Semenya
JF-Expert Member
- Sep 5, 2009
- 572
- 51
kama issue ni kutumia udini katika vyuo vikuu kwa kugawa mishahara, ni uwongo, hamna kitu kama hicho..mishahara ya vyuo vikuu inalipwa na hazina na inajulikana kuanzia mwenye degree moja mpka mwenye Phd mishahara inajulikana kwas scales, walim wa chuo sio wachezaji mpira mpaka watofautiane mishahara..ni vyeti vyako tu vinakupa mshahara na publications zako
TUFUNGENI HUU MJADALA TAFADHALI
TUFUNGENI HUU MJADALA TAFADHALI