Ukweli kuhusu ugomvi wa January Makamba na Lisa Rockefeller

Nyerere and his people are drug (aid) addicts, and the Rockefellers are drug (aid) pushers. The two groups are a match made in heaven.

Hii inaeleza kile kilichoko ndani yako juu ya Mwalimu na sasa nimeelewa na nitazingatia kile kinachosukuma maoni yako hasi juu ya Mwalimu.
 
source ni rafiki yake huyo aliyemtaja kwenye mstari wa kwanza.

How far should I know?
Ukisikia mtu anakwambia anataka source ya taarifa ina maana anataka quotation toka kwa mtu wa kwanza!!!!! (origin of information)
Kwa hapo mimi naona ni so-superficial.....siwezi ku-comment without evidence..
 
How far should I know?
Ukisikia mtu anakwambia anataka source ya taarifa ina maana anataka quotation toka kwa mtu wa kwanza!!!!! (origin of information)
Kwa hapo mimi naona ni so-superficial.....siwezi ku-comment without evidence..

Does not really matter about the validity of this story.... lakini contents za hii story za watu kuomba pesa kwa wahisani na kuishia kuzibugia... Am sure you have witnessed such a scenerio in this country of ours called Tanzania..... Full Ufisadi kila mtu anakula kwa wakati wake. Am sure you can comment on that.
 
Zakumi,
Mwalimu hakuwa aid addict. Soma tena falsafa yake. Alijua tunahitaji misaada lakini lengo la hatima ni kujitegemea. Akina Rockefeller ni philanthropists. Huwezi leo kumwita Bill Gates na mkewe Melinda kuwa aid pushers. Try again.

Jasusi:

Mbona una-debunk falsafa zake bila mimi kukongoli? Hakuna nchi iliyofikia hatima ya kujitegemea kwa kutumia misaada. Kama hipo nitajie moja.

Soma introduction ya thread. Huyo Rockfeller kumuona January Makamba tayari wakafikiri anaother Nyerere. Tayari wakampeleka kwenye Times. Na kama January angekuwa rais wa JMT na kufuata yale wanayotaka labda angepewa Times' man of the year.
 
Does not really matter about the validity of this story.... lakini contents za hii story za watu kuomba pesa kwa wahisani na kuishia kuzibugia... Am sure you have witnessed such a scenerio in this country of ours called Tanzania..... Full Ufisadi kila mtu anakula kwa wakati wake. Am sure you can comment on that.

Utasemaje "does not really matter" wakati kuna majina ya watu yanatuhumiwa? The validity of this story does matter. Usitake ku collectivize kila kitu, kwa sababu viongozi wa Tanzania corrupt, basi tusijali kama hii story inayompaka matope January ni ya kweli au ya kutunga kwa sababu inasema viongozi wa Tanzania ni corrupt. Ridiculous.

I find the story to be totally believable, but that does not mean I don't understand the need for scrutiny so that we get the story straight. Kwa mfano, hizo habari za Lisa kulitumia "The Economist" ili kumpamba January ni kweli ama ni nakshi za usanii tu? Is "The Economist" that low ? I mean they get their stories wrong or innacurately sometimes, especially when it comes to Africa, but is it so dependent on the likes of the Rockefellers to turn into such a lousy mouthpiece ?

Kama anataka source mwambia amuombe urafiki Lisa Rockefeller Facebook aangalie beef yake na January huko, au atafute original thread, of course kuna vitu vingine itakuwa vigumu ku verify, but it's not going to be like watu wametunga kila kitu out of thin air na January hana beef na Lisa.
 
Nafikiri ni vyema tukapata link ya hizo taarifa zako ili tupate kuchangia vizuri.....maana hizi habari ni vyeti sana.
Mimi siwezi ku-comment mpaka nipate source za taarifa.....

How far should I know?
Ukisikia mtu anakwambia anataka source ya taarifa ina maana anataka quotation toka kwa mtu wa kwanza!!!!! (origin of information)
Kwa hapo mimi naona ni so-superficial.....siwezi ku-comment without evidence..
Nafikiri hii ni post yako ya pili unasema kitu kilekile to me it seems you are connected in one way or another, if not you can opt not to visit this thread.
 
Utasemaje "does not really matter" wakati kuna majina ya watu yanatuhumiwa? The validity of this story does matter. Usitake ku collectivize kila kitu, kwa sababu viongozi wa Tanzania corrupt, basi tusijali kama hii story inayompaka matope January ni ya kweli au ya kutunga kwa sababu inasema viongozi wa Tanzania ni corrupt. Ridiculous.

I find the story to be totally believable, but that does not mean I don't understand the need for scrutiny so that we get the story straight. Kwa mfano, hizo habari za Lisa kulitumia "The Economist" ili kumpamba January ni kweli ama ni nakshi za usanii tu? Is "The Economist" that low ? I mean they get their stories wrong or innacurately sometimes, especially when it comes to Africa, but is it so dependent on the likes of the Rockefellers to turn into such a lousy mouthpiece ?

