Ukweli utabaki kuwa ukweli

Ukweli utabaki kuwa ukweli

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Da Marry, em shusha ubuyu mzima, mbna unanipa heka heka za kutafuta hitimisho la hii sakata.

Usiniambie ulikutana na mtu choka mbayaa hivyo? Woiiiiiiih
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ningeandamana nisingekukuta hapa ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Yani Mbaga sijui kwanini nahisi mmojawapo ni wewe au poor brain ๐Ÿคฃ
Mm sijawahi kukutana na demu yeyote humu, nilitaka Ww ndo uwe wa kwanza ila ukanitolea nje ๐Ÿ˜Ž

Anyway, hata hvy mm jobless hvy sina makuu mpaka nije nikutane na mtu ambaye najua nakwenda kupoteza hata hicho kdg nilichobaki nacho mana mm sio tuu hy 800 kuing'ang'ania, hata Ingekuwa 200 nngeipambania ๐Ÿ˜‚
 
Mm sijawahi kukutana na demu yeyote humu, nilitaka Ww ndo uwe wa kwanza ila ukanitolea nje ๐Ÿ˜Ž

Anyway, hata hvy mm jobless hvy sina makuu mpaka nije nikutane na mtu ambaye najua nakwenda kupoteza hata hicho kdg nilichobaki nacho mana mm sio tuu hy 800 kuing'ang'ania, hata Ingekuwa 200 nngeipambania ๐Ÿ˜‚
Au sio ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom