Ulevi wa mume unaelekea kuniharibia kazi

Ulevi wa mume unaelekea kuniharibia kazi

halafu mimi nikajua 100% wanawake mnapendaga hela ila sasa wewe umenipa tena idea tofauti.

hapo ukute unafuatwa na wanaume wenye maisha yao kidogo yanaeleweka na wewe unawakataa na unawambia nina mume 🙌

turudi kwenye mada :

hela za kulewa anapata wapi ?

kama wewe ndio unampa basi acha huo ujinga
 
Aombe likizo ofisini kwake ya wiki moja au mbili halafu akae nyumbani, mume akimuuliza mbona huendi kazini? Amjibu nimefukuzwa kazi kwa sababu yako, wakati huo awe ameieleza ofisi huo mpango wake. Ila mbinu hii itategemea mahusiano yake na ofisi
 
Pole kwa changamoto unayopitia

Huyo ndiyo chaguo lako my dear lakini kabla hatujatia neno lolote la kukushauri wewe mwenyewe ujikague wapi mnapishana sana na huyu Mume mlevi..

Maswali ya kuku uliza je hii tabia ameanza tu sasa hivi Au alikuwa mlevi tangu mnaanzaa uhusiano?na kama hapana wewe unajua nini chanzo cha yote mpaka amefikia hapo.

Huenda kuna namna ulimuonesha dharau na hii inawezekana kwa uzoefu wanawake walioshika sana habari za kanisani bila maarifa wengi wenu mnafeli sana kwenye masuala ya jinsi ya kuishi na waume zenu kwasababu mnawatii sana wachungaji wenu kuliko waume zenu..

Muda mwingi mnataka kujadili mambo ya kanisani kuliko hata mambo ya maendeleo ya Familia zenu pia.Kama alikuoa tayari akiwa mlevi wewe pia utakuwa ulikuwa mlevi Kwahiyo wewe ndiyo mtu pekee na muhimu zaidi wa kumsadia huyu Mume mlevi usimkimbie wala Lazima kuna mahali mlianza kupishana na hukumuonesha heshima kama anakufata mpk kazini lazima kuna kitu anakupinga kuhusu kazini kwako ndiyo maana Ana ujasiri wa kuja kutukana hapo kazini kwako,Kaa ujiulize na ufanyie kazi hicho mnachopishania.

Kuna mambo umempinga bila heshima na hujataka kujishusha hakuna mwanaume Jeuri mbele ya mke anayemueshimu..
 
Siku akilewa kwa bed wakati unampea tundra kimasihara mchomeke dole la kati pale anaponyeaga. Make sure Lina sink ipasavyo then atatulia tuli
 
Back
Top Bottom