anasubir kazi, halafu kazi zenyewe haijulikani utapata lini.

Hii inapelekea wana wengi kua na fear ya kuchomoka home. Kiukwel hali ya kukaa hom inakata sana..Mzee unakuta anachomoka anakuachia mikazi flani hivi howcome.

Ukija upande wa MMU ndio mambo yanakua sio mambo, mtoto anataka aje kukusalmia unaona soo kwasababu upo nyumbani, inakata sana hii

Tukija kwenye maisha ya kujituma tu. Sometime unakosa hamasa ya kupambana kwasababu ugali wa bure, unalala bure, kila kitu bure. Hii inakua ngumu kuwaza kwa mapana ili kuanza kukamilisha dream zako..

Pia inakata sana. Pale wanao unakuta wapo na mageto yao. Lakini wewe kwako ni tofauti.

Sasa naomba kila mmoja aseme alichomokaje home na kuanza kukomaa na maisha..Achilia changamoto zake kikubwa hapa ni kusepa kwa maza.

Mimi binafsi gheto nilianza kukaa soon nilivyoingia chuo, nakumbuka nilipata room ya elfu 50 nikaanza nayo kibishi, nikanunua bed ya 150, 5 kwa 6, nikatafuta feni tu ya elf 35..si unajua joto la dar..nikaingia k.koo nikavuta subwoofer ya elf 75 tu, gheto bila mziki sio geto ni choo, kujicheki mfukoni boom likawa lishakata, basi nikaendelea kuishi geto hadi namaliza chuo gheto likawa limesheheni tu.

sasa baada ya kumalza chuo. Ndio nikarudi home ujinga niliofanya ni kurudi home na baadhi ya vitu niliviuza. Kasheshe ndio ipo saa hizi. wakuu home akili inalala, vibe yote hakuna, hapa ndio najichanga nichomoke tena nirud geto nianze kupambana. hope ndani ya huu mwaka nitakua nishasepa hom kwa mara nyingine.

Sasa share kitu basi nawewe.

Nini lilikusukuma usepe home?
Kitu gani kilikupa mzuka wa kuanza kukaa geto?
Vipi ulianza kukaa geto ukiwa na kazi au kibishi tu?

Maisha yalikuaje since day one?
Je ulienjoy uamuzi wako wa kusepa home?
ulianza kununa vitu gani vya msingi na kuanza kuishi geto
Una lipi la kuwaambia wana walioko home hadi leo wakiogopa kukaa geto kisa hawana ajira bado?

Karibuni wakuu.

Acheni tu vitu vingine sio vya kuandika hapa.. ila nilihama siku ile ile .. usiku wa kwanza nililalia mapazia🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Wakuu mambo vipi, leo naomba tufanye kushare kila mtu jinsi alivyochomoka Nyumbani kwao.. Hii itatoa hamasa kwa wale waliokua nyumbani na kuogopa kuhama na kuanza kujitegemea.

Janga hili linawakumba wana vyuo wengi,unakuta mtu anamalza chuo akiwa labda ana 25 then anarud nyumbani, mbaya zaidi anasubir kazi, halafu kazi zenyewe haijulikani utapata lini.

Hii inapelekea wana wengi kua na fear ya kuchomoka home. Kiukwel hali ya kukaa hom inakata sana..Mzee unakuta anachomoka anakuachia mikazi flani hivi howcome.

Ukija upande wa MMU ndio mambo yanakua sio mambo, mtoto anataka aje kukusalmia unaona soo kwasababu upo nyumbani, inakata sana hii

Tukija kwenye maisha ya kujituma tu. Sometime unakosa hamasa ya kupambana kwasababu ugali wa bure, unalala bure, kila kitu bure. Hii inakua ngumu kuwaza kwa mapana ili kuanza kukamilisha dream zako..

Pia inakata sana. Pale wanao unakuta wapo na mageto yao. Lakini wewe kwako ni tofauti.

Sasa naomba kila mmoja aseme alichomokaje home na kuanza kukomaa na maisha..Achilia changamoto zake kikubwa hapa ni kusepa kwa maza.

Mimi binafsi gheto nilianza kukaa soon nilivyoingia chuo, nakumbuka nilipata room ya elfu 50 nikaanza nayo kibishi, nikanunua bed ya 150, 5 kwa 6, nikatafuta feni tu ya elf 35..si unajua joto la dar..nikaingia k.koo nikavuta subwoofer ya elf 75 tu, gheto bila mziki sio geto ni choo, kujicheki mfukoni boom likawa lishakata, basi nikaendelea kuishi geto hadi namaliza chuo gheto likawa limesheheni tu.

sasa baada ya kumalza chuo. Ndio nikarudi home ujinga niliofanya ni kurudi home na baadhi ya vitu niliviuza. Kasheshe ndio ipo saa hizi. wakuu home akili inalala, vibe yote hakuna, hapa ndio najichanga nichomoke tena nirud geto nianze kupambana. hope ndani ya huu mwaka nitakua nishasepa hom kwa mara nyingine.

