Ukweli kuhusu wewe na dunia

Ukweli kuhusu wewe na dunia

THE NEW WORLD ORDER
Wanasayasi wamejitahidi sana na kugundua vitu vingi sana duniani. Lakini walikuwa wakijijita sana kwenye physical environment. 1% ya vitu ndio vipo katika physical yaani vinaweza vikapatika kwa kutumia mind. Lakini 99% vinapatikana pale tu mtu anapoanza kutumia consciousness yake. Nisije nikaenda mbali sana.

Pale mtu atakapojitambua yeye ni nani ndipo ukombozi wake uakapofika. NWO ni total liberation of human being, mtu anakuwa na uhuru kamili kutoka kwa wakandamizaji mabepari, watu wa dini waliounda msingi tena mgumu wa OWO. Ubepari huo ulitokana na automatic season ya evolution ya human consciousness. Wengine wanadhani labda OWO imeanza miaka ya karibuni no no no OWO inazaidi ya miaka 3000 imaanza mda mrefu sana kabra ya Ibrahimu baba wa imani ya (Kiislam, Kiyahudi na Kikristo). Kipindi hicho kilitokea baada ya evolution kutoka kwenye very stupid age ambapo watu waliishi kama wanyama. Ndipo ikatokea OWO ambapo kipindi kile ilikuwa New. Watu wakapata evolution kwenye consciousness na kujikuta wakiwa na uwezo wa kuabudu. Nafsi zao zikawa zinatafu kujua source yake.

Kwa sababu consciousness ilikuwa iko chini uwezo wa kujua source ilikuwa ngumu sana. Na hatimaye kuanza kuumba kitu fulani kwenye fikra zao ili kuonesha tu wametokana na hicho. Ndio stori nyingi za uumbaji na vitu vinavyofanana na hivyo vikaanza kutokea. Mtu akajitengenezea vitu vya kuabudu. Lengo lake ni kwamba anatafuta source ya nafsi yake. Lakini kwa sababu evolution ya kipindi kile ilikuwa ya kiwango cha chini cha consciousness.

Kipindi hiki ni new beginning ambapo watu wanatumia kiwango cha juu consciousness zao. Ni kipindi cha Liberation mtu anajitambua yeye ni nani. Anakuwa na uwezo wa kujua asili yake ni nini. Ni kipindi ambacho mtu anajitambua. Ndio NWO inaanzia hapo. Watu wote duniani wanaungana na kuwa kitu kimoja. Hakuna unyanyasaji wote tunakuwa kitu kimoja.

Tunajua asili yetu ni cosmic Energy, tunajua mungu ni nini, tunajielewa. Sasa hivi tupo kwenye transition period. Bado watu wengi hawajafahamu. Ni lazima wa elewe.

Is the time of Liberation for all human kind in our planet. Be illuminated upate mwanga
 
THE NEW WORLD ORDER
Wanasayasi wamejitahidi sana na kugundua vitu vingi sana duniani. Lakini walikuwa wakijijita sana kwenye physical environment. 1% ya vitu ndio vipo katika physical yaani vinaweza vikapatika kwa kutumia mind. Lakini 99% vinapatikana pale tu mtu anapoanza kutumia consciousness yake. Nisije nikaenda mbali sana.

Pale mtu atakapojitambua yeye ni nani ndipo ukombozi wake uakapofika. NWO ni total liberation of human being, mtu anakuwa na uhuru kamili kutoka kwa wakandamizaji mabepari, watu wa dini waliounda msingi tena mgumu wa OWO. Ubepari huo ulitokana na automatic season ya evolution ya human consciousness. Wengine wanadhani labda OWO imeanza miaka ya karibuni no no no OWO inazaidi ya miaka 3000 imaanza mda mrefu sana kabra ya Ibrahimu baba wa imani ya (Kiislam, Kiyahudi na Kikristo). Kipindi hicho kilitokea baada ya evolution kutoka kwenye very stupid age ambapo watu waliishi kama wanyama. Ndipo ikatokea OWO ambapo kipindi kile ilikuwa New. Watu wakapata evolution kwenye consciousness na kujikuta wakiwa na uwezo wa kuabudu. Nafsi zao zikawa zinatafu kujua source yake.

Kwa sababu consciousness ilikuwa iko chini uwezo wa kujua source ilikuwa ngumu sana. Na hatimaye kuanza kuumba kitu fulani kwenye fikra zao ili kuonesha tu wametokana na hicho. Ndio stori nyingi za uumbaji na vitu vinavyofanana na hivyo vikaanza kutokea. Mtu akajitengenezea vitu vya kuabudu. Lengo lake ni kwamba anatafuta source ya nafsi yake. Lakini kwa sababu evolution ya kipindi kile ilikuwa ya kiwango cha chini cha consciousness.

