Ukweli kuhusu Pyramids

Ukweli kuhusu Pyramids

Mleta mada pitia mada za ancient mysteries na secret society utapata kamwanga hafifu kuhusu vitu kama hivyo
 
Habari wana JF ni muda mtefu sijashiriki nanyi Ila nimerudi na suala linalo sumbua dunia kuhusu pyramids zilizoko Egypt zilijengwa na nani? Mwaka gani? Na kwasababu gani?

BAADHI YA WATU WASEMAVYO..

1.Pyramids zilijengwa na viumbe kutoka anga za juu, ambao waliwahi kuja duniani miaka 5,000 iliyopita na kuishi Mashariki ya Kati.

Mapiramidi hayo yalitumika kama mnara wa kuongozea ndege zao kuona wapi Mashariki ya Kati ilipo, wakati zikishuka kutoka anga za juu.

Viumbe hao maarufu kwa jina la Annunaki walikuja duniani na kugundua kuna madini mengi ya dhahabu na kuanza kuchimba kisha kusafi kwenda kwenye sayari yao iitwayo Nibiru.

Maana ya 'Annunaki' ni walioshuka kutoka juu, na 'Nibiru' ni sayari ipitayo yaani Crossing Planet.

Mapango yote yaliyopo duniani, ikiwemo yale ya Amboni mkoani Tanga waliyachimba wao hao Annunaki.

Baada ya viumbe hao Annunaki kuondoka kurejea kwao Nibiru, ndipo Wafalme wa Misri waliamu kuyatumia kama makaburi ya wao kuhifadhiwa humo.
Ujenzi wa pyramids ulifanyika kwa ufundi na ustadi mkubwa, kiasi kwamba mpaka sasa hakuna mtambo wa kuweza kupandisha au kunyanyua mawe yaliyotumika kujenga.

Mfano, jiwe moja lina uzito wa tani 2,500 sawa na kilo 2,500,000.
Yalijengwa kwa kuoanishwa au kuwa sanjari na yota za orion ambazo zimejipanga huko anga za juu.
View attachment 1726340

2.Ujenzi wa Pyramids ulifanyika kwa ustadi wa kulinganishwa na nyota za Orions, kama hivi.
View attachment 1726341

3.Michoro ya Pyramids sanjari na nyota za Orions. Je, mfalme au mhandisi gani wa dunia angeweza kujenga Pyramids kwa ueledi uliotumika enzi hizo?
View attachment 1726342

4.wengine wanasema hayo ni makaburi ya watawala WA zman WA Misri yaan mafarao so kwa sasa yamebaki Kama kumbukumbu Na ni moja Kati ya vivutio vvikubwa huko Egypt hasa katika masuala ya dini.

Je,, UKWELI ni UPI juu ya hizi pyramids na ujenzi wake na Kazi yake ...?


Naomba kuwasilisha wakuu
Two more astonishing featurea about pyramids. They are
Earthquake proof.
Alligned with an ever very high accuracy, to Magnetic North
 
Kipindi hicho bana kulikua na watu wanaitwa "giants" kama alivyokua goliath alieuawa na mfalme daudi. Unaambiwa hao ma giant hizo tofali za tani moja alikua anapanga bega hili mawili na huku mawili anachapa mwendo.
Mimi nadhani haya maPyramids yaljengwa na waisrael kipindi cha Yusufu mpaka wakati wa Musa,kipindi kile walichokaa wakazaana sana kule Misri,nadhani Pharao aliwatumia kufanya hiyo kazi,na ukumbuke hawa walikuwa ni special task force kutoka kwa Mungu mwenyewe...
 
Two more astonishing featurea about pyramids. They are
Earthquake proof.
Alligned with an ever very high accuracy, to Magnetic North
Hiyo ya kua earthquake proof ni kwasababu yalijengwa kuanzia juu kushuka chini, tofauti na majengo ya sasa ambayo tunaanza na msingi.
 
Hiyo ya kua earthquake proof ni kwasababu yalijengwa kuanzia juu kushuka chini, tofauti na majengo ya sasa ambayo tunaanza na msingi.
Sikubishii ulichosema ila naomba unipe uthibitisho. Yalijengwa kwa kuanzia juu kivipi? Zile Geat Piramid pale Giza, walianza kwa kuparua ardhi kuondoa udongo wa juu, ardhi yenye ukubwa sawa na viwanja sita vya mpira wa miguu. Sasa unaposema walijenga kwa kuanzia juu unamaanisha nini? Na je, ujenzi unapokuwa umeanzia juu, huwa unalifanya jengo liwe earthquake proof?
 
Habari wana JF ni muda mtefu sijashiriki nanyi Ila nimerudi na suala linalo sumbua dunia kuhusu pyramids zilizoko Egypt zilijengwa na nani? Mwaka gani? Na kwasababu gani?

BAADHI YA WATU WASEMAVYO:
1. Pyramids zilijengwa na viumbe kutoka anga za juu, ambao waliwahi kuja duniani miaka 5,000 iliyopita na kuishi Mashariki ya Kati.