Sasa share kitu basi nawewe.

Nini lilikusukuma usepe home?
Kitu gani kilikupa mzuka wa kuanza kukaa geto?
Vipi ulianza kukaa geto ukiwa na kazi au kibishi tu?

Maisha yalikuaje since day one?
Je ulienjoy uamuzi wako wa kusepa home?
ulianza kununa vitu gani vya msingi na kuanza kuishi geto
Una lipi la kuwaambia wana walioko home hadi leo wakiogopa kukaa geto kisa hawana ajira bado?

Karibuni wakuu.

Kuondoka Nyumbani kwanza ni swala moja la kujitambua, lakini linaitaji mamuzi magumu sana na sio swala la kujionea huruma au la kujiuliza sasa itakuwaje?

Napenda kuelezea jinsi ya mimi nilivyo ondoka nyumbani na kwenda mtaani na kuanza kupanga geto.

Nilimaliza chuo mwaka juzi nikiwa na umbri wa 25, baada ya graduation nilirudi nyumbani na kukaa mwezi mmoja tu na baada ya hapo nikawaga wazee na kuwambia mimi naenda mtaani kupangisha na kuanza maisha.

Mwanzo walianza kuweka ugumu na kusema subiri kwanza mpaka upate ajira, nikawaeleza kila siku mnasikia swala la ajira ni changamoto ya dunia nzima. Acheni niende nikaanze kupambana huku na kule huwenda itajulikana riziki yangu ilipo.

Uzuri nikiwa chuoni mwaka wa pili toka mwisho, nianza kujipanga kununua kitanda, godoro pamoja na zulia. Kwahiyo nilikuja navyo home.

Nilipanga chumba cha elfu 60 na hapo sikuwa na mziki wala meza wala kochi la kukaa. Huku kichwani na ujuzi tu wa graphics Designs nilio jifunza kipindi nikiwa chuoni kupitia YouTube.

Kwahiyo nikanza maisha hivyo hivyo na laptop yangu, nikaenda mji ambao sijulikani ila kuna mwanangu mmoja alikuwa ananifahamu so akanipa ramani ya kwanza ya kufundisha vijana wa twishen. Nikaifanya weee lakini haikuwa malengo nikacha

Nikarudi kwenye design mana hapo sasa nikanza kufamiana na watu na kupata deal moja na mbili.

Kwahiyo mpaka sasa niko mtaa na hivyo ndivyo niliondoka nyumbani.
 
Kuna mwanangu yupo above 25 ni mwanachuo ila anaishi kwao na msela wake flani hivi ni wa kishua na huyo msela wake anaishi na mama yake pekee yao coz huyo bi mkubwa alizaa kijana mmoja tu

Sasa kila akimuomba yule maza kuwa anaomba akapange bimkubwa anasema hapana asubiri kwanza amalize masomo ndio akaanze maisha yake ila pesa ambazo anataka akapange ni bora azitunze au awekeze ili siku akimaliza awe na pa kushika

Je,jamaa aendelee kusubiri au achague njia yake!??

Majibu tafadhali
 
Kufupisha story ni kwamba gari ile niliifanya uber kipindi hicho ndo uber imeanza hope nilizidisha mapambano kwani nlikuwa nahakikisha nalaza laki kila siku ya Mungu na wife wakati yupo na ujauzito mkubwa akaajiri mtu wa kusambaza vitu vyake kwa wateja huku na mimi nikisambaza vyangu kwa gari huku wakati mwingine nikimsambazia na yeye.

Mwisho wa siku nilifungua duka ambalo wife baada a kujifungua akawa ndo msimamizi na pia deni la mzee la 20k kila siku nililitimiza na mwisho wa siku gari ikawa yetu.

Nakumbuka siku ya harusi babamkwe akatupa kiwanja kwa kusema altupa mtihani wa kujinunulia wenyewe means ile hela tulokuwa tunampa kila siku aliitunza na kutununulia zawadi ya kiwanja huku nasi tukiwa na vingine vitatu

Hiyo ndo story yangu ya geto ambayo imenipa mke na nyumba ambayo naimalizia now,watoto wangu mapacha,pamoja na gari 3,maduka na biashara nyingine na kunifanya nisahau kuajiriwa japo nina degree yangu ya first class
Jerry Mouse muongo wewe
 
Back
Top Bottom