Ulevi wa mume unaelekea kuniharibia kazi

Ulevi wa mume unaelekea kuniharibia kazi

wanawake tukishakua tunaingiza vi sh mbili tatu tuna dharau za asili, utajitahidi umbebe kadri uwezavyo lakini utachoka haraka sana inawezekana umeanza kumuonyesha dharau, humthamini na maneno ya kebehi sababu ya kua unamlisha ww kesi za ndoa hazisikilizwi upande mmoja, halaf nikwambie kitu kama mpaka alewe ndio aje afanye fujo hapo unapopaita kibaruan ujue amekunywa kusudi sababu ya huyo mlengwa mbona akiwa macho mkavu haji kuropoka?? nahivo nyie mlolongo wenu wa kuachana ni mrefu ni heri muachane tu kwa uzima wa afya ya akili ya baba wa watu.
 
Si uliolewa na huyo mwanaume kwa ajili ya urefu wa dushe sio tabia? Basi sawa wacha bwana short man akunyooshe

 
Huwa siamini moja kwa moja kauli ya mwanamke akilaumu mwanaume, huwenda ulivyo eleza hapa sivyo, hatujui mwanzo wa hio situation kwani ni nadra sana mtu kufanya kama hivyo bila msukumo wa sababu, tungepata bahati ya kusikia upande wa pili walao.
 
Huwa siamini moja kwa moja kauli ya mwanamke akilaumu mwanaume, huwenda ulivyo eleza hapa sivyo, hatujui mwanzo wa hio situation kwani ni nadra sana mtu kufanya kama hivyo bila msukumo wa sababu, tungepata bahati ya kusikia upande wa pili walao.
Anahisi kazi inampa kiburi au ana mtu anamla huko kazini.

Kati ya haya mawili moja ni sahihi
 
Nipo apa dilemma nipo kazini mwenzangu ajira bado, kaniambia ili tufunge ndoa inabidi mshahara wangu tugawane pasu kwa pasu ndo anioe.

Nipo tu nimebaki njia panda.

mimi ni mwanamke ila sasa nakutana na changamoto kwenye ndoa , mwanaume hana kazi wala kipato chochote kile anachoingiza ila ulevi wa pombe ni january adi december nnacho kipata kazini tunagawana ila ndo ivo pombe

Si ulikubali mwenyewe kuolewa naye...pambana na hali yako
 
Hii stori ni ya upande mmoja. Wanawake sio wa kuwaamini sana na hizi stori za kusikia upande wao.

Kuna uwezekano jamaa now hana kazi, unamsumbua na hata kazini amekuja kuchenchia sababu ya uhusiano wako na wanaume wengine.

Naona umemkomalia kuhusu ulevi wake yeye kutokua na kazi. I believe there is more to this story
Angekuwa mwanaume ndio katoa story kumlalamikia mke wake msingetaka kusikia upande wa pili
 
humu ndani likiletwa baya la mwanaume anatetewa kwa marungu na mapanga, lakini mwanamke akileta lake anashutumiwa yeye ndiye mwenye makosa..!!

Hivyo baba zetu wapendwa, kati yenu hakuna wanaume wasiojielewa..??
Ushahidi wa mwanamke unatakiwa udhibitishwe na watu wa tatu, ushahidi wa mwanaume unajidhibitisha wenyewe, hata hivyo wapo wanaume wabaya.
 
Naweza kuhisi wewe ndo yule tulikuewa paoja kazi maalum mwezi wa 9, mumeo alikuwa anakupigia simu hadi ukashindwa kulala eneo la tukio ,kama ndo wewe pole sana mkuu huna mme, ujue mwanamme siku zote amezaliwa kuwa juu,saa inapotokea mwanamke akawa juu mwanamme hukosa kujiamini,kila mwanamme utakaye cheka naye yeye anahisi ni hawala yako wewe.


Huo ni mtihani sana,na ukimwachwa anaweza kukudhuru kimwili kwa namna yoyote,sasa akili za kuambiwa changanya na zako,muwe makini katika kutafuta watu wa kuwaoeni,mfano mimi na ualimu wangu wa diploma huu nikimuoa mkuu wa wilaya au mbunge lazima nishindwe kujiamini .

Sasa wewe tumia busara kushughulika nalo,akili za kuambiwa changaya na zako,alisema jk
 
Back
Top Bottom