Hii message ni ya zamani....nimewahi tumia mwaka 2015Habali ya leo.mimi MICAEL KUYUNGA.samahani kuna boc wangu yupo serengeti mbuga ya wanyama poli yupo na wageni wake ni wazungu.watalii.wanataka kununua vitu vya kitamaduni kama vinyago vya kuchonga na mti wa mpingo,mabatiki,mashuka ya kimasai na vitu vingine vingi.kaniomba nimtafutie mtu naemjuwa na mwaminifu amsaidie kwenye manunuzi ya hivyo vitu.kama uko tayali nimpatie namba zako akupe maelekezo zaid.mimi naumwa matonses na kifua nimebanwa sauti imenikauka.uwe unanitumia sms kwa mawasiliano zaidi.
Namba iliyotumika ni 0621 375081
Nakushauri siku nyingine usichezee ada ya shule maana hizo siyo pesa zako ni za aliyekupa na aliyetakiwa kuzipokea kutoka kwako. Subiri uchezee mshahara wa ajira yako au faida kwenye biashara yako hizo ndiyo pesa zako.KWELI haisee ilikua tarehe 26 mwez wa 7 dah hapa nimefurugwa nitaanzaje kuwaambia wazazi na ilikua ada ya shule.
Learned a hard wayNakushauri siku nyingine usichezee ada ya shule maana hizo siyo pesa zako ni za aliyekupa na aliyetakiwa kuzipokea kutoka kwako. Subiri uchezee mshahara wa ajira yako au faida kwenye biashara yako hizo ndiyo pesa zako.
Leo ni siku ya tatu lakini hii tarehe bado hatujaifika, sasa sijui ikifika hii tarehe ndio watakupiga hizo 420?Ilikua tarehe 26 mwezi wa 8 hapa natamani kwenda kwa waganga nikawaroge.
Lakini hata hiyo si unaona imeishia na 100...mostly huduma kwa wateja ni 100...hata TTCL utaona imeanza 222100100Pengine! Na si unajua haya mambo huwa yanakuja kutokana na experience mtu aliyokumbana nayo. Asante kwa kuniongezea maarifa.
Mimi niliwahi kuwatapeli hao jamaa 5000Tsh maana nilikuwa sina MB's.
Hawakujua sina hata mia,
Wakanipigia simu kunipa deal hilo nawachora tu mwisho wakanipa namba za mtu mwingine nimtumie hela 150000/- nikakubali ila ndo nikamwambia nina 146000 tu ngoja nitafute iyo 5000 ndo nitume kumbe mi nimelala zangu sina hata mia,
Yule bwana si akaona nachelewa kutuma hela maana alikuwa anapiga sana simu, nikamuambia anitumie iyo 5000 mpesa halafu nitume kwenye ile namba alonambia tuchukue mzigo.
Akatuma mi nikaunga bando.















Habali ya leo.mimi MICAEL KUYUNGA.samahani kuna boc wangu yupo serengeti mbuga ya wanyama poli yupo na wageni wake ni wazungu.watalii.wanataka kununua vitu vya kitamaduni kama vinyago vya kuchonga na mti wa mpingo,mabatiki,mashuka ya kimasai na vitu vingine vingi.kaniomba nimtafutie mtu naemjuwa na mwaminifu amsaidie kwenye manunuzi ya hivyo vitu.kama uko tayali nimpatie namba zako akupe maelekezo zaid.mimi naumwa matonses na kifua nimebanwa sauti imenikauka.uwe unanitumia sms kwa mawasiliano zaidi.
Namba iliyotumika ni 0621 375081