Ukweli kuhusu Pyramids

Ukweli kuhusu Pyramids

haya ni matango pori uliyolishwa na dini zenu nyie walugaluga
Pyramid ni majengo ya kale zaidi na yalikuwepo maelfu ya miaka kabla babu yenu Abram hajahama toka Uru ya wakaldayo kwenda kaanani yaani kiufupi
Abram wakati anaihama nchi yake hizo pyramid zilikua zimejengwa maelfu ya miaka hata yeye alizishangaa kama tunavyoshangaa Mimi na wewe
Maana kama umewahi soma kisa cha yeye kufika misri na kumwambia sarai ajifanye dadaake mbele ya farao ina maana zilikua zimeshajengwa muda murefu sana,

Ina maana wana wa Israel na Abraham nani alitangulia kuwepo mbaka mseme watumwa islaelist walizijenga?
Kuna uhusiano gani kati ya ufalme wa kifarao na pyramids? Kwani nyerere na Magufuli wamejenga miradi sawa?
 
Sasa kwanini roots zenu zinawapeleka kuabudu mizimu ? Hamn maandiko matakatifu kama bible ilivoagiza? Mbona hyo Misri yenyewe ina asili ya kuabudu wafu kama hao mafarao?
Hii hoja ni ya kitoto sana, hujui kama hiyo mitume na manabii uliyokaririshwa ni wafu? Yaan upo radhi uamini hekaya za mababu wa wenzako na usiamini za mababu zako.... sasa wewe mbantu na hao waisrael+waarabu wapi na wapi?
Wenzenu wanawasifia mababu zao na nyie mnafata tu kama nyumbu, lol

#jikomboe na utumwa wa fikra#
 
Kujenga juu kwa juu ni logic nyepesi sana, walipeleka materials ya ujenzi kama vile cement,
Hahahaa

Material iliyotumika kujenga ile kitu sio cement wala tofali. Ni mawe na miamba.

Hilo jiwe linaloweza kutengenezwa "juu kwa juu" ni la aina gani?
 
Tutazame hii Picha labda tutapata idea kdg
FB_IMG_16158721466132289.jpg
 
Kwa mambo aliyofanya binadamu mpaka sahivi pyramid haziwezi kuwa za viumbe wa tofauti. Binadamu ana uwezo sana watu wanaland kwenye mwezi.
mkuu technology tuliyonayo sasa ni copy & paste kutoka kwa hao viumbe pia uelewe karne hizo wao walikua na spaceship's walizokuja nazo toka sayari ya Nibiru mbaka hapo unaona hao viumbe walikua na uwezo mkubwa sana kiteknolojia ,
Ukiangalia baadhi ya majengo kama pyramid mawe yake yamechongwa kwa mitambo maalumu kwa maana hio mbaka Leo sisi wa dunia ya Leo bado hatujaweza buni machine za kuchongea mawe na kuyashep umbo lolote kama walivyofanya wao.
 
mkuu technology tuliyonayo sasa ni copy & paste kutoka kwa hao viumbe pia uelewe karne hizo wao walikua na spaceship's walizokuja nazo toka sayari ya Nibiru mbaka hapo unaona hao viumbe walikua na uwezo mkubwa sana kiteknolojia ,
Ukiangalia baadhi ya majengo kama pyramid mawe yake yamechongwa kwa mitambo maalumu kwa maana hio mbaka Leo sisi wa dunia ya Leo bado hatujaweza buni machine za kuchongea mawe na kuyashep umbo lolote kama walivyofanya wao.
Em acha utani wewe watu hawajaona umuhimu tu wa kujenga hayo mapyramids unadhani wanaeza shindwa maengineer wakilivalia njuga. Hivi wewe unajua nuclear 2 inavyotengenezwa ilivyo hatari. Sasa ndugu yangu mtu aliekuwa na miaka 900+ unamchukuliaje alivyokuwa?
 
Waislam wanaamini mtume suleiman alikuwa anaamrisha majini na mapango ya afghanistan yamechimbwa na majini na siku aliyokufa Nabii suleiman alikuwa ameegemea fimbo na fimbo ilipoliwa na mchwa na kuvunjia ndipo majini wakaona lkumbe mfalme amefariki ndio wakaacha kujenga.

Sasa hizo piramid nina wasiwasi sio binadamu .
 
