min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,625
Kiroho[emoji1787][emoji1787]Mumeo ana shida kiroho na kimwili, tafuta msaada wa maombi na councelling kwake
Usimchoke huyo ni mume wako!
Kiroho[emoji1787][emoji1787]Mumeo ana shida kiroho na kimwili, tafuta msaada wa maombi na councelling kwake
Usimchoke huyo ni mume wako!
Uwo ni wongo Numbi[emoji4][emoji4]Comments za wanaume suruali zimejaa humu kisa ananangwa mario mwenzao
[emoji16][emoji16] mtoto halali na pesa.Muombee
Hapo kwenye pombe January to December na hana pesa, yeye ni zaidi ya Spongy
Kirahisi hivyoPiga chini huyo mme
Na mimi nawaza hivyo lazima kuna jamaa anamkula sa jamaa keshagundua tatizo sasa hivi hana hela hilo ndo tatizo!!!!Hapa umesikiliza maneno ya upande mmoja. Pengine hadithi ni tofauti kabisa kama utasikia maelezo ya mumewe. Na pengine mumewe amegeuka kuwa mlevi kwa sababu yake. Na pengine anakwenda mpaka kazini kutukana kwa sababu kuna mwanamme wake! Haya ni mawazo yangu tu lakini....
Naam[emoji16][emoji16] mtoto halali na pesa.
😂Upooo singooooooooo hapanaaa nishampata wangu [emoji98]
Siku zileeeeeee ulileta uzi wako unasema jamaa amesema ili aniowe anataka tugawane mshahara wangu, huku jf watu walikuwambia huyo hakufai achana nae ,Wapendwa habarini,
Mimi ni mwanamke ila sasa nakutana na changamoto kwenye ndoa. Mwanaume hana kazi wala kipato chochote kile anachoingiza ila ulevi wa pombe ni January hadi December.
Ninachokipata kazini tunagawana ila ndo hivyo pombe lakini hilo halina shida bora alewe kwa starehe zake lakini swala linakuja ananiharibia hadi kazini kwangu.
Inafika kipindi ananifuata kazini kwangu na kutukana staff wenzangu kitu ambacho naona kitaniharibia kazi muda sio mrefu.
Naomba kama kuna msaada naweza pata mahali ili nilinde kibarua changu maana ndo kinachotuweka mjini. Naombeni msaada wenu na ukizingatia kibarua chenyewe nafanyia kanisani na kanisa na hayo mambo ni tofauti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Comments za wanaume suruali zimejaa humu kisa ananangwa mario mwenzao
Pole sana.Wapendwa habarini,
Mimi ni mwanamke ila sasa nakutana na changamoto kwenye ndoa. Mwanaume hana kazi wala kipato chochote kile anachoingiza ila ulevi wa pombe ni January hadi December.
Ninachokipata kazini tunagawana ila ndo hivyo pombe lakini hilo halina shida bora alewe kwa starehe zake lakini swala linakuja ananiharibia hadi kazini kwangu.
Inafika kipindi ananifuata kazini kwangu na kutukana staff wenzangu kitu ambacho naona kitaniharibia kazi muda sio mrefu.
Naomba kama kuna msaada naweza pata mahali ili nilinde kibarua changu maana ndo kinachotuweka mjini. Naombeni msaada wenu na ukizingatia kibarua chenyewe nafanyia kanisani na kanisa na hayo mambo ni tofauti.
Naomba tafuta ndimu saba, kilo ya chumvi ya mawe na mizizi ya mkafiri kisha tuwasilianeWapendwa habarini,
Mimi ni mwanamke ila sasa nakutana na changamoto kwenye ndoa. Mwanaume hana kazi wala kipato chochote kile anachoingiza ila ulevi wa pombe ni January hadi December.
Ninachokipata kazini tunagawana ila ndo hivyo pombe lakini hilo halina shida bora alewe kwa starehe zake lakini swala linakuja ananiharibia hadi kazini kwangu.
Inafika kipindi ananifuata kazini kwangu na kutukana staff wenzangu kitu ambacho naona kitaniharibia kazi muda sio mrefu.
Naomba kama kuna msaada naweza pata mahali ili nilinde kibarua changu maana ndo kinachotuweka mjini. Naombeni msaada wenu na ukizingatia kibarua chenyewe nafanyia kanisani na kanisa na hayo mambo ni tofauti.
Wapendwa habarini,
Mimi ni mwanamke ila sasa nakutana na changamoto kwenye ndoa. Mwanaume hana kazi wala kipato chochote kile anachoingiza ila ulevi wa pombe ni January hadi December.
Ninachokipata kazini tunagawana ila ndo hivyo pombe lakini hilo halina shida bora alewe kwa starehe zake lakini swala linakuja ananiharibia hadi kazini kwangu.
Inafika kipindi ananifuata kazini kwangu na kutukana staff wenzangu kitu ambacho naona kitaniharibia kazi muda sio mrefu.
Naomba kama kuna msaada naweza pata mahali ili nilinde kibarua changu maana ndo kinachotuweka mjini. Naombeni msaada wenu na ukizingatia kibarua chenyewe nafanyia kanisani na kanisa na hayo mambo ni tofauti.
Kama una 1m kuna dawa ya asili. Lazima aache.Wapendwa habarini,
Mimi ni mwanamke ila sasa nakutana na changamoto kwenye ndoa. Mwanaume hana kazi wala kipato chochote kile anachoingiza ila ulevi wa pombe ni January hadi December.
Ninachokipata kazini tunagawana ila ndo hivyo pombe lakini hilo halina shida bora alewe kwa starehe zake lakini swala linakuja ananiharibia hadi kazini kwangu.
Inafika kipindi ananifuata kazini kwangu na kutukana staff wenzangu kitu ambacho naona kitaniharibia kazi muda sio mrefu.
Naomba kama kuna msaada naweza pata mahali ili nilinde kibarua changu maana ndo kinachotuweka mjini. Naombeni msaada wenu na ukizingatia kibarua chenyewe nafanyia kanisani na kanisa na hayo mambo ni tofauti.