shakur kimboka
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 275
- 365
Wewe jamaa nishapata wasiwasi na elimu yako hiyo ya ukimbizi itakuwa uliungaunga sana kwa maana uwezo wako wa kujadiliMkuu wewe muongo sana
Mkuu acha kupotosha watu
Mkuu nilikuambia wewe muongo
Mkuu tabia ya kufanganya watu sio nzuri
Mkuu malengo yako toka post ya kwanza nikikuambia
Nasisitiza acha kudanganya watu
Huu uongo wako sio mzuri,kuna seheme mbili umeongea uongo.
Wewe jamaa nishapata wasiwasi na elimu yako hiyo ya ukimbizi itakuwa uliungaunga sana kwa maana uwezo wako wa kujadili
topic ambayo ipo kwenye field yako ni finyu mno, wewe umesomea kitu ambacho hauna passion nacho
Utakuwa ni design flani hivi ya mtoto mmoja wa kishua maisha laini mboga nane, umechukuliwa ukawekwa kwenye pipa ukaenda mamtoni ukasoma ulichosoma ila bado huna exposure ya kutosha na ulichokisoma
Umeweka certificate gani sijui za Marekani ukasahau jamaa hayupo Marekani bali yupo Canada, then ukataka jamaa akutolee hiyo certificate na akati anakuambia yupo Canada afu ndio katika interview yake ya kwanza
We ushawahi kuona mtu anapewa cheti na hajamaliza shule? (hiyo logic tu) cheti unapewa kama stakabali badala ya kufuzu/kuhitimu mafunzo fulani,
Hiyo US refugee admissions program haitambuliki kimataifa inatolewa na Marekani pekee wao Canada wana system yao pia tofauti kabisa, USRAP unatolewa na shirika lisilo ya kiserikali huko Marekani ila hakina application yoyote Canada na nchi nyingine
We jamaa itakuwa kweli umesomea hili swala na upo Marekani kweli ila una kauzembe flani ndio kinacho kufelisha,
Link1:
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti kuna sehemu mbili amedanganya alafu umeshindwa hata kuzitaja, kweli? Kwanimi usiweke kila kitu wazi watu tutafakari na upande wako?Soma comment then urudie ku comment.
Eti kuna sehemu mbili amedanganya alafu umeshindwa hata kuzitaja, kweli? Kwanimi usiweke kila kitu wazi watu tutafakari na upande wako?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa kunipa link ya huu uzi.Wazanzibar kweli ni mabingwa wa kujilipua, wao ikitokea janga kwao ni fulsa, waandishi wanakamatwa na kuuliwa wao wanaunda vyeti feki na kusepa, kina Lisu wanapigwa lisasi wao ni fulsa Asylum.
Aisee... jamani[emoji44]Swet-R,
Nchi Kama marekani kiwango Cha chini kulipwa kwa saa ni dola 10. Ndio kiwango kilichopitishwa na serikali yaani hizo ndio zile kazi mbaya mbaya Kama kufagia barababara au kurudisha vile vitorori vya supermarket ndani ..Sasa ukipiga masaa 14..manake unadola 140.ni sawa na 300000tsh
kwa kunipa link ya huu uzi.
Nb: hii comment yako haijaniacha kama nilivyokuwa...
imenipa IDEA pana sana.
