Ule utapeli wa kijuha umeanza tena...

Ule utapeli wa kijuha umeanza tena...

Ha ha ha njaa mbaya sana yule jamaa ambae anasambaza picha za nyuki wakiwa wamejaa kwa MTU au kifaa kilichoibiwa anajiita mzee wa nyuki kumbe nae tapeli tu
Ni hivi juzi kati aliibiwa dogo laptop yake sasa katika pitapita face book na wasap kakuta hizo picha akajaa kumbe mzee wa nyuki kamwambia atume salio na majina matatu dogo salio kakwama ikabidi anistue nikamwambia huyo atakuibia akagoma nikamwambia amwambie huyo mganga amfanyie kwanza akipata kifaa chake ndio tumlipe tukiingia mitini hizo nyuki atume kwetu,,
Mzee nyuki kuambiwa hivo matusi kama yote eti nyuki wangu nawatoa kwa gharama basi toeni hata hela ya kiti basi.
Dogo kapiga kimya kama siku mbili cha ajabu mzee nyuki ye ndio anapiga simu kila Mara kuulizia hela inatumwa au vp, nikamwambia dogo unaona yaan aliyeibiwa amepozi lkn mganga anakomaa kupiga simu kama mpiga debe akitafuta abiria.
Mzee wa nyuki,
 
Habali ya leo.mimi MICAEL KUYUNGA.samahani kuna boc wangu yupo serengeti mbuga ya wanyama poli yupo na wageni wake ni wazungu.watalii.wanataka kununua vitu vya kitamaduni kama vinyago vya kuchonga na mti wa mpingo,mabatiki,mashuka ya kimasai na vitu vingine vingi.kaniomba nimtafutie mtu naemjuwa na mwaminifu amsaidie kwenye manunuzi ya hivyo vitu.kama uko tayali nimpatie namba zako akupe maelekezo zaid.mimi naumwa matonses na kifua nimebanwa sauti imenikauka.uwe unanitumia sms kwa mawasiliano zaidi.

Namba iliyotumika ni 0621 375081

makao yao makuu pale njia ya kwenda argentina......barabara ya morogoro road
 
Nimepigiwa simu muda wa SAA tano Leo anataka taarifa zangu za mpesa et wakala wa voda huduma kwa wateja

Namba hii

+255693168808
 
Hueleweki
Tulitapeliana na huyu binti km binti mpk tkt katuma nikaenda Moscow kula bata,nikajirudia zangu kimyaa mtaani nikakata line,mirska mtoto alikua mtamu balaa Skype kwa kwenda mbele.
Mi nikajua tu katumwa huyu,nikamlamba tkt piga fix kuna project ya pesa mingi nikifika Ferrari nini nafix.
Aah nikapata free safari.
Matusi badae nikayakoga potelea karibu.
 
NAWAFUATILIA KIDOGO TAHARIFA NILIYOIPATA HAWA MAJAMAA WANAGROUP LAO WhatsApp UKO MOROGORO WANAFUNDISHANA MBINU MPYA ZA KUIBA MITANDAONI.
 
Nimewafuata inbox TCRA kuwaelezea hili swala la utapeli limeshamiri tunechoka.
Nawasubiri kama watajibu SMS yangu.
 
Kidogo wanipune hela ya pango maana nilikuwa na miadi ya kuituma kesho yake baadae nikapokea msg kutoka namba mpya kwamba nitume pango la nyumba namba fulani fasta nikawekza pesa kwenye laini yangu tiyari kwa kutuma shida ikaja simu ikawa haipokelewi nami nikasita tuma ndo pona yangu nikawa nimewachania mkeka
 
Back
Top Bottom