Hii hoja ni ya kitoto sana, hujui kama hiyo mitume na manabii uliyokaririshwa ni wafu? Yaan upo radhi uamini hekaya za mababu wa wenzako na usiamini za mababu zako.... sasa wewe mbantu na hao waisrael+waarabu wapi na wapi?
Wenzenu wanawasifia mababu zao na nyie mnafata tu kama nyumbu, lol

#jikomboe na utumwa wa fikra#
Achana na mababu wa misri nyinyi mababu zenu walikuwa wanajua nn kama sio uchawi tu. Mtu wa kijijini leo hii unaeza mfananisha na mtu mwenye exposure in terms ya ustaarabu? Afu Mungu sio wa wafu hao manabii siyo wafu Mungu si Mungu wa wafu bali wa walio hai. Maan mfu ni yule mbaya mbele za Mungu asiefuata mafundisho yake kwa visingizio vyovyote vile. Mtu yoyote mwenye uelewa kichwani ataielewa bible kuliko kitabu chchote kile duniani kwa maan hakuna swali halijibiki. Hivi hujiulizi kwann watu hawafuati maandiko ya wachina au hao wamisri au wahindu na wengineyo kama bible? Well utanambia sijui ukoloni bla bla bla. Jiulize kwann wakoloni walichukua bible na si kitabu kingine maan hawajatunga wao ila walitafsiri kutoka Israel?
 
Achana na mababu wa misri nyinyi mababu zenu walikuwa wanajua nn kama sio uchawi tu. Mtu wa kijijini leo hii unaeza mfananisha na mtu mwenye exposure in terms ya ustaarabu? Afu Mungu sio wa wafu hao manabii siyo wafu Mungu si Mungu wa wafu bali wa walio hai. Maan mfu ni yule mbaya mbele za Mungu asiefuata mafundisho yake kwa visingizio vyovyote vile. Mtu yoyote mwenye uelewa kichwani ataielewa bible kuliko kitabu chchote kile duniani kwa maan hakuna swali halijibiki. Hivi hujiulizi kwann watu hawafuati maandiko ya wachina au hao wamisri au wahindu na wengineyo kama bible? Well utanambia sijui ukoloni bla bla bla. Jiulize kwann wakoloni walichukua bible na si kitabu kingine maan hawajatunga wao ila walitafsiri kutoka Israel?
Kaka mkubwa kama unafata dini yoyote jua unafata imani na itikadi za mababu wa wenzako, ingekua vema kama ungejikomboa kifikra na kugeukia kwenye ukoo wenu uujue na kuutambua,

Mengine yote uliyoelezea ni kama unajiuliza na unajijibu mwenyewe tu.
 
Wamisri wa kale hata ao waisraeli wa zamani walikuwa ni blacks na waliojenga ayo mapyramid ni black people lipo lile sanamu la simba mwenye kichwa cha mtu lile nalo mtasema walijenga alliens ni kubwa kuliko,pia zipo sanamu nyingi za viongozi wa kale pale misri zimevunjwa pua kufuta ushahidi kwamba walikuwa waafrika....
 
Wamisri wa kale walikuwa na elimu kubwa sana hata teknolojia ya saivi haifikii hata nusu,kama waliweza kuwazika mafarao na wasioze kwa maelfu ya miaka watashindwa kujenga izo pyramid
 
Hahahaa

Material iliyotumika kujenga ile kitu sio cement wala tofali. Ni mawe na miamba.

Hilo jiwe linaloweza kutengenezwa "juu kwa juu" ni la aina gani?


Mkuu pengine hujui kuhusu ujenzi wa zamani na materials yake, hebu nenda kasearch Google uone, wajenzi wazamani wakiwemo Babylon yakale walitumia chokaa na mawe(miamba) iliyochomwa kisha kusagwa na kupata unga laini kama cement, neno cement lisikuzuzue mkuu,

Majengo yote yakale yalijengwa kwa materials hayo, kuanzia Babylon, ancient Egypt, Greece, Roma mpaka majengo ya kilwa!


Ndio maana nimekuuliza swali jepesi umeshindwa kujibu, nipe logic yako, hilo tofali la tani 2500 walipandishaje huko juu?! Kama hawakupeleka materials kujenga huko huko juu!

Hata ule mnara wa Babel ulijengwa kwa style hiyo hiyo ya kupandisha materials juu na sio matofali eti ya tani zaidi ya 200!!
 
Em acha utani wewe watu hawajaona umuhimu tu wa kujenga hayo mapyramids unadhani wanaeza shindwa maengineer wakilivalia njuga. Hivi wewe unajua nuclear 2 inavyotengenezwa ilivyo hatari. Sasa ndugu yangu mtu aliekuwa na miaka 900+ unamchukuliaje alivyokuwa?
uwe unakubali kujifunza mkuu ubishi mwingine hauna faida,nenda Mali kuna kabila linaitwa Dogon wao wametunza historia kuhusu accient civilization wanakwambia Annunaki toka sayari ya Sirius B walikuja duniani na wakawapatia binadamu ujuzi na elimu kubwa ya nyota,uhandisi,uchimbaji madini na sanaa,
Huo ndo ukawa mwanzo wa binadamu kujua ustaarabu na ndio hapo tawala nyingi kama Assyrian, misri,kush,Aztec,Maya,Indonesia zikaibuka na ukienda hizo nchi utakuta ustaarabu wao na ujenzi zilifanana,
Kabla hao viumbe hawajaja duniani binadamu tulikua primitive a.k.a wapori pori tu!
 
Back
Top Bottom