CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,915
Kuna Ufananisho uliopo kati ya Ujasirimali na Mapenzi, na Ufanano wao ni kwamba kama Ilivyo kwa Mapenzi kwamba Hakuna chuo Dunini kinacho fundisha Mapenzi ndo ilivyo kwa Ujasirimali, hakuna chuo Dunini cha kukufundisha Ujasirimali, najua watu hawataelewa hapo,
Tanzania kama ilivyo kwa nchi nyingine kuna vyuo vinavyo toa Certificate, Diploma, Degree, Master na PHD ya Ujasirimali, ila ieleweke kwamba Entreprenership Spirti haifundishwi mahali popote pale dunini na vyuo vyote kitu wanafanya ni kufundisha stady/mbinu za kufanya Biashara kama vile
- Mareketing
- Business planing
- Marketing planing
- Kutafuta wazo
- Finacial planing
- na kozi zingine nyingi sana
Hizo ndo kozi ambazo Vyuo vingi vya Ujasirimali vinafundisha, Likini ieleweke kwamba Entreprenership Spirt haifundishwi na haijawahi kufundishwa, na haitakaa ifundishwe,
So hata kama utasoma Vitabu milioni mia moja kama huna spirit ya Ujasirimali sahau kwamba unaweza kuwa mjasirimali, na ndo maana utakuta kuna watu wana Phd za Ujasirimali lakini wanaogopa sana kitu kuanzisha biashara
- So tuelewe kwamba kinacho fundishwa ni mbinu za kijasirimali na sio Spirti ya Ujasirimali
How do you teach obsession, because more often than not its obsessions that drives an entrepreneurs vision?
can we teach the principles of entrepreneurship in a classroom in the same way that we teach other academic subjects such as medicine or law?
- VYUO VYA UJASIRIAMALI
Hivi vyuo vinasaundi sana kwa wale ambao tiyali wana spirti ya Ujasirimali na si vinginevyo ila kwa sbabau ni ishu ya pesa vyuo hubeba kila mtu, ila ukweli ni kwamba Huwezi fundisha ujasirimali mtu, haijawahi tokea
- KAMA UJASIRIMALI UNGEKUWA UNAFUNDISHWA
Kungekuwa na wajasirimali wengi sana hapa Tanzania na dunini kote, hapa Bongo kuna semina na semina zimefanyika, Mzumbe Univesity wanatoa Degree na Mastere, UD nao pia lakini hakuna kitu wanao graduate MZUMBE UNIVESITY wote huenda kutafuta kazi na ushahidi upo, SUA ni hivyo hivyo na vyuo vingine.
Entrepreneurship in the classroom is safe, clean and sanitised. Entrepreneurship in the real world is risky, dirty and sometimes dangerous
Successful entrepreneurship in many ways comes about as a result of a combination of factors which will vary from one individual to the next, in terms of their personal characteristics and the route they have taken into the world of business and enterprise.
KAMA YALIVYO MAPENZI NDO UJASIRIMALI ULIVYO
Tanzania kama ilivyo kwa nchi nyingine kuna vyuo vinavyo toa Certificate, Diploma, Degree, Master na PHD ya Ujasirimali, ila ieleweke kwamba Entreprenership Spirti haifundishwi mahali popote pale dunini na vyuo vyote kitu wanafanya ni kufundisha stady/mbinu za kufanya Biashara kama vile
- Mareketing
- Business planing
- Marketing planing
- Kutafuta wazo
- Finacial planing
- na kozi zingine nyingi sana
Hizo ndo kozi ambazo Vyuo vingi vya Ujasirimali vinafundisha, Likini ieleweke kwamba Entreprenership Spirt haifundishwi na haijawahi kufundishwa, na haitakaa ifundishwe,
So hata kama utasoma Vitabu milioni mia moja kama huna spirit ya Ujasirimali sahau kwamba unaweza kuwa mjasirimali, na ndo maana utakuta kuna watu wana Phd za Ujasirimali lakini wanaogopa sana kitu kuanzisha biashara
- So tuelewe kwamba kinacho fundishwa ni mbinu za kijasirimali na sio Spirti ya Ujasirimali
How do you teach obsession, because more often than not its obsessions that drives an entrepreneurs vision?
can we teach the principles of entrepreneurship in a classroom in the same way that we teach other academic subjects such as medicine or law?
- VYUO VYA UJASIRIAMALI
Hivi vyuo vinasaundi sana kwa wale ambao tiyali wana spirti ya Ujasirimali na si vinginevyo ila kwa sbabau ni ishu ya pesa vyuo hubeba kila mtu, ila ukweli ni kwamba Huwezi fundisha ujasirimali mtu, haijawahi tokea
- KAMA UJASIRIMALI UNGEKUWA UNAFUNDISHWA
Kungekuwa na wajasirimali wengi sana hapa Tanzania na dunini kote, hapa Bongo kuna semina na semina zimefanyika, Mzumbe Univesity wanatoa Degree na Mastere, UD nao pia lakini hakuna kitu wanao graduate MZUMBE UNIVESITY wote huenda kutafuta kazi na ushahidi upo, SUA ni hivyo hivyo na vyuo vingine.
Entrepreneurship in the classroom is safe, clean and sanitised. Entrepreneurship in the real world is risky, dirty and sometimes dangerous
Successful entrepreneurship in many ways comes about as a result of a combination of factors which will vary from one individual to the next, in terms of their personal characteristics and the route they have taken into the world of business and enterprise.
KAMA YALIVYO MAPENZI NDO UJASIRIMALI ULIVYO