Mapiramidi hayo yalitumika kama mnara wa kuongozea ndege zao kuona wapi Mashariki ya Kati ilipo, wakati zikishuka kutoka anga za juu.

Viumbe hao maarufu kwa jina la Annunaki walikuja duniani na kugundua kuna madini mengi ya dhahabu na kuanza kuchimba kisha kusafi kwenda kwenye sayari yao iitwayo Nibiru.

Maana ya 'Annunaki' ni walioshuka kutoka juu, na 'Nibiru' ni sayari ipitayo yaani Crossing Planet.

Mapango yote yaliyopo duniani, ikiwemo yale ya Amboni mkoani Tanga waliyachimba wao hao Annunaki.

Baada ya viumbe hao Annunaki kuondoka kurejea kwao Nibiru, ndipo Wafalme wa Misri waliamu kuyatumia kama makaburi ya wao kuhifadhiwa humo.
Ujenzi wa pyramids ulifanyika kwa ufundi na ustadi mkubwa, kiasi kwamba mpaka sasa hakuna mtambo wa kuweza kupandisha au kunyanyua mawe yaliyotumika kujenga.

Mfano, jiwe moja lina uzito wa tani 2,500 sawa na kilo 2,500,000.
Yalijengwa kwa kuoanishwa au kuwa sanjari na yota za orion ambazo zimejipanga huko anga za juu.

View attachment 1726340

2. Ujenzi wa Pyramids ulifanyika kwa ustadi wa kulinganishwa na nyota za Orions, kama hivi.
View attachment 1726341

3. Michoro ya Pyramids sanjari na nyota za Orions. Je, mfalme au mhandisi gani wa dunia angeweza kujenga Pyramids kwa ueledi uliotumika enzi hizo?

View attachment 1726342

4. wengine wanasema hayo ni makaburi ya watawala wa zamani wa Misri yaan mafarao so kwa sasa yamebaki Kama kumbukumbu Na ni moja Kati ya vivutio vvikubwa huko Egypt hasa katika masuala ya dini.

Je,, UKWELI ni UPI juu ya hizi pyramids na ujenzi wake na Kazi yake ...?


Naomba kuwasilisha wakuu
Nasikia ata jua lipige kutokea upande gani chini hakiwezi kutokea kimvuli cha hizo pyramids ni kweli?
 
Watu ww zamani walikuwa na MAUMBO MAKUBWA.warefu na wenye nguvu .sio kama wa sasa..
Unaambiwa adam alikuwa na urefu wa nguzo mbili za umeme uziunganishe pamoja ndo urefu wake
Ninachoshindwa kuamini ni kwamba ayo yalijengwa na wanadamu kama sisi wa enzi izo ambako ata technologia haikuwepo, tofali moja linatani moja na lilipandoshwa juu sana,,,,

Vipimo vimetumika kwa ustadi wa juu, ayo madude yamejengwa na viumbe wengine na Sio wanadamu kwakwel
 
Habari wana JF ni muda mtefu sijashiriki nanyi Ila nimerudi na suala linalo sumbua dunia kuhusu pyramids zilizoko Egypt zilijengwa na nani? Mwaka gani? Na kwasababu gani?

BAADHI YA WATU WASEMAVYO:
1. Pyramids zilijengwa na viumbe kutoka anga za juu, ambao waliwahi kuja duniani miaka 5,000 iliyopita na kuishi Mashariki ya Kati.

Mapiramidi hayo yalitumika kama mnara wa kuongozea ndege zao kuona wapi Mashariki ya Kati ilipo, wakati zikishuka kutoka anga za juu.

Viumbe hao maarufu kwa jina la Annunaki walikuja duniani na kugundua kuna madini mengi ya dhahabu na kuanza kuchimba kisha kusafi kwenda kwenye sayari yao iitwayo Nibiru.

Maana ya 'Annunaki' ni walioshuka kutoka juu, na 'Nibiru' ni sayari ipitayo yaani Crossing Planet.

Mapango yote yaliyopo duniani, ikiwemo yale ya Amboni mkoani Tanga waliyachimba wao hao Annunaki.

Baada ya viumbe hao Annunaki kuondoka kurejea kwao Nibiru, ndipo Wafalme wa Misri waliamu kuyatumia kama makaburi ya wao kuhifadhiwa humo.
Ujenzi wa pyramids ulifanyika kwa ufundi na ustadi mkubwa, kiasi kwamba mpaka sasa hakuna mtambo wa kuweza kupandisha au kunyanyua mawe yaliyotumika kujenga.

Mfano, jiwe moja lina uzito wa tani 2,500 sawa na kilo 2,500,000.
Yalijengwa kwa kuoanishwa au kuwa sanjari na yota za orion ambazo zimejipanga huko anga za juu.

View attachment 1726340

2. Ujenzi wa Pyramids ulifanyika kwa ustadi wa kulinganishwa na nyota za Orions, kama hivi.
View attachment 1726341

3. Michoro ya Pyramids sanjari na nyota za Orions. Je, mfalme au mhandisi gani wa dunia angeweza kujenga Pyramids kwa ueledi uliotumika enzi hizo?

