eric emanuel Member Jan 9, 2017 11 2 Aug 13, 2020 #1 Kwa anaejua jinsi promoshen ya tusua mapene inavyo fanya kazi naomben ushaurii Nikweli hizo ela wanatoa au!?
Kwa anaejua jinsi promoshen ya tusua mapene inavyo fanya kazi naomben ushaurii Nikweli hizo ela wanatoa au!?
Evarm JF-Expert Member Aug 30, 2010 1,934 1,400 Aug 13, 2020 #2 Wahenga walisema hii misemo 1. Vya bure aghali . 2. Ukitaka kula sharti uliwe Chukua hatua, Tafakari