Mkuu
Annael unaelezea vizuri. hapo kwenye jicho la tatu ningependa kuuliza.
Nyuma kidogo kama miezi 6-9 nilisoma topic ya
Pasco iliyoelezea hayo mambo (meditation) kusema kweli ndani ya wiki tu nilianza kuona mabadiliko; niliexperiece true dreams, but sikua na uwezo wa kwenda nazo sawa mpaka zilipojitokeza, most of them (dreams) were like a warnings!!!
Soon nilianza juhudi za kufungua third eye, kichwa kiliuma center of fore head, then nikafanya kipele. so, niliacha!!!!
Nikarudia kumeditate hapa juzi kati chaajapo ni kwamba kipele kimekuja tena na kadiri nikiendelea vinaongezeka!! i have three now on my fore head, na ukizingatia hata sikuconcentrate on third eye!!!!!!!
So, what is this?
What should i do? How?
Ahsante sana ndungu.
Meditation lengo lake ni kuvuta cosmic Energy. Cosmic Energy ndio source ya aetheric body.
Ngonja tuanze somo hapa:
Aetheric Body ni nini.
Aetheric body ndio uhalisia wetu sisi, ndio sehemu inayotufanya sisi tuweze kuongea, kufikilia na kufanya vitendo vyote katika physical body. Ni consciousness yetu sisi. Kwa maana nyingine ni asili yetu sisi au ni sisi.
Kwahiyo Cosmic Energy inahitajika kwenye Aetheric Body ili kuwezesha mwili huo uweze kufanya mambo makubwa.
Hakuna njia nyingine yeyote ambayo mpaka sasa imegunduliwa isipokuwa Meditation inayoweza kuvuta cosmic energy.
Usingizi ni Unconsciousness meditation ambayo inakuwa na limitation ya kuvuta cosmic energy
Lakini Meditation ni consciousness ambayo haina mpaka wa kuvuta cosmic energy.
Cosmic Energy ikiwa ndogo kwenye aetheric body inasababisha madhara kwenye physical body (magonjwa mbali mbali yanatokea kwenye physical body)
Kuwa na limitation ya kuvuta cosmic energy kunasababisha mwili kuchoka, kuwa na msongo wa mawazo, BP na mengine mengi tu.
Kwahiyo mpaka hapa tunaenda sawa.
Unapoendelea kufanya meditation mara kwa mara ndipo jicho la tatu linaanza kufunguka. Kadili unapoendelea utaanza kuona vitu vingi na utapata education hatimaye Knowledge na mwisho Wisdom. Utajua maana ya kuzaliwa na maana ya kufa. Utajijua kuwa ni zaidi ya Physical. Utakuwa na uwezo wa kuwa psychic. Utakuwa na uwezo wa telepathy communication. Utakuwa na uwezo wa kusoma mind za watu. Utakuwa na uwezo wa kuona future, past na vitu vya siri.
Kadiri unavyozidi kufanya meditation utaanza kuwa na uwezo wa Astral Movement.
Astral Movement
Ni ule uwezo sasa wa Aetheric body kusafili kutoka kwenye physical body na kwenda sehemu yoyote ile. Aetheric body haizuiliwi na any physical thing. Utaweza kupita kwenye milima, maji, moto nk. unaweza kwenda mbali na kujifunza vitu vingi vingi sana. Na hatimaye utagundua vitu vingi mno.
Mimi nashangaa kwanini watu wa dini hawawafundishi watu wao vitu hivi?
Unavyoendelea kufanya meditation cosmic energy itakuwa nyingi sana kwenye aetheric body. Na sasa utakuwa na uwezo mkubwa sana. Utakuwa na uwezo wa kuumba. Chochote ukikiwaza kinatokea, ukisema kinatokea. Utakuwa MUNGU mwenyewe.
Utajua mwengi sana. Utajua siri nyingi sana.
Nadhani umenielewa kwa kifupi.
Hivyo vipele vilivyotokea kwenye uso ni physical body sio aetheric body. Na ninakuhakikishia havijatokana na meditation.
Kwa sababu bado ni mchanga kwenye meditation nakushauri nenda hospitali ukatibiwe. Na kadri utakavyo zidi kufanya meditation utapata EDUCATION - KNOWLEDGE - WISDOM. Na hayo mambo yatakuwa madogo sana kwako.
Ahsante.
By
Annael