Kipindi hiki ni new beginning ambapo watu wanatumia kiwango cha juu consciousness zao. Ni kipindi cha Liberation mtu anajitambua yeye ni nani. Anakuwa na uwezo wa kujua asili yake ni nini. Ni kipindi ambacho mtu anajitambua. Ndio NWO inaanzia hapo. Watu wote duniani wanaungana na kuwa kitu kimoja. Hakuna unyanyasaji wote tunakuwa kitu kimoja.

Tunajua asili yetu ni cosmic Energy, tunajua mungu ni nini, tunajielewa. Sasa hivi tupo kwenye transition period. Bado watu wengi hawajafahamu. Ni lazima wa elewe.

Is the time of Liberation for all human kind in our planet. Be illuminated upate mwanga

Annael, your limitations in OWO and your expectations in NWO are imaginary!
 
Unajua huwa ni vizuri sana kuwa huru katika mitazamo yetu. Na ni vizuri sana kujua wewe ni nani na umekuja duniani kwa lengo gani. Na nini hasa huwakinatokea unapokuwa umekufa.

Wakati mwingine kujua ukweli ni vizuri sana. Lakini baadhi ya watu wanakuwa hawako huru. Hebu jaribu kuwa huru.

Nitaanza kuongelea kuhusu Reality. Na tutafanya hivyo kwa practical.
 
Unajua huwa ni vizuri sana kuwa huru katika mitazamo yetu. Na ni vizuri sana kujua wewe ni nani na umekuja duniani kwa lengo gani. Na nini hasa huwakinatokea unapokuwa umekufa.

Wakati mwingine kujua ukweli ni vizuri sana. Lakini baadhi ya watu wanakuwa hawako huru. Hebu jaribu kuwa huru.

Nitaanza kuongelea kuhusu Reality. Na tutafanya hivyo kwa practical.

Ni aina gani ya uhuru unaouzungumzia hebu eleza kwa kirefu.
 
mkuu unaonekana una uelewa ila kabla hii Nwo haijaanza rasmi malaika wa Mungu watapita duniani kote kuwatia ishara ktk paji la uso watu wa Mungu na nafas itakayobaki ni kwa wale kondoo ambao hawajawah kuwa ktk zizi la kristo ila waliyashika na kuyatii aliyoyafundika. Kitabu cha ufunuo, mathayo 24 na Daniel vina maelezo zaidi

Nawasoma hawa illuminants na wamenisaidia sana kuhakiki Biblia ni Hakika na Kweli!
Hata wachawi wengi nimesoma habari zao nikatambua pia mambo yaliyonenwa katika Kitabu cha Mungu ni hakika na kweli!
 
Mkuu bado unaamini tu drama za kupaa mawingu kwa watenda mema...! Hakuna maisha after Death

Duh...... Hii kali mno! Na wewe unaamini drama za hakuna life after death? Then hatuwezi kaa page moja mkuu!
Kila la kheri!
 
Lakini mkuu vurugu zote hizi duniani unataka kuniambia kwamba ipo siku dunia itakuwa moja?au mwenzetu upo sayari nyingine na niliyopo mimi,umesikia kilichotokea jana Garissa Kenya,unayasikia yanayotokea Iraq na Syria waarabu wa #ISIS kwa visasi vyao wanawachinja mateka wa kizungu,wenyewe kwa wenyewe wanachinjana yaani ni kusema kwamba Palestine itokee siku akae na Israel wawe kitu kimoja bila vurugu zozote,America na vitisho vyote vya kigaidi aruhusu unknowns people waingie na kutoka bila searching yoyote airport na ktk vituo vya treni? Annael labda uniambie hao unaosema sijui NWO wataleta gharika kama aliyoileta Mungu kipindi cha Nuhu iangamize dunia nzima then hao watakaoishi baada ya hapo ndo wataiishi hiyo NWO yao ila sio kizazi hiki ni kujidanganya kaka.

Mkuu anachosema ni hakika na kweli! Mi nakushauri tu omba Mungu akuokoe usibaki katika kundi litakaloshuhudia dunia moja, sarafu moja, dini moja, jeshi moja na mtawala mmoja wa dunia!
It is terrifying!
 
Last edited by a moderator:
Nadhani nimeshaeleza kila kitu kwenye thread hii. Hebu jaribu kuifuatilia

Ndiyo maana nikakwambia ueleze kwa kirefu maana nimesoma ila sijaona uhuru,ni kama tu mtu mwenye imani fulani anamshawishi mtu mwenye imani nyengine kufuata imani yake.
 
