CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,087
- 23,870
Lissu biashara hajui ila kakalia kishabiki shabiki tu
kuna biashara unaweza tumia Mil.50 kuifungua ila faida ikaja robo au hata robo isifike kwa mwezi m1
Biashara imegharimu 50mil ila faida per day 100k ukipiga kwa mwaka unapata 36,000,000M
Unaweza ukaona ndani ya mwaka mzima Hata hela ya biashara(mtaji haijarudi) ila huwezi sema hii biashara MBAYA
au HAILIPI BADO safari inaendelea kwenye biashara kuna miaka inaendelea kwenda Faida itaonekana TU
Tatizo la watu waliozoea mishahara ya mwisho wa mwezi ni 1 tu wao UVUMILIVU kwao ni ZERO.
Yani lissu anataka anza leta siasa kwenye Biashara (huyu mtu huyu aseeee) yani iko hivi bwana Lissu
Hizo ndege hata zikifanya kazi kwa miaka 20 hazijrudisha hiyo hela Bado siwezi sema eti Tulifanya makosa zinunua
Ila tu hizo ndege ningekuona wamaana kama ungesema zimetengeneza HASARA kiasi fulani au zimetengeneza MADENI
kiasi fulani Ndio tungepima Mizani sasa HASARA vs FAIDA ila usitupimie biashara kwa kipimo chako cha CAPITAL vs FAIDA
Faida zipo indirect way na Direct way
Lissu usitake jitoa ufahamu hujui ni watalii wangapi wameshaletwa nchini na kuacha pesa tofauti na Hela(faida) walizosema ATCL
ki ufupi bwana Lissu TUACHE KIDOGO.
kuna biashara unaweza tumia Mil.50 kuifungua ila faida ikaja robo au hata robo isifike kwa mwezi m1
Biashara imegharimu 50mil ila faida per day 100k ukipiga kwa mwaka unapata 36,000,000M
Unaweza ukaona ndani ya mwaka mzima Hata hela ya biashara(mtaji haijarudi) ila huwezi sema hii biashara MBAYA
au HAILIPI BADO safari inaendelea kwenye biashara kuna miaka inaendelea kwenda Faida itaonekana TU
Tatizo la watu waliozoea mishahara ya mwisho wa mwezi ni 1 tu wao UVUMILIVU kwao ni ZERO.
Yani lissu anataka anza leta siasa kwenye Biashara (huyu mtu huyu aseeee) yani iko hivi bwana Lissu
Hizo ndege hata zikifanya kazi kwa miaka 20 hazijrudisha hiyo hela Bado siwezi sema eti Tulifanya makosa zinunua
Ila tu hizo ndege ningekuona wamaana kama ungesema zimetengeneza HASARA kiasi fulani au zimetengeneza MADENI
kiasi fulani Ndio tungepima Mizani sasa HASARA vs FAIDA ila usitupimie biashara kwa kipimo chako cha CAPITAL vs FAIDA
Faida zipo indirect way na Direct way
Lissu usitake jitoa ufahamu hujui ni watalii wangapi wameshaletwa nchini na kuacha pesa tofauti na Hela(faida) walizosema ATCL
ki ufupi bwana Lissu TUACHE KIDOGO.