Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,930
- 136,692
Nataka nifanye hivyo,siwezi kuliacha aisee,Unakomaa naye fundi hapo hapo mpaka kieleweke. Tenga siku nzima ili uhakikishe unakamilisha kazi, tena kabla hajaanza mwambie kabisa unaondoka nayo huiachi.

kuna fundi alikuja nitengenezea taa,kanambia atamleta fundi hapa home,nisitoke nalo watanipiga