USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Biblia inaonya ashupazae shingo ikivunjika haitapona tena.
Sawa hatukuweka lockdown tukavuka ila sio chanjo, hili sio swala la kidola ni suala la dunia (WHO) linasimamiwa na dunia na mataifa yenye nguvu duniani na uwezo mkubwa.
Wazungu corona inewapa kichapo kikali hawatataka wewe uwapelekee tena ugonjwa huo, USA inapitisha billion 900$ hii pesa itawauma sana hawatakubali uwapelekee tena gonjwa hili baya.
Tunaweza kushuhudia viongozi wa ngazi za juu wa taifa letu wakizuiliwa airport kwa kutokuwa na vyeti/muhuli/alama za chanjo ya covid 19 tena umetoka Tanzania wanakodai tulipuuzia mbinu zao.
Tunagomea kinga kwa sabau gani mbona hatukugomea za ndui, mabusha, tetenasi, polio, tezi na hata kinga za mimba inamaana hii ndio yenye madhara tu.
USSR
Sawa hatukuweka lockdown tukavuka ila sio chanjo, hili sio swala la kidola ni suala la dunia (WHO) linasimamiwa na dunia na mataifa yenye nguvu duniani na uwezo mkubwa.
Wazungu corona inewapa kichapo kikali hawatataka wewe uwapelekee tena ugonjwa huo, USA inapitisha billion 900$ hii pesa itawauma sana hawatakubali uwapelekee tena gonjwa hili baya.
Tunaweza kushuhudia viongozi wa ngazi za juu wa taifa letu wakizuiliwa airport kwa kutokuwa na vyeti/muhuli/alama za chanjo ya covid 19 tena umetoka Tanzania wanakodai tulipuuzia mbinu zao.
Tunagomea kinga kwa sabau gani mbona hatukugomea za ndui, mabusha, tetenasi, polio, tezi na hata kinga za mimba inamaana hii ndio yenye madhara tu.
USSR