Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Tofauti ni bei, vitanda vya mbao imara mara nyingi huvikuti vime pangwa barabarani, we ukitaka kitanda imara nenda viwandani panapo tengenezwa fenicha muuzaji ana kwambia fenicha ya mbao hii bei yake ni hii, kitanda cha mbao imara 5 kwa5 si chini ya laki 6 na nusu, siku zote ukitaka kitu cha bei rahisi lazima uimara wake ni duni kitanda cha mbao cha laki tatu, mbili havi dumu na mara nyingi wana vipaka rangi.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Utapigwa bei kwa bidhaa hiyo hiyo
 
IMG_8356.jpg

 
Haya sasa yametosha , hayo , tufikirieni kununua viwanja vya kujenga nyumba , lets tuambizaneni maeneo gani yanafaaa kununua kiwanja for future use !! Taja na mkoa uliko. Mm niko moshi ,. Maeneo ya mjohoroni ni kuzuri maana ni startegic for now and later
 
Kujenga ni uoga wa maisha
Haya sasa yametosha , hayo , tufikirieni kununua viwanja vya kujenga nyumba , lets tuambizaneni maeneo gani yanafaaa kununua kiwanja for future use !! Taja na mkoa uliko. Mm niko moshi ,. Maeneo ya mjohoroni ni kuzuri maana ni startegic for now and later
 
Haya sasa yametosha , hayo , tufikirieni kununua viwanja vya kujenga nyumba , lets tuambizaneni maeneo gani yanafaaa kununua kiwanja for future use !! Taja na mkoa uliko. Mm niko moshi ,. Maeneo ya mjohoroni ni kuzuri maana ni startegic for now and later
Mie nawaza nikaanzishe kijiji sehemu yeyote isiyo na mwenyewe.
 
viporo hapana aisee
Heri nipike robo kiishe


Hilo friji linajaaga juu tu
Chini hata kwa bahati mbaya sikumbuki
Nijaze nyanya? Nazifanyia nini
Robo unamaliza??

Mie ningekuwa naishi mwenyewe aisee nisingekuwa napika

Ninaoishi nao wananivumilia ninavyowalisha
 
Back
Top Bottom