Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,018
- 144,377
Japo sijui kama hii ndio ilikuwa dhamira ya viongozi wa Yanga na kocha wa timu hiyo, ila ukweli ni kuwa kwa kocha makini na viongozi makini wa timu za ligu kuu, mashindano haya ni fursa ya kuona vipaji na uwezo wa wachezaji chipukizi pamoja na wale wa kikosi cha pili. Kutumia proffesinal players kwa mashindano kama haya huku una michezo ya kimataifa na ligi kuu, sio tu ni ku-risk, bali ni matumizi mabovu ya resources na kuwanyima fursa wachezaji chipukizi.
Huu ndio ukweli kwa wale wanaoona mbali na wenye malengo ya kuchukua vikombe vyenye kuheshimisha timu na hata nchi kwa ujumla. Hivyo, kama huu ndio ulikuwa mpango wa timu ya Yanga, basi wamefanya jambo sahihi na kwa hizi mechi walizocheza, kocha atakuwa teyari amejua ni mchezaji yupi wa kumpandisha na yupi bado.
The end justifies the means.
Habari ndio hio.
Huu ndio ukweli kwa wale wanaoona mbali na wenye malengo ya kuchukua vikombe vyenye kuheshimisha timu na hata nchi kwa ujumla. Hivyo, kama huu ndio ulikuwa mpango wa timu ya Yanga, basi wamefanya jambo sahihi na kwa hizi mechi walizocheza, kocha atakuwa teyari amejua ni mchezaji yupi wa kumpandisha na yupi bado.
The end justifies the means.
Habari ndio hio.