Ukweli kuhusu Nelson Mandela ni upi?

Ukweli kuhusu Nelson Mandela ni upi?

el pincaso

Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
67
Reaction score
55
Nimepitia sehemu mbalimbali kuhusu Madiba(Mandela) baada ya kutoka gerezani wanadai kuwa mandela halisi Alisha kufa gerezani aliyetoka Ni GIBson Makanda na sio Mandela ila walimfanyia kitu kinaitwa Human incone conspiracy ambayo inaweza kusababisha mtu mmoja genes zake zikahamia kwa mwingine.

Je Kuna ukwel wowote kwenye hili swala....wanazengo hebu nisaidieni kidogo....
 
If you believe that..., you will believe anything.., Ila hio ingeweza kuwa plot nzuri ya Movie kama Face/Off ingekuwa haipo

Kwa hiyo hawa watu ni werevu kiasi kwamba waliweza kufanya haya, pia kwa usiri mkali wengi wasijue..., ila sisi laymen ndio tumegundua ?

Kwahio mimi kwa akili yangu ndogo nasema...., Hakuna Ukweli wowote Na hio teknolojia haipo...
 
Huwezi kuujua ukweli zaidi ya ule unaoujua wewe
 
Nadhani ingekua vyema mkamuelimisha zaidi badala ya kumsimanga! Aulizaye ataka kujua.
 
If you believe that..., you will believe anything.., Ila hio ingeweza kuwa plot nzuri ya Movie kama Face/Off ingekuwa haipo

Kwa hiyo hawa watu ni werevu kiasi kwamba waliweza kufanya haya, pia kwa usiri mkali wengi wasijue..., ila sisi laymen ndio tumegundua ?

Kwahio mimi kwa akili yangu ndogo nasema...., Hakuna Ukweli wowote Na hio teknolojia haipo...
you believe that..., you will believe anything ..JHC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepitia sehemu mbalimbali kuhusu Madiba(Mandela) baada ya kutoka gerezani wanadai kuwa mandela halisi Alisha kufa gerezani aliyetoka Ni GIBson Makanda na sio Mandela ila walimfanyia kitu kinaitwa Human incone conspiracy ambayo inaweza kusababisha mtu mmoja genes zake zikahamia kwa mwingine.

Je Kuna ukwel wowote kwenye hili swala....wanazengo hebu nisaidieni kidogo....
List ni ndefu kuna Buhari na wengine wengi lakini ni habari za kutengeneza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzushi maarufu...

Kifimbo cha Nyerere ni uchawi ..
Kizito hakuna anaeweza kukibeba..


Iddi Amin alikuwa hajui kingereza
 
Kwahiyo winnie mandela, wanawe na comrades wenzake wa roben island hawakuweza kuligundua hilo?
That's impossible
 
Huenda ulikuwa na nia nzuri na swali zuri

Ila namna ulivyowasilisha ujumbe wako, Utapokea michango NEg kuliko + uitakayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom