Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,951
- Thread starter
- #161
Sasa huu ni utoto sasa au ubishi usio na sababu. Nimekonesha Kinetic energy = Mass X Velocity X VelocityWe kwa fikra zako unafikiri nani alipaswa kutoa proof kati ya mimi na wewe?
Wewe ukasema energy inaweza kupatikana bila mass. Mimi nikakuambia toa ushahidi. Sasa unaleta hadith.
Einstein yeye alitoa formula hii
E = MC²
Ikiwa M = Mass, C speed of light. Sasa kwanini ulete story. Kwanini kama hujui usikubali ukafundishwa?
Hapa tunaongelea uhalisia sio hadithi.
Ningependa tujadili kwa hoja na kwa proof sawa ndugu?
Kumbuka:
EDUCATION IS POWER