Ukweli mchungu: Kombe la Mapinduzi ni mashindano ya kutoa fursa kwa wachezaji wanaochipukia

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,018
144,377
Japo sijui kama hii ndio ilikuwa dhamira ya viongozi wa Yanga na kocha wa timu hiyo, ila ukweli ni kuwa kwa kocha makini na viongozi makini wa timu za ligu kuu, mashindano haya ni fursa ya kuona vipaji na uwezo wa wachezaji chipukizi pamoja na wale wa kikosi cha pili. Kutumia proffesinal players kwa mashindano kama haya huku una michezo ya kimataifa na ligi kuu, sio tu ni ku-risk, bali ni matumizi mabovu ya resources na kuwanyima fursa wachezaji chipukizi.

Huu ndio ukweli kwa wale wanaoona mbali na wenye malengo ya kuchukua vikombe vyenye kuheshimisha timu na hata nchi kwa ujumla. Hivyo, kama huu ndio ulikuwa mpango wa timu ya Yanga, basi wamefanya jambo sahihi na kwa hizi mechi walizocheza, kocha atakuwa teyari amejua ni mchezaji yupi wa kumpandisha na yupi bado.

The end justifies the means.

Habari ndio hio.
 
Japo sijui kama hii ndio ilikuwa dhamira ya viongozi wa Yanga na kocha wa timu hiyo, ila ukweli ni kuwa kwa kocha makini na viongozi makini wa timu za ligu kuu, mashindano haya ni fursa ya kuona vipaji na uwezo wa wachezaji chipukizi pamoja na wale wa kikosi cha pili.

Huu ndio ukweli kwa wale wanaoona mbali na wenye malengo ya kuchukua vikombe vyenye kuheshimisha timu na hata nchi kwa ujumla. Hivyo, kama huu ndio ulikuwa mpango wa timu ya Yanga, basi wamefanya jambo sahihi na kwa hizi mechi walizocheza, kocha atakuwa amejua ni mchezaji yupi wa kumpandisha na yupi bado.

The end justifies the means.

Habari ndio hio,
Jaribu kufatilia hata kipindi cha Nabi, wachezaji wanaocheza kwenye hili kombe ni watoto + wa majaribio + wasiopata namba. Ila nakumbuka kuna mechi ilikuwa dhidi ya Azam, Nabi akawapandisha kwenye boti wachezaji waliokuwa mapumziko wakila bata ili waje kuongeza nguvu ila hatimaye wakatolewa kwa penati. Gamondi kabakia na msimamo wake tokea awali hadi hatua ya robo kuwa kikosi chake ni kile kile. Mchezaji wa first eleven alikuwa ni Mzize na Lomalisa pekee na Lomalisa alitolewa.
 
Naomba viongozi wa Yanga awa wachezji wa under 20 wahakikishe Wana wawekea mpango mzuri.
Wale wachezji wa under 20 watao Baki kwenye kikosini wapewe dk za kucheza Tena sio dk 5/10 wapewe ata dk 45 Wana kitu kikubwa Sana.

Wale watakao watoa kwa mkopo wasiwatoe timu yoyote tu, waangalie mazingira mazuri katika timu wanazoenda na wawekewe masharti ya kucheza nusu ya mechi ya timu husika na kwa dk zisizo pungua 30 kwa mechi.

Wawe wanafuatiliwa Kila mchezo wanao pata nafasi kiwango Chao kinakwenda vipi.
Kwa namna nilivyoiona mapinduzi cup, Yanga Kuna hazina kubwa ya vijana Sasa isihishie apo wawafanye wajekua wachezaji wakubwa.
 
Japo sijui kama hii ndio ilikuwa dhamira ya viongozi wa Yanga na kocha wa timu hiyo, ila ukweli ni kuwa kwa kocha makini na viongozi makini wa timu za ligu kuu, mashindano haya ni fursa ya kuona vipaji na uwezo wa wachezaji chipukizi pamoja na wale wa kikosi cha pili. Kutumia proffesinal players kwa mashindano kama haya huku una michezo ya kimataifa na ligi kuu, sio tu ni ku-risk, bali ni matumizi mabovu ya resources na kuwanyima fursa wachezaji chipukizi.

Huu ndio ukweli kwa wale wanaoona mbali na wenye malengo ya kuchukua vikombe vyenye kuheshimisha timu na hata nchi kwa ujumla. Hivyo, kama huu ndio ulikuwa mpango wa timu ya Yanga, basi wamefanya jambo sahihi na kwa hizi mechi walizocheza, kocha atakuwa teyari amejua ni mchezaji yupi wa kumpandisha na yupi bado.

