mizigo mikoa yote
Member
- Dec 2, 2023
- 19
- 28
Basi la kampuni ya Frester Road Ways limepata ajali maeneo ya katikati ya Gairo na Kiyegea, limegongana uso kwa uso na lori.
Taarifa za awali ni kuwa dereva wa basi alikuwa anataka kuovertake bila kuchukua tahadhali.
Taarifa za awali ni kuwa dereva wa basi alikuwa anataka kuovertake bila kuchukua tahadhali.