Ule utapeli wa kijuha umeanza tena...

Ule utapeli wa kijuha umeanza tena...


Rafiki yangu aliibiwa simu akiwa anasafiri, mara nikatumiwa ujumbe kuwa simu yake imeharibika na anasafiri ila amepatwa na shida kidogo hivyo nimtumie laki moja na namba ikatumwa ya kutumia hela. Nikampigia akakata na kutuma ujumbe kuwa simu mbovu hatutoelewana.

Nikiwa njiani kuelekea kwa wakala nafsi ikasita, nikampigia mama yake bahati nzuri nae(rafiki) ndio alikuwa amefika, kumueleza akastuka kweli, ikabidi aanze mchakato wa kuwajulisha alioweza kuwa ameibiwa simu. Ila kuna mjomba wake alikwishatuma pesa.
 

Rafiki yangu aliibiwa simu akiwa anasafiri, mara nikatumiwa ujumbe kuwa simu yake imeharibika na anasafiri ila amepatwa na shida kidogo hivyo nimtumie laki moja na namba ikatumwa ya kutumia hela. Nikampigia akakata na kutuma ujumbe kuwa simu mbovu hatutoelewana.

Nikiwa njiani kuelekea kwa wakala nafsi ikasita, nikampigia mama yake bahati nzuri nae(rafiki) ndio alikuwa amefika, kumueleza akastuka kweli, ikabidi aanze mchakato wa kuwajulisha alioweza kuwa ameibiwa simu. Ila kuna mjomba wake alikwishatuma pesa.
Kwa staili hii hata mimi nilinusurika sana kupigwa.
 
Habali ya leo.mimi MICAEL KUYUNGA.samahani kuna boc wangu yupo serengeti mbuga ya wanyama poli yupo na wageni wake ni wazungu.watalii.wanataka kununua vitu vya kitamaduni kama vinyago vya kuchonga na mti wa mpingo,mabatiki,mashuka ya kimasai na vitu vingine vingi.kaniomba nimtafutie mtu naemjuwa na mwaminifu amsaidie kwenye manunuzi ya hivyo vitu.kama uko tayali nimpatie namba zako akupe maelekezo zaid.mimi naumwa matonses na kifua nimebanwa sauti imenikauka.uwe unanitumia sms kwa mawasiliano zaidi.

Namba iliyotumika ni 0621 375081
Hahaha ilinitokea mwaka jana mwishoni mwishoni ,mbaya zaidi walitumia namba ya rafiki yangu iliyokuwa imepotea. Na me nilikuwa sifahamu kama ile namba imepotea
Kilichofanya nishtuke alipokuwa hataki nmpigie simu,then nitume 100k kwa namba nyingine waliokuwa wameitaja
 
Kuna mjinga flan kanipigia juzi eti ooh!Kuna mtu kakosea kutuma pesa kwako naomba uturudishie..nikamwambia hebu jaribu kwa mwingine utapata...baada ya hapo alivurumisha matusi vby sn
Mimi aliniambia anatoka kampuni ya voda! Kuna pesa imetumwa kimakosa hivyo niirudishe. Halafu walivyokuwa hawatumii akili, code namba zao si za huduma za wateja bali ni za wateja. Alivyoona nimemshutukia ananiambia subiri sasa tukufungie line yako halafu akakata simu.
 
Habali ya leo.mimi MICAEL KUYUNGA.samahani kuna boc wangu yupo serengeti mbuga ya wanyama poli yupo na wageni wake ni wazungu.watalii.wanataka kununua vitu vya kitamaduni kama vinyago vya kuchonga na mti wa mpingo,mabatiki,mashuka ya kimasai na vitu vingine vingi.kaniomba nimtafutie mtu naemjuwa na mwaminifu amsaidie kwenye manunuzi ya hivyo vitu.kama uko tayali nimpatie namba zako akupe maelekezo zaid.mimi naumwa matonses na kifua nimebanwa sauti imenikauka.uwe unanitumia sms kwa mawasiliano zaidi.

Namba iliyotumika ni 0621 375081

Hii ya kizamani sana mkuu....hawa na wale wa madawa ni wa kale sana..
 
Nafikiri ukishatapeliwa ndio unakuwa umekabidhiwa rasmi advance diploma ya ujinga.

Na ukienda polisi kushtaki automatically unakuwa umepata degree ya ujinga. ....maana kule unakuwa kituko zaidi cha karne, ... hasa wanapoanza kuuliza km huwa unasoma meseji za polisi? .....in case umepigwa kwa style ya (TUMA HELA KWA NAMBA HII.)

Huu utapeli wa meseji km aliyoletewa Mshana, ni random search ya watu wenye tamaa za kijinga (a deal is always too good to be true.)

Huwezi kutapeliwa km wewe si mjinga , na huna tamaa.
 
ile itume kwenye namba hii angekula hela yangu sema kuweka neno 'itume haraka' alikosea

kuna bwana mdg nilitakiwa mtumia hela na nilimwahidi siku iyo mara msg ya itume kwa namba hii iyo hapo ila nikashangaa bwana mdg anasema itume haraka nikakausha kumbe ni bwana tapeli.
 
Back
Top Bottom