NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 11,273
- 14,524
Ongezea Kuna wanajeshi na makomando walijaribu kukibeba lakin wakashindwa akaja nyerere akakibeba kwa mkono mmoja tuUzushi maarufu...
Kifimbo cha Nyerere ni uchawi ..
Kizito hakuna anaeweza kukibeba..
Iddi Amin alikuwa hajui kingereza
