Ukweli kuhusu Pyramids

Ukweli kuhusu Pyramids

Hayo yamejengwa na waisraeli walipokuwa watumwa nchini Misri kwa mujibu wa biblia
Hayo ma pyramid ni ya zamani sana kabla hata enzi za hao wa israeli tena kipindi cha Israel ya misri ndo kipindi ambacho utawala wa misri unaelekea kufa
 
Teknolojia ya kujenga mapyramid ilianzia mkoa Kagera huko Kanyigo kando ya ziwa victoria, historia inaonesha kabisa kuwa kuna pyramid ilkuwa na urefu wa futi 21,000 sawa na mita 3000 hivi iliangushwa wakati wa utawala wa pharao mmoja toka tawala ya chattle, mwaka 2016 kuna spaceship ilikuja ikatua kisiwa kimoja kinaitwa Goziba, hawa viumbe walkuwa wamekuja kuchota elimu kuhusu namna ya kutibu kirusi kipya kilichokuwa kimeibuka huko planet X bahati mbaya wakakuta wahaya wako busy na kula bata na kugegedana! Kama kuna mtu anaweza review miaka kama minne hivi kuna mshindo mkubwa ulitokea kagera ambapo kitu kama kimondo kilidondoka na kusababisha tafrani, hicho hakikuwa kimondo bali ni space ship ilikuwa imetua kutoka nibiru! Kwa sasa hizo pyramid hatuwezi tena sisi tumebase na kula watoto wazuri
Ova
 
Teknolojia ya kujenga mapyramid ilianzia mkoa Kagera huko Kanyigo kando ya ziwa victoria, historia inaonesha kabisa kuwa kuna pyramid ilkuwa na urefu wa futi 21,000 sawa na mita 3000 hivi iliangushwa wakati wa utawala wa pharao mmoja toka tawala ya chattle, mwaka 2016 kuna spaceship ilikuja ikatua kisiwa kimoja kinaitwa Goziba, hawa viumbe walkuwa wamekuja kuchota elimu kuhusu namna ya kutibu kirusi kipya kilichokuwa kimeibuka huko planet X bahati mbaya wakakuta wahaya wako busy na kula bata na kugegedana! Kama kuna mtu anaweza review miaka kama minne hivi kuna mshindo mkubwa ulitokea kagera ambapo kitu kama kimondo kilidondoka na kusababisha tafrani, hicho hakikuwa kimondo bali ni space ship ilikuwa imetua kutoka nibiru! Kwa sasa hizo pyramid hatuwezi tena sisi tumebase na kula watoto wazuri
Ova
Kugegedana tu mwanzo mwisho maisha hayaeleweki
 
Mi naamini hayo ma-pyramids yamejengwa na wanadamu, tena wanadamu wa kawaida kabisa,

Maana wanefili (majitu) waliangamizwa na waisrael kule caanan, japo zilibakia mbegu chache sana kama yule Goliath mfilisti .


Nani waliojenga na kwanini walijenga?!

Bila shaka pyramids zilijengwa na wamisri (wakale) au waisrael (watumwa wao) kwa kufuatisha elimu na ufundi wa hali ya juu waliokuwa nao enzi hizo!

Walijengaje?!

Mimi naamini sikweli kwamba eti walibeba tofali moja ambalo lina uzito wa tani 2500, bali inawezekana pia hao watu waliojenga enzi hizo walijenga hayo matofali huko huko juu,

Yaani walijenga tofali juu ya tofali lingine wakiyaacha mpaka yakauke, kama vile tunavyojenga linta ya nyumba! Walienda kwa mtindo huo mpaka kumaliza pyramid zima wakifuatisha mahesabu yao na ufundi wao.

Maana tukikazania na kung'ang'ania kwamba eti walibeba tofali la tani 2500 haileti sense, hawakuwa na mitambo (winchi) wala vifaa vya kubebea, wala hawakuwa na nguvu za kuyabeba physical hayo matofali,

Bali kuna uwezekano kuwa yalijengewa huko huko juu kama tunavyojenga linta za nyumba, hilo pia linawezekana, kwanini lisiwezekane??????!!!!!
Ina wezekana kunywa Pepsi baridi mkuu, hapa umemaliza hii sinto fahafamu
 
Back
Top Bottom