Ukweli kuhusu ndege za Serikali

Kikwete licha ya hayo mapungufu yake kila mwaka aliwaongezea nyongeza ya mishahara watumishi wa umma, na Deni la Taifa halikuwa kubwa kama sasa ambapo wanajinadi kudhibiti wizi safari za nje lakini Deni la Taifa limepaa kuwa maradufu huku watumishi wa umma wakibuni Mbinu za kisayansi kufanya ufisadi pasipo kugundulika kirahisi kwa haraka, Ndege wanunue kwa mikopo lakini vitu vinginevyo vya maendeleo vifanyike kwa kasi ikiwemo kujenga miundominu bora zaidi isiyo haribiwa na mvua kirahisi
Hivi kaka huko ghorofani kuko sawa?
Kwa akili ya kawaida tu huoni kuwa kuna miradi mingi tena ya maana imeibuliwa na awamu hii kuliko hiyo awamu unayoisema? Hivi ulikuwa unatarajia deni la taifa lishuke? Ingawa deni letu limeongezeka lakini linalipika kwani hivi sasa jirani zetu wamefikia mahala wanashauriwa wasikope tena. Lakini kwetu pesa zetu zinatumika kwenye miradi ambayo inatarajiwa kulipa maradufu.
 
Tuanzie na hilo la akina mama wajawaziyo kulala chini ni hospitali gani hapa tanzania with vivid example?
 
Hicho kichwa kina akili kweli au kipo ili kukamilisha uumbaji wa shepu ya Binadamu tuu??.
wapinzani mnapokosa mambo ya msingi ya kujadili mnakuwa vituko sana. kwa hiyo unalinganisha makampuni ya Bakhresa ambayo yanatafuta faida kubwa na taasisi za serikali ambazo ni kwa ajili ya kutoa huduma?
 
Doto ni mmowapo wa waidhinishaji wa malipo ya cash , utakuja kujua huko mbele pindi CAG akituhusiwa kuingia humo.
Wewe umejaa wivu na chuki tuu kwa huyo dotto na hiyo itakusumbua sana kwani waswahili 'wanasema usilolijua litakusumbua'.
 
Kikwete licha ya hayo mapungufu yake kila mwaka aliwaongezea nyongeza ya mishahara watumishi wa umma, na Deni la Taifa halikuwa kubwa kama sasa ambapo wanajinadi kudhibiti wizi safari za nje lakini Deni la Taifa limepaa kuwa maradufu huku watumishi wa umma wakibuni Mbinu za kisayansi kufanya ufisadi pasipo kugundulika kirahisi kwa haraka, Ndege wanunue kwa mikopo lakini vitu vinginevyo vya maendeleo vifanyike kwa kasi ikiwemo kujenga miundominu bora zaidi isiyo haribiwa na mvua kirahisi
Najua hatuwezi kuelewana lakini nakuhakikishia hizi fedha za kununulia ndege kama zingetumika kuongeza posho na safari za wabunge na wabunge na wafanya kazi (huku asilimia kubwa ya wananchi vijijini wakiwa hoi ) usingesikia lawama yoyote. Huu ubinafsi mimi ndiyo huwa siutaki.
 
Je, zina faida gani economically?

Hizi hela ni zaidi ya mtaji wa viwanda vya Bakhresa. Angalia impact ya viwanda vya Bhakresa na ndege za Magufuli in terms of mzunguko wa hela, ajira na services. Watalii hawawezi wakaacha kupanda ndege za makampuni makubwa yenye muda mrefu kwenye biashara pamoja na usalama wa uhakika waje wapande ndege za Magufuli. By the way, hata hayo makampuni makubwa yanapata hasara na biashara ya ndege si biashara ya kutegemea kujenga uchumi. Je, Bunge limepitisha manunuzi ya ndege saba?

Hivi unaachaje kuwekeza kwenye kilimo, madini, elimu, gesi,maji, umeme then unaenda kuwekeza kwenye ndege kwa taifa changa kama hili ambalo watoto hawana madawati na hospitali mama wajawazito wanalala chini?

Hapo hatujagusa demokrasia na ukiukwaji wa haki za binadamu. Huu uongozi umechafua sana picha ya taifa hili; this is one of the worst leaderships. By the way, kila chenye mwanzo kina mwisho, walikuwepo wakina Mobutu, wapo wapi now? Tusibiri muda wake utafika tu.

View attachment 1250571
Huyu TL ndiye mwenye akili za matope. Ahangaike na kubeba maboksi tu
 
Wewe umejaa wivu na chuki tuu kwa huyo dotto na hiyo itakusumbua sana kwani waswahili 'wanasema usilolijua litakusumbua'.

Jidanganye kwa visingizio vya wivu endelea kujifariji lakini mwaka 2026 wakiingia ikulu wengine wakamruhusu CAG kukagua manunuzi ya Ndege ndipo utaona maajabu ya Dunia
 
Hii nchi ina baadhi ya mavijana,

# Hayana vichwa yana midafu

# Bichwa liko ubelgiji likisema yote yanakubali

# Hapo zamani za kale bichwa lao jingine la kike lilikua lipo marekani ila sasa linaunga mkono jitihada za mzee
 
Mkuu, usilidhalilishe shirika letu la ndege. Nalo liko kibiashara, si kihuduma. Unapochangia mada kama hizi, jiulize mara mbilimbili kabla ya kuandika. Kwahiyo, kwako wewe, ndege za ATCL zinatoa huduma kama ilivyo kwa shule, zahanati na mabomba? Bure kabisa wewe!
we kijana wa LUMUMBA sometimes bure kabisa
juzi ulibishana sana kwenye uzi kuhusa Baba Keagan na Makonda, kwamba ni watu wawili tofauti, jana Kijana kaenda polisi kwa amri ya BABA KEAGAN.

tumiaga logic kidogo Mr VERIFAID YUZA
 
Mkuu, usilidhalilishe shirika letu la ndege. Nalo liko kibiashara, si kihuduma. Unapochangia mada kama hizi, jiulize mara mbilimbili kabla ya kuandika. Kwahiyo, kwako wewe, ndege za ATCL zinatoa huduma kama ilivyo kwa shule, zahanati na mabomba? Bure kabisa wewe!
Just give yourself a break bro. Praise team watakuchanganya....
 
Je, zina faida gani economically?

Hizi hela ni zaidi ya mtaji wa viwanda vya Bakhresa. Angalia impact ya viwanda vya Bhakresa na ndege za Magufuli in terms of mzunguko wa hela, ajira na services. Watalii hawawezi wakaacha kupanda ndege za makampuni makubwa yenye muda mrefu kwenye biashara pamoja na usalama wa uhakika waje wapande ndege za Magufuli. By the way, hata hayo makampuni makubwa yanapata hasara na biashara ya ndege si biashara ya kutegemea kujenga uchumi. Je, Bunge limepitisha manunuzi ya ndege saba?

Hivi unaachaje kuwekeza kwenye kilimo, madini, elimu, gesi,maji, umeme then unaenda kuwekeza kwenye ndege kwa taifa changa kama hili ambalo watoto hawana madawati na hospitali mama wajawazito wanalala chini?

Hapo hatujagusa demokrasia na ukiukwaji wa haki za binadamu. Huu uongozi umechafua sana picha ya taifa hili; this is one of the worst leaderships. By the way, kila chenye mwanzo kina mwisho, walikuwepo wakina Mobutu, wapo wapi now? Tusibiri muda wake utafika tu.

View attachment 1250571
Ukweli aliyetuloga watanzania alishazikwa na mifupa yake haionekani hata kwa vitukuu. Hivi jitu linaamka linaamua kubeba mfuko wa kodi za wananchi na kwenda kununua ndege bila idhini ya walipa kodi wala wawakilishi wao. Halafu linaamuru mahesabu ya ujambazi wake yawekwe kule ambako mkaguzi wetu CAG hafiki Vote 20. bado hatuamki tu kuwa hili ni jizi? Hivi huu si uvunjivu wa katiba aliyoapa kuilinda? Halafu bado anaendeleza unyafuzi wa akili kwa kumpa kodi zetu kilaza mmoja aitwaye bashite bila kufuata taratibu? Hivi kulikuwa na haja ya bashite kuambiwa atapewa fedha za hospitali wakati wawakilishi wa wananchi wana utaratibu wao?

Nauliza wanasheria wote duniani! Huyu mwivi mvunja katiba atafikishwa kwa pilato lini? Je tuna mamlaka?
 
Huyu TL ndiye mwenye akili za matope. Ahangaike na kubeba maboksi tu

Kwani Tundu lisu hajui kuwa kwenye ununuzi wa Ndege kuna 10% za wajanja wachache? Mruhusuni CAG akague hesabu za ununuzi wa Ndege kwanza ndipo uje na matusi yako
 
Jidanganye kwa visingizio vya wivu endelea kujifariji lakini mwaka 2026 wakiingia ikulu wengine wakamruhusu CAG kukagua manunuzi ya Ndege ndipo utaona maajabu ya Dunia
Hizo nyimbo zimekuwa zikiimbwa sana ila kwa uthibitisho ngoja itakapotoka ripoti ya CAG 2019/2020 utapata picha kamili wacha ku-prempt mambo.
 
Watu watumikie fani zao...kama ni wanasheria wafanye sheria hasa...kama ni wachumi wafanye uchumi hasa...kwa comment hii Sidhani kama Ruyagwa atambeba kwenye mbeleko yake...!
====
Kwa akili zake sijui za zege (tunajua tabia za zege, zege ikiwekwa kwenye 'chombo' ikatulia baasi itasubiri kubomolewa tena kwa nyundo na tindo) ama sijui za nini....!!!! Tunamuomba Lissu (endapo hiyo nukuu inatoka kwake), atupe mchanganuo wa mapato aliotarajia kutokana na ununuzi na utumiaji wa ndege hizo. Pia atupe na faidia za 'multiplyer effect' ya kiuchumi in 'monetary terms' kwa uwepo wa huduma za usafiri wa ndege hizo sita hapa nchini!!

Nasubiri majibu.
 
Kwahiyo unataka Nchi iendeshwe km kiwanda cha mtu binafsi?

Nitajie Nchi moja iliyo uchumi wa kati ambayo haina shirika la ndege


Ati hawa ndio wapinzani!
Mimi Nakutajia nchi kama ya Ujerumani, hakuna kiwanda hata kimoja au SHIRIKA LOLOTE AMBOALO ni la Serikali.
Serikali kazi yake ni kuweka Policy tu, kwa mfano wafanyakazi wanaofanya kazi kwenye mashirika haya watalipa vipi kodi? Ndio maana lilipokuja lile suala la diesel Manipulation, Viwanda kama vya Benz vilipigwa faini na Serikali
 
Kwani hiyo hela ni sawa na matractor mangapi ya kulimia,kupandia na kuvunia?
 
Ukweli aliyetuloga watanzania alishazikwa na mifupa yake haionekani hata kwa vitukuu. Hivi jitu linaamka linaamua kubeba mfuko wa kodi za wananchi na kwenda kununua ndege bila idhini ya walipa kodi wala wawakilishi wao. Halafu linaamuru mahesabu ya ujambazi wake yawekwe kule ambako mkaguzi wetu CAG hafiki Vote 20. bado hatuamki tu kuwa hili ni jizi? Hivi huu si uvunjivu wa katiba aliyoapa kuilinda? Halafu bado anaendeleza unyafuzi wa akili kwa kumpa kodi zetu kilaza mmoja aitwaye bashite bila kufuata taratibu? Hivi kulikuwa na haja ya bashite kuambiwa atapewa fedha za hospitali wakati wawakilishi wa wananchi wana utaratibu wao?

Nauliza wanasheria wote duniani! Huyu mwivi mvunja katiba atafikishwa kwa pilato lini? Je tuna mamlaka?

Hata ujenzi wa chato Airport umefanyika kienyeji pasipo idhini ya bunge pia kule Bagamoyo zimepotea bilion 56 kuwalipa watu fidia kupisha ujenzi wa Bandari lakini baada ya Odinga na kenyata kumrubuni kaamua kuunga mkono Bandari ya Lamu kenya kwa visingizio kuwa mikataba ya wachina ni mibaya pasipo kukaa chini na hao waarabu na Wachina wakaichambua miikataba wakairekebisha kwa manufaa ya pande mbili, hataki vitu vya kuleta faida haraka kama Bandari, kwani sasa Bandari ya Dsm imekuwa kichochoro kina cha maji ni kifupi meli kubwa haziwezi kufika , Nchi inakosa kufanya biashara na Nchi jirani zisizo na Bandari.
 
Back
Top Bottom