Ukweli utabaki kuwa ukweli

Ukweli utabaki kuwa ukweli

😂😂😂😂😂 Da Marry, em shusha ubuyu mzima, mbna unanipa heka heka za kutafuta hitimisho la hii sakata.

Usiniambie ulikutana na mtu choka mbayaa hivyo? Woiiiiiiih
😂😂😂😂😂😂
Ningeandamana nisingekukuta hapa 😀😀😀
 
😹😹😹 Yani Mbaga sijui kwanini nahisi mmojawapo ni wewe au poor brain 🤣
Mm sijawahi kukutana na demu yeyote humu, nilitaka Ww ndo uwe wa kwanza ila ukanitolea nje 😎

Anyway, hata hvy mm jobless hvy sina makuu mpaka nije nikutane na mtu ambaye najua nakwenda kupoteza hata hicho kdg nilichobaki nacho mana mm sio tuu hy 800 kuing'ang'ania, hata Ingekuwa 200 nngeipambania 😂
 
Mm sijawahi kukutana na demu yeyote humu, nilitaka Ww ndo uwe wa kwanza ila ukanitolea nje 😎

Anyway, hata hvy mm jobless hvy sina makuu mpaka nije nikutane na mtu ambaye najua nakwenda kupoteza hata hicho kdg nilichobaki nacho mana mm sio tuu hy 800 kuing'ang'ania, hata Ingekuwa 200 nngeipambania 😂
Au sio 😹😹
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom