Ukweli Kuhusu Ujasiriamali na Kama Unafundishwa Vyuoni au la, na kwa nini umafananishwa na Mapenzi?

INNOVATOR, CREATIVE, and A RISK TAKER.
Nyenzo muhimu sana kwa mtu anayetaka kua kwenye fani hii ya ujasiriamali. Kuna ukinzani kua hawa watu hua wanazaliwa na hizi chembechembe (TRAITS) au mazingira yanawatengeneza?
Mfano halisi ni BANANA INVESTMENT, mmiliki na mzalishaji wa kinywaji cha Banana.
 
INNOVATOR, CREATIVE, and A RISK TAKER.
Nyenzo muhimu sana kwa mtu anayetaka kua kwenye fani hii ya ujasiriamali. Kuna ukinzani kua hawa watu hua wanazaliwa na hizi chembechembe (TRAITS) au mazingira yanawatengeneza?
Mfano halisi ni BANANA INVESTMENT, mmiliki na mzalishaji wa kinywaji cha Banana.

Ya mkuukuna hapo kwamba wapo Born na wapo Made, Born wanazaliwa nazo na Made ni wale wanao zipata kupitia elimu, ilala all in all hata kama ni made ni lazima uwe na chembechembe ulizo zaliwa nazo, haijalishi itachukua muda gani kuja ku practise lakini lazima uwe nazo,

Mara nying Mazingira hutumika kukuforce/kuharakisha kupractise, Ila kama huna hiyo Spirti hata ungesoma ni kazi bure, ya Jamaa wa Babana ni Moja wa Wajasirimali kwa sababu jamaa hata alivyo anza na alipo sasa ni kazi ngumu sana,
Na mara zote Ujasirimali ni Mugumu sana ila Kufanya Biashara ni Rahisi sana,
 
Nafanya biashara tu, make nikisema Ni full mjasirimali utakuwa ni uongo make sina zile feature zote za Ujasirimali, so ni biashara tu, ila nafanya na kazi, Ingawa natarajia kuachana na Kazi mapema mwakani mwezi wa Nnne, Nachukia sana Ajira ya kuajiriwa na niataacha rasimi kwa sababu sioni Faida hata ningefanya kazi miaka 40, so miaka 4 niliyo fanya inatosha kabisa. Ila siku naachana nayo rasimi nitawaletea story kamili,

mkuu nakuunga mkono 100% hata mimi nipo mbioni , sioni kama nitaendelea kuwa mtumwa ktk mwaka mmoja ujao...hivi sasa napigania kuimarisha mazingira ya biashara yangu ili nibadili mwelekeo..nimechoshwa mno na maisha ya kuajiriwa
 
Ya mkuukuna hapo kwamba wapo Born na wapo Made, Born wanazaliwa nazo na Made ni wale wanao zipata kupitia elimu, ilala all in all hata kama ni made ni lazima uwe na chembechembe ulizo zaliwa nazo, haijalishi itachukua muda gani kuja ku practise lakini lazima uwe nazo,

Mara nying Mazingira hutumika kukuforce/kuharakisha kupractise, Ila kama huna hiyo Spirti hata ungesoma ni kazi bure, ya Jamaa wa Babana ni Moja wa Wajasirimali kwa sababu jamaa hata alivyo anza na alipo sasa ni kazi ngumu sana,
Na mara zote Ujasirimali ni Mugumu sana ila Kufanya Biashara ni Rahisi sana,

Mara nyingi nimejikita zaidi ktk jukwaa la siasa na kuwa msomaji tu wa jukwaa hili. Hata hivyo, mada hii ya ujasiria mali iliyoanzishwa na Chasha huku mimi nikiwa mdau wa fani hiyo imeniibua ili nami nitoe mchango wangu.

Kwanza nakubaliana na chasha kuwa tatizo la kimsingi ni elimu ya ujasiria mali. Na vile vile natoa pongezi za dhati kwamba yuko njiani kuacha kazi. Sijui tajiri aliyeajiriwa ila najua matajiri wengi wajasiriamali/wafanya biashara - Hongera sana.

Hata hivyo, sikukubaliani na mtazamo wa mmoja kwa moja wa kwamba ujasiria mali ni kitu unazaliwa nacho na kwamba kuna wengine hata wakisomeshwa elimu ya ujasiria mali kwa kiasi gani ama wakijisomea vitabu vya ujasiria mali kwa kiasi gani hawatafanikiwa - Hapa nina mawazo tofauti.

Kwa maoni yangu,
Tofauti kati ya maskini na tajiri hapa Tz na duniani ni upungufu wa elimu ya ujasiria mali. Idadi kubwa ya masikini tulio nao wasomi na wasio soma, vijana kwa wazee, waafrika kwa wazungu na wa kike na wa kiume ujinga inatokana na upungufu wa elimu ya ujasiria mali.

Ni ngumu sana kukubaliana moja kwa moja kwa 100% na dhana kwamba kuna watu ambao wamezaliwa maskini na wengine wamezaliwa matajiri kwa hoja kwamba wengine wana traits za ujasiria mali na wengine hawana - HAPANA.

