Akwota
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 791
- 633
Mmoja kanipigia simu ananiambia za siku, alafu anasema ni siku nyingi hatujaonana tangu kipindi kile tupo posta.
Nikamwambia ishia hapo hapo ...akakata simu.





Mmoja kanipigia simu ananiambia za siku, alafu anasema ni siku nyingi hatujaonana tangu kipindi kile tupo posta.
Nikamwambia ishia hapo hapo ...akakata simu.





Ha ha ha njaa mbaya sana yule jamaa ambae anasambaza picha za nyuki wakiwa wamejaa kwa MTU au kifaa kilichoibiwa anajiita mzee wa nyuki kumbe nae tapeli tu
Ni hivi juzi kati aliibiwa dogo laptop yake sasa katika pitapita face book na wasap kakuta hizo picha akajaa kumbe mzee wa nyuki kamwambia atume salio na majina matatu dogo salio kakwama ikabidi anistue nikamwambia huyo atakuibia akagoma nikamwambia amwambie huyo mganga amfanyie kwanza akipata kifaa chake ndio tumlipe tukiingia mitini hizo nyuki atume kwetu,,
Mzee nyuki kuambiwa hivo matusi kama yote eti nyuki wangu nawatoa kwa gharama basi toeni hata hela ya kiti basi.
Dogo kapiga kimya kama siku mbili cha ajabu mzee nyuki ye ndio anapiga simu kila Mara kuulizia hela inatumwa au vp, nikamwambia dogo unaona yaan aliyeibiwa amepozi lkn mganga anakomaa kupiga simu kama mpiga debe akitafuta abiria.





Mzee wa nyuki,


Ilikua tarehe 26 mwezi wa 8 hapa natamani kwenda kwa waganga nikawaroge.Duu lini hiyo? Ilikuwaje?
Na wazazi wangu sijawambia hadi Leo sijui pakuanzia kuwaambia kuwa nimetapeliwa.mwache aendelee tu anakitafuta atakipata
Habali ya leo.mimi MICAEL KUYUNGA.samahani kuna boc wangu yupo serengeti mbuga ya wanyama poli yupo na wageni wake ni wazungu.watalii.wanataka kununua vitu vya kitamaduni kama vinyago vya kuchonga na mti wa mpingo,mabatiki,mashuka ya kimasai na vitu vingine vingi.kaniomba nimtafutie mtu naemjuwa na mwaminifu amsaidie kwenye manunuzi ya hivyo vitu.kama uko tayali nimpatie namba zako akupe maelekezo zaid.mimi naumwa matonses na kifua nimebanwa sauti imenikauka.uwe unanitumia sms kwa mawasiliano zaidi.
Namba iliyotumika ni 0621 375081


.Pole sana mkuu. Naona wamekuchanganya akili hadi imeshafika tarehe 26 mwezi wa 8.Ilikua tarehe 26 mwezi wa 8 hapa natamani kwenda kwa waganga nikawaroge.
KWELI haisee ilikua tarehe 26 mwez wa 7 dah hapa nimefurugwa nitaanzaje kuwaambia wazazi na ilikua ada ya shule.Pole sana mkuu. Naona wamekuchanganya akili hadi imeshafika tarehe 26 mwezi wa 8.
Tulitapeliana na huyu binti km binti mpk tkt katuma nikaenda Moscow kula bata,nikajirudia zangu kimyaa mtaani nikakata line,mirska mtoto alikua mtamu balaa Skype kwa kwenda mbele.
Mi nikajua tu katumwa huyu,nikamlamba tkt piga fix kuna project ya pesa mingi nikifika Ferrari nini nafix.
Aah nikapata free safari.
Matusi badae nikayakoga potelea karibu.
Kigugumo na Mwanadilatu kwenye makao mapya.njaa mzee baba. Hatutaki kwenda Kigugumo kulima. Tunataka tukomae mjini wakati mjini shule