kaka tupe basi hizo proof za kihisabati na kisayansi,au toka socrates atoe hyo kauli hajatokea mtu wa kutoa hizo proof?
Tambua kuwa hayo maswali aliyo kuuliza huyo mdau ndo yanafanya watu tuamaini juu ya imani za kidini.
Kwanza kabisa ndugu sijaongelea Socrates. Mimi nimeongelea Pythagoras The Father of Pure Mathematics.
Ninaweza kukupa maelezo madogo madogo tu. Ya msingi.
Sijui kama umewahi kusoma physics. Ngoja nieleze.
Nadhani unaelewa electromagnetic Spectrum.
Gamma radiation
X-ray radiation
Ultraviolet radiation
Visible radiation
Infrared radiation
Terahertz radiation
Microwave radiation
Radio waves
Hivi vyote vimetoka na uafiti wa kisayansi na kihisabati ndio maana sasa tunaweza kuongea na mtu akiwa mbali kwa kutumia simu.
Mimi nitajikita kwenye Visible Radiation. Je ni kweli mwana upo na rangi 7? au ni kutokana na uwezo wetu wa kawaida wa macho kutafsiri frequency flani flani? hii ni kweli kuwa mwanga uko na zaidi ya rangi kunavitu zaidi ya hapo.
Hebu ngoja tujikumbushe kitu kimoja kwenye physics.
Kwanza kabisa mwanga upo na energy na formula ya kupata energy ni:-
1. Potential energy = MGH (Mass X Gravitational force X Height)
2. Kinetic Energy = MV² (Mass X Velocity X Velocity)
Ok hebu tuongee hapa basi kuhusu mwanga kama energy. Utagundua mwana upo na Mass kwa hiyo unaweza ukapimwa kwa kutumia beam balance.
Je hapa umejifunza nini hapa kidogo.
Naomba nisikuchoshe sana. Hizo formula ndio zinazotufanya mpaka sasa tunaweza kupata umeme, mawasiliano kwenye simu nk.
Hebu ngoja je tukitaka kwenda zaidi kusema je huo mwanga haujabeba uhai kweli au kuna some electromaginetic weaves ambazo zimebeba uhai?
Ngoja nisikuchoshe sana naomba niishie hapa kwa introduction. Kama unaswali waweza uliza.
Kumbuka nimekupa introduction tu ili kufanya akili ianze kuwaza zaidi ya kutumia ubongo wa upande wa kulia iannze kutumia upande wa kushoto (Logic, Mathematics, Physics, Metaphysics nk).