Ninakubalina kwa kiasi fulani kuwa kuna born na made interpreners lakini tofauti kati yao itakuwa ktk kiwango cha mafanikio ikiwa wote wawili watapata elimu ya ujasiria mali sawia. Yaani born interprener atakuwa na kasi na ubunifu na ujasiri wa hali ya juu na hivyo kumshinda mwenzake kifedha, wakati made interprener atakuwa tajiri ila hatamfikia born enterprener kutokana na kuzidiwa ktk baadhi ya traits za ujasiria mali.

Kuna ushahidi mwingi kwamba kuna watu wengi waliopata ufahamu\elimu juu ya ujasiria mali wakafanikiwa na kutajirika bila kujali kama ni born or made enterpreneurs na vivyo hivyo, born interprener atamtangulia made interprener. Na ifahamike kwamba kabla hawajafunguliwa macho wote wawili walikuwa maskini sawia.

Mwisho, kama wote wawili - born na made interpreners wakiwa vijijini kabisa na hawajui kusoma na kuandika na hawana ufahamu wo wote wa ujasiria mali mara nyingi wote wawili wanaweza pia kuwa maskini sawia - hatuna ushahidi wa kuonesha vinginevyo.
 
“Mjasiriamali wa kweli, huwa haitaji mtaji zaidi ya ujuzi/elimu/kipaji alichonacho na rasilimali zinazomzunguka katika kuanza biashara”.Exactly True:

Ni kweli kwamba sio wafanyabiashara wote ni wajasiriamali, Je wajasiriamali hawafanyi biashara ? ?
Je wajasiriamali wote wamefanikiwa kimaisha au ni matajiri ? ? kwa maana hiyo hakuna mjasiriamali maskini..
Je hao wafanyabiashara/wachuuzi wanaweza kufanikisha maisha yao ? ? na wao wanatajirika ? ?
KUMBUKENI WATU WANATAFUTA UTAJIRI/ MAISHA BORA KWA NAMNA YEYOTE ANYOONA ANAWEZA KUFANYA NA KWA BIDII YAKE YOTE AIDHA NI MCHUUZI AU NI MJASIRIAMALI IT DOESN’T MATTER KWANI HATA MADARASANI VYUONI WAPO MAGENIUS NA VILAZA NA WOTE WATAPATA DEGREE..
 
Zamani mapenzi yalifundishwa kwa mwezi mmoja
kwa sasa masaa kadhaa
unyago na kitchen party wanafundisha
 
"Mjasiriamali wa kweli, huwa haitaji mtaji zaidi ya ujuzi/elimu/kipaji alichonacho na rasilimali zinazomzunguka katika kuanza biashara".Exactly True:

Ni kweli kwamba sio wafanyabiashara wote ni wajasiriamali, Je wajasiriamali hawafanyi biashara ? ?
Je wajasiriamali wote wamefanikiwa kimaisha au ni matajiri ? ? kwa maana hiyo hakuna mjasiriamali maskini..
Je hao wafanyabiashara/wachuuzi wanaweza kufanikisha maisha yao ? ? na wao wanatajirika ? ?
KUMBUKENI WATU WANATAFUTA UTAJIRI/ MAISHA BORA KWA NAMNA YEYOTE ANYOONA ANAWEZA KUFANYA NA KWA BIDII YAKE YOTE AIDHA NI MCHUUZI AU NI MJASIRIAMALI IT DOESN'T MATTER KWANI HATA MADARASANI VYUONI WAPO MAGENIUS NA VILAZA NA WOTE WATAPATA DEGREE..


Mkuu Wajasirimali karibia wote ni wafanya biashara, ingawa si wafanya biashara wote ni wajasirimali, na kuwa tajiri si lazima uwe mjasirimali, hata ukiwa mchuuzi unaweza kuwa tajiri, mimi najaribu kuagali dhana nzima ya Ujasirimali, Na katika nchi yoyote ile Ujasirimali ndo hushikiria Uchumi wa nchi,

Nchi kama USA iko pale ilipo kwa sababu ya Wajasirimali wake, ikikumbukwa kwamba Wajasirimali wengi walio badili hii Dunia wametokea huko USA, na si wachuuzi,

Siku zote biashara ya Uchuuzi ambayo ni ya kununua na kuuza hufaidisha producer na si muuzaji, bidhaa za China zilizo jaa huku Bongo zinawafaidisha China na zinajenga uchumi wa China na si Tanzania,
 
'You Can't Teach Entrepreneurship'


I didn’t say that, but I hear it from people and I can’t believe it. It continues to amaze me that I still come across learned folks who think we can’t teach entrepreneurship. On recent occasions I was in the audience for talks where “leading authorities” from top US and UK universities claimed that entrepreneurship could not be taught. They claim that entrepreneurs have certain traits that can’t be learned. Colleagues report hearing the same refrain from the leader of a major philanthropic foundation: a foundation where part of the mission is to support entrepreneurship! Wow.
What I find interesting is that these folks are not saying that we’re not teaching entrepreneurship correctly, they are still saying we can’t teach it. If the issue was the former you might be able to convince me that some universities may not be going about it in the right way. But to say we cannot teach entrepreneurship – I don’t think so! Are some folks more inclined? Perhaps, and they have a head start, but we can teach entrepreneurship to anyone.
The methods we use today have evolved and continue to do so. There is a method at the core but we also experiment both with new insights and new ways of reaching our students. Entrepreneurship educators actually practice what we preach by continuously trying new things in the classroom. We take a small risk on something new; if it works, we continue to use it. If not, we pivot and try something new. Sound familiar?
I think many of the folks who espouse that we can’t teach entrepreneurship are akin to the great ‘natural’ athletes who have hard time in the coaching profession after their playing careers end. It all came so naturally to these folks that they cannot break it down to explain, coach, and teach it to others. So perhaps these folks who say we can’t teach entrepreneurship just can’t see how to teach it because it came so naturally to them when they developed and ran their firms. Maybe.
It has to be something like this because otherwise everyone teaching entrepreneurship in the higher education industry would be perpetrating one of the greatest frauds and conspiracies of all time. The numbers for entrepreneurship education at the higher education level have grown exponentially in the past few decades. Jerry Katz, from St Louis University, has for years compiled the numbers on programs, courses, and universities. Katz reports that in 1970 there were a scant few courses in entrepreneurship but by the year 2000, there were approximately 1,600 schools offering over 2,200 courses.
But it’s not a fraud or conspiracy and we can teach entrepreneurship. Look, I know I’m biased. I’m a professor of entrepreneurship and if I were wrong I’d likely be out of a job. But I’m not. During my time at the Lally School of Management & Technology at Rensselaer Polytechnic Institute (RPI), I witnessed and was a part of teaching students who built successful businesses. Now that I’m at Babson College I do the same but also teach how to be entrepreneurial no matter path you take by teaching about entrepreneurship of all kinds®.
There truly is a method to teaching entrepreneurship but it is substantially different than traditional management teaching most of which evolves from theory focused on large existing firms. Some of the tools are the same but the mindset about what you do is clearly different. I spoke to a friend and colleague Mike Haynie from Syracuse University’s Department of Entrepreneurship and Emerging Enterprises about teaching entrepreneurship and his thoughts parse out this perspective. “Arguably, you can teach anyone 99% of the ‘activities’ related to launching and growing a venture, and we do every day in b-schools everywhere. This is because, at the end of the day, these are fundamental business skills and processes that are not necessarily idiosyncratic to entrepreneurship – other than the context of new firms. So given that, I would argue that I can teach someone to be very skilled in those processes. We can teach someone how to write a great business plan, develop a great marketing strategy, produce financial projections, etc. – thus we can teach the activities that compose that act of ‘entrepreneurship’ – starting and growing a venture.”
But there’s more. Professor Haynie then goes on to illustrate why some schools have changed how they teach entrepreneurship with a focus on bringing action and ‘doing’ into the classroom. “However, a different and more relevant and precise question is can you teach someone to recognize ‘entrepreneurial opportunity’ - the step before entrepreneurial action? This is a question that gets to both cognition and motivation. I’m not convinced that we can do this in a mainstream model of Higher-Ed, but do believe that we can ‘enable’ such learning through experiential pedagogy. In other words, while we can seed such learning in a classroom in this regard – with courses related to understanding motivation, sense-making, and other concepts – we also have to deliver a means for those seeds to be planted such that the teaching someone to be ‘entrepreneurial’ becomes about them teaching and learning on their own and by ‘doing.’
So it’s both about teaching individuals to build ventures but also teaching them to think and act entrepreneurially. And it is being done both at Babson and many others around the world. Most importantly, the old ways of teaching entrepreneurship with war stories of successful entrepreneurs and a mindset and theories taught in a straight line from the practice of large, existing organizations is dying (if not dead everywhere already). This point about the evolution of teaching entrepreneurship leads me to a thought from a good friend and mentor. Here is the perspective of Don Kuratko from Indiana University’s Kelly School.
“People who say we cannot teach entrepreneurship are dangerous people to society. They are the keepers of the old thinking and their beliefs ensure that we cannot advance ourselves. Remember that in the late 1800s it was believed then that medicine could not be taught. It was a trade to be learned “on the job.” How comforting for all those poor souls who died under the knife of incompetent doctors. Look where the medical profession is today thanks to the rise of medical schools and the “new wave” of thinking that medical practice and research could be taught! We are at the same juncture with entrepreneurship. I believe we are washing away the old thinking and revolutionizing business schools (and campuses for that matter) with the “new thinking” that entrepreneurial practice and research can be taught!
So maybe we didn’t always teach it ‘right’ over the first decades of existence and because of that it might have been fair for some to surmise that “you can’t teach entrepreneurship.” Please don’t tell me that today. Colleges and universities today can do it right. Entrepreneurship education has evolved with rigor and scope – there’s a method and it can be applied not just to building new ventures but to all walks of life. We can teach you to be a ‘classic’ entrepreneur or to be entrepreneurial in whatever you decide to do and because of this our world is going to be a much better place!
 
Back
Top Bottom