Hivi ndivyo ilivyotokea kituo cha polisi
Mwanamke alimleta "mpenzi" wake polisi kuwa amempiga. Mwanamume akasema huyu ni mpenzi wangu kumetokea kutoelewana, sijampiga. Mwanamke akasema tuliachana ananifuata fuata. Polisi akasema kwa nini unamfuata wakati hakutaki. Sema ukweli, umempiga?
Mwanamume akasema "Mimi ni muislamu, nasema ukweli, IsLamu dini yangu, nimempiga makofi mawili tu!"
Polis akasema ukweli utakuweka huru, Zunguka, toa mkanda, vua viatu, kabidhi kila kitu. Tukamuacha amelala huko. UKWELI UMEMUWEKA HURU.
Mwanamke alimleta "mpenzi" wake polisi kuwa amempiga. Mwanamume akasema huyu ni mpenzi wangu kumetokea kutoelewana, sijampiga. Mwanamke akasema tuliachana ananifuata fuata. Polisi akasema kwa nini unamfuata wakati hakutaki. Sema ukweli, umempiga?
Mwanamume akasema "Mimi ni muislamu, nasema ukweli, IsLamu dini yangu, nimempiga makofi mawili tu!"
Polis akasema ukweli utakuweka huru, Zunguka, toa mkanda, vua viatu, kabidhi kila kitu. Tukamuacha amelala huko. UKWELI UMEMUWEKA HURU.