Ukweli utabaki kuwa ukweli

Ukweli utabaki kuwa ukweli

Kavaa jeans na tishet,na sandiz sijui yeboyebo,simu imepasukapasuka kioo anaperuzi Kwa kuificha,halafu ananiongopea eti atanipa 50000 elfu,nilimuonea huruma ningekuwa na elfu kumi walau ningempata,wee chenji 800 kaisubiri karibu nusu saa😂😂😂😂🤥
😂😂 So, uchawi ulikuwa ni 50k tu, angefikisha hiyo, ungeishi nae!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom