Hakuna ufisadi kwenye ununuzi wa ndege, wapinzani achene kupotosha kwa kichaka cha CAG, price za ndenge hizi ziko wazi kwenye website za mashiraka hayo ingawaje inaweza kushuka kulingana na majadiliano ya pande mbili. Lissu tofauti na siasa hajawahi fanya biashara, hiki ni kipindi cha investments from 2015-2020 hautegemei faida kubwa wakati huu, objective should be rebranding, and better service provisions ili waweze kuvutia wateja wengi Zaidi na hatimaye baadae kupata profit, ROI haiwezi kuwa ndani ya miaka mitatu, hakuna biashara ya hivyo duniani kwa large scale, labda biashara ndogo ndogo za kununua karanga sh 10 unauza same day sh 20. Tuwape muda wa kutosha ATCL na management ili wafanye kazi, siasa hizi za kusema hivi kesho vile ndo tutaua shirika.