cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Tupoo na tunatamba!! ๐๐๐๐Nawapenda Sana,ila nyie wambea
Khaaa๐๐๐
Tupoo na tunatamba!! ๐๐๐๐Nawapenda Sana,ila nyie wambea
Khaaa๐๐๐
Babe!Yeye tu aumwage hakuna wa kumshambulia, mabodigadi tuko vizuri..!! ๐น๐น๐น
Awataje bhana tutajua tu id zao maarufu zipi hatujawahi kushindwa..!! ๐น๐นHaswaaaa!! Ulinzi tuna uweza na kuu mudu kabisaa.
๐๐๐๐๐
๐น๐น๐น Yani Mbaga sijui kwanini nahisi mmojawapo ni wewe au poor brain ๐คฃSasa hv nimeacha kuvaa yeboyebo, unavaa masendeu yale ya wamasai ๐
Wapasue basi tulale Marry kesho dadaako nna kazi ya kupanga vijora ujue..!! ๐นNawapenda Sana,ila nyie wambea
Khaaa๐๐๐
Ningeandamana nisingekukuta hapa ๐๐๐๐๐๐๐๐ Da Marry, em shusha ubuyu mzima, mbna unanipa heka heka za kutafuta hitimisho la hii sakata.
Usiniambie ulikutana na mtu choka mbayaa hivyo? Woiiiiiiih
๐๐๐๐๐๐
๐๐๐Wapasue basi tulale Marry kesho dadaako nna kazi ya kupanga vijora ujue..!! ๐น
Fanya jambo basi ๐น๐๐๐
Yuko moto zaidi ya moto wenyeweWanamwita mariagoleti.
Mm sijawahi kukutana na demu yeyote humu, nilitaka Ww ndo uwe wa kwanza ila ukanitolea nje ๐๐น๐น๐น Yani Mbaga sijui kwanini nahisi mmojawapo ni wewe au poor brain ๐คฃ
Naona umenichoka wewe na hunitakii mema ๐๐Kaka oa hapa..!!
Au sio ๐น๐นMm sijawahi kukutana na demu yeyote humu, nilitaka Ww ndo uwe wa kwanza ila ukanitolea nje ๐
Anyway, hata hvy mm jobless hvy sina makuu mpaka nije nikutane na mtu ambaye najua nakwenda kupoteza hata hicho kdg nilichobaki nacho mana mm sio tuu hy 800 kuing'ang'ania, hata Ingekuwa 200 nngeipambania ๐
Ndio my wangu wa zamani wa mchongo ๐Au sio ๐น๐น
Sema ulipambana kwenye ile vita mshkaji wangu, ulinunua ugomvi km USA ๐น๐น๐นNdio my wangu wa zamani wa mchongo ๐
Alinunua ugomvi na ukamuacha solembaSema ulipambana kwenye ile vita mshkaji wangu, ulinunua ugomvi km USA ๐น๐น๐น