Ukweli utabaki kuwa ukweli

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ vawulensiiiiiiiii!!!
Uduguu taratibuu, kwani humu kuna ma kwapu kwapu?
Uwiiiiih
Mwachi anaboa kweli mtoto wa kiume gani hakazi..!! Kila muda anamjibu shit marry km kaibiwa danga lake 😏

Amuache Marry atupe ubuyu wambea tumumunye..!! 😹😹
 
Majiraniiiiiiiiii hukuuuuuu!!!
Nacheka km mwehu hapaaa!! Da Marry ulikutana na nini hikoo?

Sasa nawee ulitembea bila pocket money yakooo?
Unakwamaa wapiii? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hapo sasa!! JF tushazoea kila kitu wazi wazi.
Km kipochi na kipili pili kinawekwa peupee, waja Wasuuze makengeza yao.

Ishindikane hili jambo lake, afanye kutuewekea mzima mzima, waja tudeveleke nao.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapo kwenye kipilipili sasa πŸ˜ΉπŸ˜ΉπŸ‘Œ
Ila JF ina hekaheka sana..!!
 
Majiraniiiiiiiiii hukuuuuuu!!!
Nacheka km mwehu hapaaa!! Da Marry ulikutana na nini hikoo?

Sasa nawee ulitembea bila pocket money yakooo?
Unakwamaa wapiii? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Dada Mimi sikuwa na hela, mbona sikuzote nasemaga ukweli ,ila nikikutana nae waivyo siku nyingine namsaidia, wamechoka kwakweli πŸ˜‚
 
😹😹😹😹😹😹 Dah!!
Nyie mbwaa njooni huku Siri zenu zimevuja kumbe mko choka mbaya..!!
Mwenziooo nachekaaa hapaa, hadi machoziii.
Hadi sahivi, wanaume wa JF, boss ni mume wangu tyuh Mjep

Woiiiiiiiiih πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwachi anaboa kweli mtoto wa kiume gani hakazi..!! Kila muda anamjibu shit marry km kaibiwa danga lake 😏

Amuache Marry atupe ubuyu wambea tumumunye..!! 😹😹
Mwachiii hampendi Da Marry toka mwanzo, sijui wamekwazana wapiii?
Au hataki mwenzie atambe JF. yaan hapa naona raha kusoma huu ubuyuu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…