Nawasoma hawa illuminants na wamenisaidia sana kuhakiki Biblia ni Hakika na Kweli!
Hata wachawi wengi nimesoma habari zao nikatambua pia mambo yaliyonenwa katika Kitabu cha Mungu ni hakika na kweli!

kwel mkuu hawa wanazidi kuyathibitisha yaliyoandikwa na kutabiriwa ktk biblia kwamba yatatokea yote
 
Nimesoma kwa makini sana sijaelewa chochote zaidi kujundua kuna nguvu za giza .
 
Fungua akili yako. Tunavuka sasa kuelekea ndunia mpya yenye furaha. Mbinguni ni hapa hapa duniani. Kunawatu wameiharibu lazima tuzime Old World Order (OWO)

Acha kupoteza watu mkuu.
MUNGU ndio mwanzo na mwisho.
YOHANA8:32 "Tena mtaifahamu kweli nayo hiyo kweli itawaweka huru" Kweli ni neno la Mungu, limetolewa na Mungu, hivyo Mungu ndio kweli na yeye wa kutuweka huru sio hizo falsafa zako.
Hilo jicho la tatu ni shetani. Ni kweli dunia ina siri nyingi na shetani anazifahamu hizo siri kwani zinamuhusu yeye. kadri watu wanavyozidi kuutafuta ukweli ndivyo naye anavyowafunulia uongo wao wakidhani ni ukweli.
kumbuka shetani alikuwa malaika ana uwezo kuliko unavyofikiria. Ukikubali kumsujudia atakupa kila utakachomwomba ili tu kukufunga akili. soma LUKA 4:5-8.
Dunia siyo mbingu na hata Kristo anatambua kuwa huku kunashida.
YOHANA 16:33.
YOHANA 17:15.
jamani tujihadhari na huu mpango wa shetani kututeka akili.
mleta mada unajenga hoja nzuri lakini unazitolea majibu yasiyo ya kweli.
 
THE NEW WORLD ORDER
Wanasayasi wamejitahidi sana na kugundua vitu vingi sana duniani. Lakini walikuwa wakijijita sana kwenye physical environment. 1% ya vitu ndio vipo katika physical yaani vinaweza vikapatika kwa kutumia mind. Lakini 99% vinapatikana pale tu mtu anapoanza kutumia consciousness yake. Nisije nikaenda mbali sana.

Pale mtu atakapojitambua yeye ni nani ndipo ukombozi wake uakapofika. NWO ni total liberation of human being, mtu anakuwa na uhuru kamili kutoka kwa wakandamizaji mabepari, watu wa dini waliounda msingi tena mgumu wa OWO. Ubepari huo ulitokana na automatic season ya evolution ya human consciousness. Wengine wanadhani labda OWO imeanza miaka ya karibuni no no no OWO inazaidi ya miaka 3000 imaanza mda mrefu sana kabra ya Ibrahimu baba wa imani ya (Kiislam, Kiyahudi na Kikristo). Kipindi hicho kilitokea baada ya evolution kutoka kwenye very stupid age ambapo watu waliishi kama wanyama. Ndipo ikatokea OWO ambapo kipindi kile ilikuwa New. Watu wakapata evolution kwenye consciousness na kujikuta wakiwa na uwezo wa kuabudu. Nafsi zao zikawa zinatafu kujua source yake.

Kwa sababu consciousness ilikuwa iko chini uwezo wa kujua source ilikuwa ngumu sana. Na hatimaye kuanza kuumba kitu fulani kwenye fikra zao ili kuonesha tu wametokana na hicho. Ndio stori nyingi za uumbaji na vitu vinavyofanana na hivyo vikaanza kutokea. Mtu akajitengenezea vitu vya kuabudu. Lengo lake ni kwamba anatafuta source ya nafsi yake. Lakini kwa sababu evolution ya kipindi kile ilikuwa ya kiwango cha chini cha consciousness.

Kipindi hiki ni new beginning ambapo watu wanatumia kiwango cha juu consciousness zao. Ni kipindi cha Liberation mtu anajitambua yeye ni nani. Anakuwa na uwezo wa kujua asili yake ni nini. Ni kipindi ambacho mtu anajitambua. Ndio NWO inaanzia hapo. Watu wote duniani wanaungana na kuwa kitu kimoja. Hakuna unyanyasaji wote tunakuwa kitu kimoja.

Tunajua asili yetu ni cosmic Energy, tunajua mungu ni nini, tunajielewa. Sasa hivi tupo kwenye transition period. Bado watu wengi hawajafahamu. Ni lazima wa elewe.