The end justifies the means.

Habari ndio hio.
APR 3:1 YANGA

Records hazibadilishwi kwa wewe kujifariji.

Nb:
Yanga wangeshinda huyuhuyu angekuja hapa kusema Yanga ni bora hata tungechezesha kikosi D tungeshinda.

Baada ya kipigo ni mashindano ya watoto. Ila ni ya watoto kwa Yanga pekee kwa Mlandege, Jamhuri, JKU, APR, Azam ni ya wakubwa.
 
APR 3:1 YANGA

Records hazibadilishwi kwa wewe kujifariji.

Nb:
Yanga wangeshinda huyuhuyu angekuja hapa kusema Yanga ni bora hata tungechezesha kikosi D tungeshinda.

Baada ya kipigo ni mashindano ya watoto. Ila ni ya watoto kwa Yanga pekee kwa Mlandege, Jamhuri, JKU, APR, Azam ni ya wakubwa.
Nenda google halafu tafuta H2H ya Young Africa vs APR kama utaona hizo record za goli tatu za Mapinduzi cup
 
Japo sijui kama hii ndio ilikuwa dhamira ya viongozi wa Yanga na kocha wa timu hiyo, ila ukweli ni kuwa kwa kocha makini na viongozi makini wa timu za ligu kuu, mashindano haya ni fursa ya kuona vipaji na uwezo wa wachezaji chipukizi pamoja na wale wa kikosi cha pili. Kutumia proffesinal players kwa mashindano kama haya huku una michezo ya kimataifa na ligi kuu, sio tu ni ku-risk, bali ni matumizi mabovu ya resources na kuwanyima fursa wachezaji chipukizi.

Huu ndio ukweli kwa wale wanaoona mbali na wenye malengo ya kuchukua vikombe vyenye kuheshimisha timu na hata nchi kwa ujumla. Hivyo, kama huu ndio ulikuwa mpango wa timu ya Yanga, basi wamefanya jambo sahihi na kwa hizi mechi walizocheza, kocha atakuwa teyari amejua ni mchezaji yupi wa kumpandisha na yupi bado.

The end justifies the means.

Habari ndio hio.
Msheli, Lomalisa, Kibwana, Fred Gift, Mauya, Faridi, Moloko, Scudo Makudubela, Mzize .Wote hao ni chipukizi?
Maana ndio wamecheza Jana na APR
 
Mashabiki Wa Yanga Leo Magazeti ya Michezo Wanayaangalia Kwa Mbaali Kama Mzoga...😂😂😂

20240108_114548.jpg
 
APR 3:1 YANGA

Records hazibadilishwi kwa wewe kujifariji.

Nb:
Yanga wangeshinda huyuhuyu angekuja hapa kusema Yanga ni bora hata tungechezesha kikosi D tungeshinda.

Baada ya kipigo ni mashindano ya watoto. Ila ni ya watoto kwa Yanga pekee kwa Mlandege, Jamhuri, JKU, APR, Azam ni ya wakubwa.
Mbona kolo hujamjumuisha hapo.
Kiufupi Yanga tulikua tunatest mitambo, na tumefanikiwa kwenye hilo
 
Japo sijui kama hii ndio ilikuwa dhamira ya viongozi wa Yanga na kocha wa timu hiyo, ila ukweli ni kuwa kwa kocha makini na viongozi makini wa timu za ligu kuu, mashindano haya ni fursa ya kuona vipaji na uwezo wa wachezaji chipukizi pamoja na wale wa kikosi cha pili. Kutumia proffesinal players kwa mashindano kama haya huku una michezo ya kimataifa na ligi kuu, sio tu ni ku-risk, bali ni matumizi mabovu ya resources na kuwanyima fursa wachezaji chipukizi.

Huu ndio ukweli kwa wale wanaoona mbali na wenye malengo ya kuchukua vikombe vyenye kuheshimisha timu na hata nchi kwa ujumla. Hivyo, kama huu ndio ulikuwa mpango wa timu ya Yanga, basi wamefanya jambo sahihi na kwa hizi mechi walizocheza, kocha atakuwa teyari amejua ni mchezaji yupi wa kumpandisha na yupi bado.

The end justifies the means.

Habari ndio hio.
Ila mwisho wa siku tukubaliane tu; kufungwa kunauma sana. Mimi kama kocha mstaafu sikuwahi kuwa na falsafa za kipuuzi kama hizi za makocha wa Yanga kuchezesha watoto kwa ajili ya majaribio, kwenye mashindano ambayo wenzetu wengine wanakuwa wamejipanga!
 
Back
Top Bottom