mkiluvya
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 802
- 725
Ununuzi wa Ndege ni Dili la wajanja wachache kuna 10% zao humu ndiyo maana hununua kwa cash ili wachukue chao mapema na hawataki CAG kunusa hesabu za ununuzi wa Ndege kwa hofu ya kuibua ufisadi wao, siyo kwamba hawajui kuwa Ndege hazina faida kwa Nchi bali wameangalia matumbo yao na dhana ya CCM isemayo chukua chako mapema, awamu hii ni tofauti na awamu ya Kikwete na mkapa ambao walipiga Dili zao jioni mwishoni mwa utawala wao, hawa wa sasa wao wanakula mapema chao kisha huko mbeleni ni majaliwa ya mwenyezi mungu, Hakuna sehemu bunge linashirikishwa juu ya ununuzi wa Ndege hata ujenzi wa chato Airport umefanywa kienyeji pasipo idhini ya bunge.
mmebanwa kila pahala wacheni wivu wa pwani