Ule utapeli wa kijuha umeanza tena...

Ule utapeli wa kijuha umeanza tena...

Hapo ndipo nikapata mashaka na kwa kujiridhisha zaidi nikachukua namba zao na kusearch majina yao kwa kutumia mpesa yule mmoja ambaye alijiita Frank namba yake ilisoma kwa jina la Hamis,na yule aliyejiita Odeso namba yake ikatokea kwa jina la Tatu Suleiman.
Nikagundua kwamba ni matapeli nikaishia kucheka peke yangu,na hadi Sasa hivi hawajanitafuta tena.
Hahahaha,waliwai nipigia pia Kwa jina akajitambulisha hivyo hivyo Frank,safari hii walisema ni pump za maji zipo mwenge Suma jkt.
 
Hili game halitakaa liishe! Kuna mjanja mwingine kalizwa 10M kasoro kidogo hapa mjini just last week! Analia kama kapigwa bomu la machozi.


Mburura hawaishagi dunia hii!
 
Habali ya leo.mimi MICAEL KUYUNGA.samahani kuna boc wangu yupo serengeti mbuga ya wanyama poli yupo na wageni wake ni wazungu.watalii.wanataka kununua vitu vya kitamaduni kama vinyago vya kuchonga na mti wa mpingo,mabatiki,mashuka ya kimasai na vitu vingine vingi.kaniomba nimtafutie mtu naemjuwa na mwaminifu amsaidie kwenye manunuzi ya hivyo vitu.kama uko tayali nimpatie namba zako akupe maelekezo zaid.mimi naumwa matonses na kifua nimebanwa sauti imenikauka.uwe unanitumia sms kwa mawasiliano zaidi.

Namba iliyotumika ni 0621 375081
ni njaa tu jamani
 
Mimi mwenyewe leo walinikosakosa nimetumiwa meseji na namba ya Bosi wangu wa zamani akisema anataka kuniunganisha na mjomba wake Kuna biashara ya haraka haraka tuipige,kwa hiyo namba yangu anampatia huyo mjomba wake anipe maelekezo.
Baada ya dakika 3 akanipigia huyo mjomba yake akajitambulisha kwa jina la Frank na akasema yupo kwenye miradi ya serikali ya fummigation,kwa hiyo anasema Kuna wageni wamekuja dar na wanahitaji madawa/kemikali za fummigation kwa hiyo anataka Mimi niisimamie hiyo biashara ili tupate faida ya juu.
Baada ya hapo akasema ananiunganisha na Sales manager wa kiwanda Cha Shelys pharmaceuticals Mwenge anaitwa Odeso yeye ndio atahusika na kutoa hizo bidhaa.
Basi akanipa namba za huyo meneja nikampigia na kuongea naye Kisha nikaulizia Bei za hizo dawa nikaambiwa zinauzwa laki mbili kwa box moja.
Baada ya hapo nikamrudia yule aliyenipa maelekezo(frank) nikampa feedback ya Bei ambayo ni laki 2 Kisha akaniambia sisi itabidi tuuze laki 3 kila box moja.
Akasema hatua inayofuata anipe namba za wateja ambao alidai wako kwenye hotel maeneo ya Sinza ili niwape Bei halaf wakiafiki nikaonane nao tumalize biashara na kupata mahela na alidai hao wateja Wana uwezo wa kuchukua hata box 50.
Jamaa akanitumia namba zao hao wateja,lakini kwa bahati nzuri machale yakanicheza nikasema ngoja kabla sijaongea na hao wateja ili nianze kutoka home na kusogea maeneo ya mwenge ngoja kwanza nijiridhishe na kuconfirm Kama Kuna ukweli.
Nilichofanya nikampigia mtu wa Mwanzo kabisa ambaye namba yake naifaham Kama ya Bosi wangu isije ikawa amepoteza simu halaf imeokotwa na wahuni.
Nilivyompigia akapokea lakini akawa hataki kuongea sana na akawa ananong'ona kwa sauti ya chini na kuongea maneno machache yafuatayo,"nipo kwenye kikao nitakupigia baadae" kwa sauti ya kunong'ona.
Hapo ndipo nikapata mashaka na kwa kujiridhisha zaidi nikachukua namba zao na kusearch majina yao kwa kutumia mpesa yule mmoja ambaye alijiita Frank namba yake ilisoma kwa jina la Hamis,na yule aliyejiita Odeso namba yake ikatokea kwa jina la Tatu Suleiman.
Nikagundua kwamba ni matapeli nikaishia kucheka peke yangu,na hadi Sasa hivi hawajanitafuta tena.
Mkuu ungesubiri uone hela wanataka kukupigia wapi, najua mwishoni wangekutaka utoe hat kilo moja!!
 
Mkuu ungesubiri uone hela wanataka kukupigia wapi, najua mwishoni wangekutaka utoe hat kilo moja!!
Yes ndio hivyo,wangesema imepungua laki 2 kwenye manunuzi nijitolee then badae biashara ikishafanyika watanifidia wakati wa kugawana.
 
Habari za leo? Kuna shemeji yangu anaitwa William anakuja na biashara na ana mzigo wangu nimemtumia namba yako atakupigia maana amepatwa na ajali ya gari njiani naomba nijulishe kwa message simu yangu inasumbua maiki.
 
Habari za leo? Kuna shemeji yangu anaitwa William anakuja na biashara na ana mzigo wangu nimemtumia namba yako atakupigia maana amepatwa na ajali ya gari njiani naomba nijulishe kwa message simu yangu inasumbua maiki.
Wajinga sana hawa, kila mmoja eti simu inasumbua maiki.
 
MZEE RINUS ni bingwa wa tiba asilia biashara kushinda kesi mapenzi nyota mvuto uzazi pete nguvu za kiume masomo kupata mali kumwita mme au mke,no,0754666100
 
Mkuu ungesubiri uone hela wanataka kukupigia wapi, najua mwishoni wangekutaka utoe hat kilo moja!!
Huyu wangempiga kweny kulipia risiti ili aonekane yeye ndo muuzaji kwa wale wateja wa sinza
Hapo angecheua hata 500k,

M nilikoswa koswa hapo(alhamdullillah, bahati ckuwa hata na Mia, ila niliingia kingi, but jamaa akajifanya yupo chimbo kinyama, huko aliko hakuna mpesa wala tigo pesa, hivyo nilipe mm, baadae mshiko ukiingia watanilipa hata kwa riba)
Nikanyuti km masaa natafuta wa kumkopa, nilipokosa pa Kukopa laki tano, nikakwambia jamaa nimepata laki nne na 80, nitumie 20000 nijazie ili nikalipie risiti, eti wananambia nitume hiyo hiyo, baada ya mda nikampigiq aliyeniunga, na kumwambia jamaa kakataa, kumbe ndo Hao Hao, basi pale pale wakakata cm na kujua kuwa nimeotea mchezo,

Loh, nilichomoka kimiujiza, na huu Ndo ulikuwa mchezo wangu wa fungulia dimba, mwaka wa kwanza nipo chuo, ushamba umenijaa cjui chochote,

Nawashukuru Hawa mabaharia walinifungua bongo, hadi nikatamani kujiunga na hii movie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom