Ila waswahili watu wa fitna sana yani baada ya mapinduzi wakamuona okelo mshenzi na kumpa majina yote mabaya ili kupata sababu ya kumfukuza znz karume atawale, bila shaka huu ushauri ulitoka kwa mwalimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani alikua ni mtu mzuri?