Kama anataka source mwambia amuombe urafiki Lisa Rockefeller Facebook aangalie beef yake na January huko, au atafute original thread, of course kuna vitu vingine itakuwa vigumu ku verify, but it's not going to be like watu wametunga kila kitu out of thin air na January hana beef na Lisa.

January Kwisha naye ni FISADI kama hawa hapa MAFISADI PAPA Bonyeza
 
Ebwana!kama ni habari sijui unazipatiaga wapi!Hapa kweli umeisaka, ila to b honest,who is that your frend,open up your link of info. ilituweze kupata fact za kutosha ma kucoment, b'se i not very much sure with the mradi wa mbeya na mbunge wa tanga(bumbuli)
 
ITS TRUE...BUT THE Economist and lisa wanakosa pia,kwani walimpaisha January ktk gazeti wakijua kuwa hana sifa hizo walizompa ktk hiyo makala.sasa kawapa picha yake halisi na jinsi viongozi wasivyo Accountable in bong land
Mkulu Ampe tu uwaziri kijana.at least angempa unaibu waziri wizara ya mambo ya ndani.kwani tatizo lipo wapi?mbona Masha alipewe uwaziri alipokosa ubunge akang'oä vitasa vya office.
So in Tanzania kupata uwaziri siyo isshue kama unaelewana na mkulu,mimi nadhani amemuandalia nafasi nyeti zaidi. na huyo dada lisa asije ngó Tz apeleke pesa kwengine
 
Ebwana!kama ni habari sijui unazipatiaga wapi!Hapa kweli umeisaka, ila to b honest,who is that your frend,open up your link of info. ilituweze kupata fact za kutosha na kucoment, b'se i not very much sure with the mradi wa mbeya na mbunge wa tanga(bumbuli)
 
January is that arrogant, I can totally believe this. Dangerously arrogant and power hungry in a by hooks and crooks style.

Lisa is just a rich airhead who believes that these African dictator's entourages and hangers on should be responsible just because they spent time faking all that accountability bullshyt at George Mason.

Now that this is brought into this perspective, even by a long shot, that sadly dilapidated article from "The Economist" makes perfect sense. I am glad The Economist is not my source for Africa's news.

Sio Bro Sisi..... yuko ubarozini maana kwa bwana mdogo kalihakikisha jamaa anakaa mbali na ikuru.
 
wako wengi sana wa aina ya Janvier...
Kuna watu wanaandika Mail ndefu kama Zaburi kisha anatuma kwa wazungu na kujifanya amefungua kituo cha watoto yatima, so anaomba msaada.
Kumbe ushuzi mtupu.
 
Utasemaje "does not really matter" wakati kuna majina ya watu yanatuhumiwa? The validity of this story does matter. Usitake ku collectivize kila kitu, kwa sababu viongozi wa Tanzania corrupt, basi tusijali kama hii story inayompaka matope January ni ya kweli au ya kutunga kwa sababu inasema viongozi wa Tanzania ni corrupt. Ridiculous.

I find the story to be totally believable, but that does not mean I don't understand the need for scrutiny so that we get the story straight. Kwa mfano, hizo habari za Lisa kulitumia "The Economist" ili kumpamba January ni kweli ama ni nakshi za usanii tu? Is "The Economist" that low ? I mean they get their stories wrong or innacurately sometimes, especially when it comes to Africa, but is it so dependent on the likes of the Rockefellers to turn into such a lousy mouthpiece ?

Kama anataka source mwambia amuombe urafiki Lisa Rockefeller Facebook aangalie beef yake na January huko, au atafute original thread, of course kuna vitu vingine itakuwa vigumu ku verify, but it's not going to be like watu wametunga kila kitu out of thin air na January hana beef na Lisa.
Kiranga,
According to the info I have it was not Lisa who sent January's details to The Economist. It was another January's friend, Innocent Bash who sent that info to the Economist.
 
Kaka, na Nyalandu tena?
Wewe acha tu. Waswahili wanasema ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni. Kinachovunja moyo ni ama UWT haifanyi kazi yake vizuri au Kikwete anachagua tu watu kwa kuwapenda bila kuangalia background information zao. Huyu jamaa asingeweza kutia mguu USA kwa miaka angalau kumi hivi mpaka statute of limitation kwa kesi yake iishe, lakini sasa atasafiria pasi ya kibalozi.
 
Wewe acha tu. Waswahili wanasema ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni. Kinachovunja moyo ni ama UWT haifanyi kazi yake vizuri au Kikwete anachagua tu watu kwa kuwapenda bila kuangalia background information zao. Huyu jamaa asingeweza kutia mguu USA kwa miaka angalau kumi hivi mpaka statute of limitation kwa kesi yake iishe, lakini sasa atasafiria pasi ya kibalozi.

For that matter, itabidi nimpe heshima Kambarage.
 
Back
Top Bottom