CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,915
Ukiangalia maandamano ya Wakulima Ulaya yana fikirisha sana na kujikuta nawaza kama tuna lima huku Africa au tuna tania tu.
Ulaya wakulima wana nguvu mno, kaisi kwamba sisi tunaonekana tuna cheza tu, na Wakulima sio tu wana nguvu pia wanaogopewa sana na sio Ulaya tu hata Asia nchi kama India mwaka jana au juzi kulikuwa na movement moja ya Wakulima wa India, ile movement ilifanya Serikali ya India inyoshe mikono juu.
Ulaya pia EU inaelekea kusalimu amri kwa wakulima, wakulima wanauwezi wa kuangusha Serikali.
Tanganyika hii ni haiwezekani, hatuwezi hata robo ya movement za wakulima Wazungu huko nje na haitakaa itokee hata kufikia robo ya nguvu zao.
Ulaya wakulima wana nguvu mno, kaisi kwamba sisi tunaonekana tuna cheza tu, na Wakulima sio tu wana nguvu pia wanaogopewa sana na sio Ulaya tu hata Asia nchi kama India mwaka jana au juzi kulikuwa na movement moja ya Wakulima wa India, ile movement ilifanya Serikali ya India inyoshe mikono juu.
Ulaya pia EU inaelekea kusalimu amri kwa wakulima, wakulima wanauwezi wa kuangusha Serikali.
Tanganyika hii ni haiwezekani, hatuwezi hata robo ya movement za wakulima Wazungu huko nje na haitakaa itokee hata kufikia robo ya nguvu zao.