Wewe umesomea mwenzio amefanya kwa vitendoKaa na kile unachokiamn,maswala ya kuvuka mipaka na ukimbizi nimekuambia nimesomea kupitia mpanho wa shirika la IOM na maswala ya nchi ya marekani nilisonea kwenye shirika la RSC
Upande wa IOM nulifundishwa A to Z kuhusu maswala ya ukimbizi na makazi vile vile nilisomea mashirika na nchini zinazopkea wakimbiz kwa utaratbu wao mpaka tanzania nimesomea na mwaka kila nchi ilipoanza kupokea wakimbizi na wahudumiwaj na wanaishi vipi na waingiaj kimagendo,sheria za nchi flan juu ya wakmbz,hayo yote nilisomea.ninaposema huu ni uongo ni uongo kwel
Hahahahahaa,unanifurahisha sana.Sasa cha ajabu nini mimi kuzamia.ikiwa nilifanya kazi na nikiwa na elimu ya digree hakuna nilichopata zaidi ya pesa yote kuingia kwenye matumizi hakuna kusave.Wakati huku nina uwezo wa kusave mpaka milioni 2.Bongo kuna nini Zaidi ya Urasimu wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe muongo sana
Mkuu acha kupotosha watu
Mkuu nilikuambia wewe muongo
Mkuu tabia ya kufanganya watu sio nzuri
Mkuu malengo yako toka post ya kwanza nikikuambia
Nasisitiza acha kudanganya watu
Huu uongo wako sio mzuri,kuna seheme mbili umeongea uongo.
kweli. nilikuwa kwenye matatu ndo maana nilichokiandika ujakielewa.Sijakuelewa, umeandika kwa haraka sana...
Big up sana haya mambo yana watu wakeJamaa yangu nimekusoma mwanzo mwisho na huyu jamaa nimemsoma mwanzo mwisho, sidhani kama hata unafahamu unachojaribu kubishana na huyu jamaa.. Jamaa anaweza kuwa muongo au mkweli hilo sio issue bali issue ni arguments zanko ambazo hazieleweki au kifupi hueleweki unachobisha..
Dunia ina mambo mengi sana ambayo jamaa yangu inaonekana mengi huyajui, wanaokuja ulaya na America kwa njia za panya huwa wana namna nyingi sana ikiwemo hii na nyingine nyingi ambazo huzijui, binafsi nikikusoma nakuona kama mtu ambaye huzijui harakati za mtaani as wapambanaji zilivyokaa zaidi ya kujua the right path uliyopitia wewe au labda na wanaokuzunguka, kifupi unajua kiani theory na unajaribu kuileta kwenye maisha halisi..theory is the theory but practical life is very different..
Ukimsoma mleta maada na Mbinu zake anaeleweka vizuri sana japo kuna traces fulani za kiufundi kaziacha na jamaa wakiwa smart enough au wakiamua kuwa serious watamnyaka.. Mbinu hii na nyingine nyingi hutumiwa sana ili lengo litimie..
Western countries Kuna opportunity if your are hardworking Kuna level flani ya maisha utaishi, bongo opportunities ni finyuLililopo ni kwamba hakuna guarantee ya moja kwa moja kama angebaki akaizungusha hiyo pesa angefanikiwa.
Na pia sio kwamba mbele nako kurahisi kivileee. Ila mimi mtu akiniambia bongo maisha ya utafutaji marahisi kuliko Canada nitabisha maana tumezaliwa Bongo tunaijua vizuri...
Ogopa sana mtu anayekubishia alafu ajui chochoteNimekuelewa kiasi huyu jamaa A3M.ni kweli ukitoka New York ni safari ndefu kurlekea boda isiyo rasmi ya kuingia Canada kupitia Quebec.utasafiri kwa basi kisha ukishuka utakodi taxi mpaka boda isiyo rasmi.pale itapokelewa na utasajiliwa na kukaguliwa kisha Utahojiwa.ukimaliza utawekwa chini ya ulinzi na kusafirishwa mpaka Montreal.Pale utahifadhiwa na kupewa huduma zote kama muomba hifadhi.kama utakubaliwa utasajiliwa na serikali ya Quebec na serikali ya Canada kama mkimbizi na utapewa haki zako mpaka ufapofanya mtihani wa uraia.so maelezo yake kwa namna moja ni kweli maana wengi wanakinbia marekani na kuingia Canada kupitia boda zisizo rasmi. Tupunguze kupopoa bali tumuhoji vizuri huenda kuna wanaohitaji kujilipua humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani ukienda kama professional Kuna unafuu, lakin ukienda kama mbeba box jiandae kwa msoto wa maanaSawa kwa hizo nchi.... Mi naongelea marekani... Kule mambo si mepesi...