Ukweli kuhusu maisha ya ughaibuni

Ukweli kuhusu maisha ya ughaibuni

Acha kupotosha watu ww....yaani mkimbizi ajenge ghorofa...
Wewe ulivyoelewa,kama alivyosema akajikabidhi kama mkimbizi,kwa hiyo ataishi maisha yote kama mkimbizi?. Hiyo ni njia tu. Mpaka sasa yuko huru tayari kufanya vibarua. Na usilinganishe vibarua vya huku na kule. Ni akili yako matumizi usiige wenyeji vile vile na kazi usiige zile zinazotakiwa na wenyeji. Na ujue akitulia akafanya kazi kwa malengo,miaka 10 tu atarudi na hela ambayo angeitafuta bongo mpaka kufa kwake asingeipata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Starting with with 7m Daby i can make a profit of 3M a month hapa bongo doing a certain business.
if i reinvest he profit in 3 months i can make 6m.

Hapo huoni kamzidi huyo anaeenda kubeba ma box?
Maisha hayaendi hivyo mzee baba... yaani useme kama nikiinvest ml7 kiurahisi tu unapata 3ml...!

kama wote tungekuwa tunawasikiliza kina Mo na Bakhresa walivyoanza biashara nasi tunaanza zinaenda vile vile... hatungekuwa na maskini wa vipato mzee.

Kama ni rahisi hivyo mbona tuna maskini wa kitubwa hapa nyumbani?
 
Wewe ulivyoelewa,kama alivyosema akajikabidhi kama mkimbizi,kwa hiyo ataishi maisha yote kama mkimbizi?. Hiyo ni njia tu. Mpaka sasa yuko huru tayari kufanya vibarua. Na usilinganishe vibarua vya huku na kule. Ni akili yako matumizi usiige wenyeji vile vile na kazi usiige zile zinazotakiwa na wenyeji. Na ujue akitulia akafanya kazi kwa malengo,miaka 10 tu atarudi na hela ambayo angeitafuta bongo mpaka kufa kwake asingeipata

Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi gani hiyo,america or canada
 
Nchi gani hiyo,america or canada
Canada nayo sio mbaya au nchi za scandinavia,na akifanikiwa kujichanganya uraiani. Atafute kazi za kwenye ma-shoprite,za kurudishia bidhaa kwenye shelvu,au kupanga mabox. Hizo kazi ni rahisi tu kuzipata,ksbb ni wenyeji wanaziona za ki-rocko. Mshahara wake mzuri tu,na kazi zenyewe rahisi tu,unalipwa kwa masaa unayofanya kazi. Kwa hiyo ni wewe tu,kama umeenda kutafuta maisha unaweza kuandikisha masaa hata 14 kwa siku,unaacha tu masaa ya mapumziko na kulala. Kwa nini usirudi na hela. Hata huyu atarudi na hela,kama ataamua kurudi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha hayaendi hivyo mzee baba... yaani useme kama nikiinvest ml7 kiurahisi tu unapata 3ml...!

kama wote tungekuwa tunawasikiliza kina Mo na Bakhresa walivyoanza biashara nasi tunaanza zinaenda vile vile... hatungekuwa na maskini wa vipato mzee.

Kama ni rahisi hivyo mbona tuna maskini wa kitubwa hapa nyumbani?
Hoja yangu sijaijenga kwa ushuhuda wanaoutoa akina MO nimetumia hali halisi. na nimefanya reserch nikaona inawezekana.
sitaki kumwaga mtama kwenye kuku wengi ndio maaana sijasema ni biashara gani hasa ili idea isije ikaibiwa kabla sijaifanyia kazi.
 
Lililopo ni kwamba hakuna guarantee ya moja kwa moja kama angebaki akaizungusha hiyo pesa angefanikiwa.

Na pia sio kwamba mbele nako kurahisi kivileee. Ila mimi mtu akiniambia bongo maisha ya utafutaji marahisi kuliko Canada nitabisha maana tumezaliwa Bongo tunaijua vizuri...
Kabisaa mkuu. Hiyo hela ni ndogo kabisa kwa alichokifanya. Na kule atafanikiwa tu. Na huyu mpaka ameleta uzi hapa ujue mambo yako kwenye mstari. Kule kufanikiwa ni rahisi sana ili mradi tu usiige wenyeji kazi wanazotaka wao. Wewe ingia front fanya kazi zako za kurudishia bidhaa kwenye shelvu na kupanga mabox. Awe na malengo,aheshimu matumizi,hakika atarudi na hela ambayo angebaki bongo asingeweza kuipata maisha yake yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja yangu sijaijenga kwa ushuhuda wanaoutoa akina MO nimetumia hali halisi. na nimefanya reserch nikaona inawezekana.
sitaki kumwaga mtama kwenye kuku wengi ndio maaana sijasema ni biashara gani hasa ili idea isije ikaibiwa kabla sijaifanyia kazi.
Basi wewe umeweza kuona fursa ulipo itumie. Aliyeiona Canada mwache akaitumie. Huenda akafanikiwa kukuzidi au wewe ukafanikiwa kumzidi.

Maisha hayahitaji kubishanabishana maana tumeyaishi na tunayaona.
 
Inawezakuwa chai on other hand lakini swala la kuvushwa boda kwa 3000$ sio pesa nyingiii by the way chini ya carpet vipo vingi sana vinaendelea watu wanauza mpk ndoa 2000$-5000$ kwa wanaotafuta uraia wa USA!
cha msingi nikuwa makini nawatu unaodeal maana wapigaji wakubwa ni wabongo na wapopo walio nnje hawapigi kaazi kiivyo kazi yao ni kuwaliza wenzao wanaotaka kuwafata!
Bora kudeal na wakenya na waganda at least ila all in all kuwa makini na hawa ma agent sana!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba hiyo fursa ya kuinvest ml 7 kisha nipate faida ya ml3 mkuu.
As i said siwezi kuiweka hii busines plan hapa labla sijaanza kuifanya kwasababu nimewekeza mda na pesa ilikuhakikisha nilichokisema. Sasa hivi naweka miundo mbinu sawa ikikamilika by Feb nitaanza rasmi. from there i can share with you the idea if yuo are serious.
 
Basi wewe umeweza kuona fursa ulipo itumie. Aliyeiona Canada mwache akaitumie. Huenda akafanikiwa kukuzidi au wewe ukafanikiwa kumzidi.

Maisha hayahitaji kubishanabishana maana tumeyaishi na tunayaona.
Wewe ndio unabisha mkuu. Yaani ikitokea naenda Ughaibuni basi itakuwa ni kutafuta myaji na kurudi nyumbani.
 
Canada nayo sio mbaya au nchi za scandinavia,na akifanikiwa kujichanganya uraiani. Atafute kazi za kwenye ma-shoprite,za kurudishia bidhaa kwenye shelvu,au kupanga mabox. Hizo kazi ni rahisi tu kuzipata,ksbb ni wenyeji wanaziona za ki-rocko. Mshahara wake mzuri tu,na kazi zenyewe rahisi tu,unalipwa kwa masaa unayofanya kazi. Kwa hiyo ni wewe tu,kama umeenda kutafuta maisha unaweza kuandikisha masaa hata 14 kwa siku,unaacha tu masaa ya mapumziko na kulala. Kwa nini usirudi na hela. Hata huyu atarudi na hela,kama ataamua kurudi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kwa hizo nchi.... Mi naongelea marekani... Kule mambo si mepesi...
 
Back
Top Bottom