Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,503
- 86,053
Kama kwenye hii dunia Kuna genge la wanafiki basi niamini Ndugu yangu, CCM ni baba wa Hilo Genge. Leo baada ya kutangazwa Kwa Uteuzi wa Makonda nimewasiliana na Wana CCM wengi Tena very influential wanasema hawajapendezewa, unawauliza mbona Sasa mko kimya? Wanakosa majibu!
CCM wameshindwa kuwa na spirit ya kuhoji kwakua akili, ufahamu, utashi vyote wamemkabidhi MTU mmoja anayeitwa Mwenyekiti wa CHAMA! Huyu mara zote anakua na nguvu juu ya kila MTU na Kila kitu, Kwa CCM Mwenyekiti ndio mwenye akili kuliko wote.
Hali hii inawafanya CCM wengi kama Sio wote waishi maisha ya kinafiki sana kwakua wanavizia vyeo na madaraka Ili waibe. Kiujumla Kuna wakati ukiangalia hata at least Waliokuwa wanafanya Vizuri kidogooooo walichukuliwa na Magufuli kutoka Upinzani.
Niwashauri CCM, acheni Ile moto yenu ya ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI! Kuna siku atakuja kuwaingiza shimoni kama vifaranga vya Bata.
Makonda hamumpendi kama ilivyokua Kwa Juliana Shonza, Mwita, Katambi, Julius, Dogo janja, Mwambi, Mkumbo na wengine ambao walitoka Upinzani na kuja CCM kushika top positions au nafasi za serikali yenu na nyie mkikenua macho tu kama waliovuta bangi mbichi.
CCM wameshindwa kuwa na spirit ya kuhoji kwakua akili, ufahamu, utashi vyote wamemkabidhi MTU mmoja anayeitwa Mwenyekiti wa CHAMA! Huyu mara zote anakua na nguvu juu ya kila MTU na Kila kitu, Kwa CCM Mwenyekiti ndio mwenye akili kuliko wote.
Hali hii inawafanya CCM wengi kama Sio wote waishi maisha ya kinafiki sana kwakua wanavizia vyeo na madaraka Ili waibe. Kiujumla Kuna wakati ukiangalia hata at least Waliokuwa wanafanya Vizuri kidogooooo walichukuliwa na Magufuli kutoka Upinzani.
Niwashauri CCM, acheni Ile moto yenu ya ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI! Kuna siku atakuja kuwaingiza shimoni kama vifaranga vya Bata.
Makonda hamumpendi kama ilivyokua Kwa Juliana Shonza, Mwita, Katambi, Julius, Dogo janja, Mwambi, Mkumbo na wengine ambao walitoka Upinzani na kuja CCM kushika top positions au nafasi za serikali yenu na nyie mkikenua macho tu kama waliovuta bangi mbichi.