Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Unakomaa naye fundi hapo hapo mpaka kieleweke. Tenga siku nzima ili uhakikishe unakamilisha kazi, tena kabla hajaanza mwambie kabisa unaondoka nayo huiachi.
Nataka nifanye hivyo,siwezi kuliacha aisee,
 
Kabisa ukiona vipi nenda na mwanaume yoyote rafiki au kaka yako maana nyinyi ladies huwa mnaonewa sana kwenye mambo ya ufundi baadhi ya vitu hamvijui labda kama umevisomea ndipo huwezi kudanganywa
kuna fundi alikuja nitengenezea taa,kanambia atamleta fundi hapa home,nisitoke nalo watanipiga
 
Nasubiri ndoto. Yangu ni mbeya kiutafuyaji. naona kupo poa
Kabisa itatimia na hivi hali ya hewa ni nzuri sana kama hupendi joto huko patakufaa sana. Ukienda jitahidi kufanya diet maana si kwa misosi hiyo.
 
Kabisa itatimia na hivi hali ya hewa ni nzuri sana kama hupendi joto huko patakufaa sana. Ukienda jitahidi kufanya diet maana si kwa misosi hiyo.
Ni kweli aisee

Hali ya hewa ipo njema kabisa,
 
Back
Top Bottom