The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
Hii sina uhakika japo nalo ni neno
Ndege zinapishana warusi wametapakaa Unguja kila eneo.
Hii sina uhakika japo nalo ni neno
Na watakao sumbuka zaidi ni hao walio tengeneza hilo gonjwa maana pale UK limesha badilika hivyo hiyo kinga inaweza isifae tena ! Waanze upyaaaaa ! Jini wamelifungulia toka kwenye chupa kulirudisha ipo kazi!With all the due respect... hii kitu itasumbua sana ulimwengu...
We better wait....
huo ndio ukweri na msema kweri ni mpenzi wa MunguOngezea
"Nasema Uongo Ndugu Zangu?"
huo ndio ukweri na msema kweri ni mpenzi wa MunguOngezea
"Nasema Uongo Ndugu Zangu?"
huo ndio ukweri na msema kweri ni mpenzi wa Mungu
Msema kweri ni mpenzi wa Mungu,nami nalisema kwa dhati ndugu zanguni kuwa maendereo hayana chamaOngezea
"Nasema Uongo Ndugu Zangu?"
Hukana uharisia kuwa chanjo hii kila mtu ataipata kwa muda muafaka
Hakuna mtalii atakuja kama hatujapata chanjo.
Wanafanya nini WWait what?
Tanzania Maralia ni tishio kuliko Corona, kama wazungu wanakufa na Corona watajua wenyewe , wasitushirikishe kwenye matatizo yaoHaya majamaa ni sikio la kufa mkuu
Wanadai jamaa yenu ni mtukufu mungu yeye ndio kwa uwezo wake wa Chattle eti kaondoa corona TZ
Kuna vichaa dunia hii aisee
Tanzania hakuna corona tuelewane kwanza, hizi assumption zenu mnaokota wapi?Asiye na kinga akiingia nchini mwako na ugonjwa itabidi umtibu ni kupotezeana muda na gharama zinazoepukika.
Pole sana.Tunaweza kushuhudia viongozi wa ngazi za juu wa taifa letu wakizuiliwa airport kwa kutokuwa na vyeti/muhuli/alama za chanjo ya covid 19 tena umetoka Tanzania wanakodai tulipuuzia mbinu zao.