Ukweli unauma, serikali ya CCM lazima mkubali kuwa hamkubaliki maeneo haya

duh nyumbu hivi unajua mada iliyoko mezani au ndo unyumbu unakuzingua
Unawashwawashwa eeh! Mada mtakuwa nazo ninyi raia wa kupiga kura? Si mnajificha ccm siku hizi! Tutaonana 2020 na hapo tutatafutana na kuutambua unyumbu nilionao na ngedere wewe usipakimbie hapa! Na usibadili id yako hii ya kiwavi mavi!
 
Unawashwawashwa eeh! Mada mtakuwa nazo ninyi raia wa kupiga kura? Si mnajificha ccm siku hizi! Tutaonana 2020 na hapo tutatafutana na kuutambua unyumbu nilionao na ngedere wewe usipakimbie hapa! Na usibadili id yako hii ya kiwavi mavi!
duh kweku siku hizi mmeishiwa mmebaki na matusi tu nyumbu, hadi mada husika umeshaisahau.
 
duh kweku siku hizi mmeishiwa mmebaki na matusi tu nyumbu, hadi mada husika umeshaisahau.
Nikujibuje kwa kiswahili hicho ulichoandika hapo? Labda kwa kirundi tutaelewana ola sio kiswahili chako hiki! Kisha niache kwani mie sio wa level yako.
 
Nikujibuje kwa kiswahili hicho ulichoandika hapo? Labda kwa kirundi tutaelewana ola sio kiswahili chako hiki! Kisha niache kwani mie sio wa level yako.
kweli mi si wa level yako kama unasahuau hadi mada usika unaonekana hata necta mbili hujazimaliza
 
Back
Top Bottom