THE NWO inakamilika sasa. Tuwe taifa moja, Dunia moja, uchumi mmoja, Pesa moja.
Hapo kwenye nyekundu ndipo unapoharibu.Huwezi kuwa na mambo hayo halafu wakati huohuo kuwe na usawa na uhuru.Je,unafahamu vizuri sayansi ya pesa(money science)?Hebu na wewe badala ya kutuwekea link zako,fuatilia link hapo chini ili uweze kujua nini kikifanyika ndio tutaweza kufanikiwa kuishi kwa uhuru, usawa na ustaarabu wa kweli na si hiyo NWO inayotumia pesa ambayo pia hujaielewa.Huyu anayezungumza kwenye link hii ndio mtu hasa anayetumia jicho la tatu unalozungumzia wewe na sio hao washenzi uliowataja hapo mwanzo.
THE VENUS PROJECT,A NEW WORLD SYSTEM/REAL CIVILIZATION:
https://www.youtube.com/watch?v=K6JXWt2VIGM