Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,954
- 136,754
Ujifunze kutumia na kuosha pale unapotumia,usiwe unajaza Vyoto hadi vinaotea ukungu,kuviosha tena hadi kinyaaLaivu,kwa nini wachina wasifanye maajab yao watengeze mashine ya kuoshea vyombo!!..mbona ya kufulia waliweza?

tumia chombo suuza hata kama usipoosha na sabuni,mwaga uchafu usilale na uchafu ndani.