Is the time of Liberation for all human kind in our planet. Be illuminated upate mwanga

Naweza kuamini maneno yako lkn nisiamini NWO.kwann nasema hivo wazungu wanatumia ukweli kutangaza uongo wao na upotoshaji wao..

Hii mifano michache tu, wamissionari AFRIKA nikweli walikuawana utangaza ukweli na kuubiri habari za kristo,kwa mgongo huo vidudu mtu vikaleta unyonyaji.

Jinsi magaidi wanavoondolewa.ni kweli jambo jema wanalofanya kusaidia kuondoa magaidi duniani lkn kwa mgongo huo nyuma ya pazia..........

Na sasa hivi ni jambo jema wanalofanya kuiunganisha dunia kua moja kuondoa vita na kuleta amani duniani kuifanya dunia kua better place kama wacko jacko alivo imba,.na hata kwenye dini yetu kwenye sala ya baba yetu kunamstari unasema "ULITAKALO LIFANYIKE DUNIANI KAMA MBINGUNI" siajabu wakatumia sala hii katika harakati zao.Hata mimi napenda sikumoja dunia iwe hivo.

Lkn wasiwasi nikua NWO ni mpango wa watu wachache; dolla itakayo simama ni ya watu wachache, na lazima sheria itatungwa na watu haohao wachache ilikuendesha dunia nzima..no vita, no njaa, peace life but under control of small society....
 
Dah! Mtoa mada anajichanganya sana. Yani kama wewe ungekuwa mwalimu halafu ndani ya kipindi kimoja unafundisha mada zaidi ya sita sidhani kama kuna mwanafunz atakayeelewa. Na hicho ndo ulichokifanya hapa kwenye hii mada yako.

Umefundisha kuwa illuminant kwa ajili ya movement za NWO, ukafundisha kumeditate hatujakaa sawa ukafundisha propaganda za dini na link kibao kutetea hoja zako bado tunatafakari kukuelewa unacholenga hasa ukahamia kwenye mathematics tunajiuliza vipi tena huyu mwalimu ukatufundisha physics.

Bado unaulizwa maswali unashindwa kujibu unawaita wanafunzi wasio na akili. Kiukweli umejichanganya na unaonekana wazi kabisa kuwa ulichokileta hapa wewe mwenyewe huna uelewa nacho kwa undani au umekaririshwa.

Deception kauliza maswali marahisi tena ambayo kama ungekuwa unaielewa mada yako vizuri ungeweza kumjibu na akaelewa.

Ki ukweli hujajibu swali hata moja uliloulizwa labda kwenye upande wa meditation ndo umejaribu kujibu na nikakuelewa.

Jipange upya uje na majibu sio propaganda za kukariri.
 
"Nature is written in that great book which ever is before our eyes - I mean the universe - but we cannot understand it if we do not first learn the language and grasp the symbols in which it is written. The book is written in mathematical language, and the symbols are triangles, circles and other geometrical figures, without whose help it is impossible to comprehend a single word of it; without which one wanders in vain through a dark labyrinth."
Galileo


If you want to debate the existence of God with scientists, you do not go armed with a "holy" book. You have to bring your knowledge of the science of the soul. Your science has to be better than theirs. You have to show them where they are in error.


The first motto of the Illuminati (under Grand Master Pythagoras) was: "Number rules the universe." Mathematics is the basis of organization, hence of life, hence of mind. A universe that did not operate according to mathematics would be incomprehensible, irrational, and nothing but random chaos from which no life and no consciousness could ever emerge.


So, the ultimate question, as Pythagoras realized, was: where does mathematics come from? How and why does the cosmos understand mathematics? Moreover, if the cosmos is based on mathematical rules and humanity can understand mathematics then it follows that humanity can unlock the secrets of the cosmos and read the Mind of God. Science is how humanity uses mathematics to comprehend the universe. But science historically made one catastrophic mistake: it let empirical data be its sole guide rather than empirical data and mathematical logic.

Maswali unayoulizwa hujibu,ila unazidi kuleta maelezo meeengi.Hebu jaribu kujibu maswali kwanza alafu ndio uendelee


"Analyse"
 
huu ni wakat wa kushika ulichonacho kwa makin kisije chukuliwa maana anayoyasema siku 1 yatakuwa rasm na yatatiliwa mkazo na utawala utakaokuwepo

Kinachonisikitisha ni kwamba hata mleta mada inaonekana hana uelewa wa kutosha wa kitu anachoongea.Amekazania kucopy na kupaste vitu kutona google ilhali anashindwa kujibu maswali anayoulizwa
 
Back
Top Bottom