View attachment 1726342

4. wengine wanasema hayo ni makaburi ya watawala wa zamani wa Misri yaan mafarao so kwa sasa yamebaki Kama kumbukumbu Na ni moja Kati ya vivutio vvikubwa huko Egypt hasa katika masuala ya dini.

Je,, UKWELI ni UPI juu ya hizi pyramids na ujenzi wake na Kazi yake ...?


Naomba kuwasilisha wakuu
pyramids yalikuwa ni mawe/miamba ya asili yaani rocks kama yalivyo mawe ya mwanza, ila mawe hayo yalichongwa kwa ustadi na ufundi wa hali ya juu ndo wakatengeneza pyramids. Hata kuna mapango mengi mno ya mawe yaliyotengenezwa kwa kutoboa na kuchonga miamba/mawe.
 
Hakuna mwanadamu amejenga yale madude..mnaosema et binadam wa zaman walikua wakubwa..mbona hatuon majumba yao..mavitanda yao makubwa .silaha zao kubwa mishale etc...na uhakika kama walikua wakubwa hvyo archiological sitez zake zingekuepo na tungeshuhudia hata mabak ya silaha zao .so si kwel ...

Hayo madude nahis ni airports za spaceships za hao viumbe wa kutoka mahala pengne.
 
Kwa wasomaji wazuri wa Biblia na Historia wanatambua kabisa duniani zama za kale kulikuwa na watu wanaojulikana kama wanefili, Historia inawazungumzia walikuwa ni binadamu wenye nguvu na miili mikubwa sana.

Huenda hawa pamoja na watu wa zamani walikuwa ni watu wenye nguvu mno, tusisahau revolution ya mwanadamu. Binadamu wa leo ni tofauti kabisa na wa siku za nyumaz kuanzia ukuaji, vyakula mpaka maradhi.

Hakuna kiumbe chochote cha ajabu kinachohusika na mambo ya kiroho ambacho kimejenga humu ulimwenguni, vyote vionekanavyo ni Mungu muumbaji ameumba ama ni wanadamu wametengeneza.

Hakuna kiumbe kutoka sayar mbali wala kutoka popote pale, each and everthing uonacho basi kimeumbwa na Mungu, la ni mwanadamu amekitengeneza.
 
1615811379079.png
 
pyramids yalikuwa ni mawe/miamba ya asili yaani rocks kama yalivyo mawe ya mwanza, ila mawe hayo yalichongwa kwa ustadi na ufundi wa hali ya juu ndo wakatengeneza pyramids. Hata kuna mapango mengi mno ya mawe yaliyotengenezwa kwa kutoboa na kuchonga miamba/mawe.
Sehemu yalipo na yalivyo jipanga unaona kabisa ualijenjwa na je mbona hapo yalipo hakuna asili ya miamba?
 
Kwa wasomaji wazuri wa Biblia na Historia wanatambua kabisa duniani zama za kale kulikuwa na watu wanaojulikana kama wanefili, Historia inawazungumzia walikuwa ni binadamu wenye nguvu na miili mikubwa sana.

Huenda hawa pamoja na watu wa zamani walikuwa ni watu wenye nguvu mno, tusisahau revolution ya mwanadamu. Binadamu wa leo ni tofauti kabisa na wa siku za nyumaz kuanzia ukuaji, vyakula mpaka maradhi.

Hakuna kiumbe chochote cha ajabu kinachohusika na mambo ya kiroho ambacho kimejenga humu ulimwenguni, vyote vionekanavyo ni Mungu muumbaji ameumba ama ni wanadamu wametengeneza.

Hakuna kiumbe kutoka sayar mbali wala kutoka popote pale, each and everthing uonacho basi kimeumbwa na Mungu, la ni mwanadamu amekitengeneza.
Kwa mujibu wa history na Bible wanefili waliangamizwa kwenye bara la Atlantica ambalo mpaka Leo ni barafu .na waliangamizwa wao na Kazi za mikono yao
 
Hakuna mwanadamu amejenga yale madude..mnaosema et binadam wa zaman walikua wakubwa..mbona hatuon majumba yao..mavitanda yao makubwa .silaha zao kubwa mishale etc...na uhakika kama walikua wakubwa hvyo archiological sitez zake zingekuepo na tungeshuhudia hata mabak ya silaha zao .so si kwel ...

Hayo madude nahis ni airports za spaceships za hao viumbe wa kutoka mahala pengne.
Hao viumbe wa mahala pengine walifata nn
 
Kipindi hicho bana kulikua na watu wanaitwa "giants" kama alivyokua goliath alieuawa na mfalme daudi. Unaambiwa hao ma giant hizo tofali za tani moja alikua anapanga bega hili mawili na huku mawili anachapa mwendo.
vijana wa sasa mtungi mdogo wa gesi anatuma bodaboda hawezi kubeba
 
Back
Top Bottom